Ndivyo wenyewe walivyokwambia au kujisemea tu?
Kwani mwenda wazimu akikuambia ukristo ndiyo huu:
View attachment 3137822
Ndiyo tuseme imeenda hiyo?
Kulikoni kuwa na mawazo dunia hivyo ndugu?
[/QUOT
Channel 13 ya Israeli jioni hii inaripoti kuwa Baraza la Usalama la Israel limefanya uamuzi wa kuanzisha Hatua nyingine ya Kulipiza kisasi dhidi ya Iran hivi karibuni.
Hii ni kutokana na Jukumu lao katika Mashambulizi ya hivi karibuni ya Hezbollah, ambayo yalilenga Nyumba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Hawa Jamaa hawajawahi kuogopa mtu aisee. Wao washazoeaga hizi mambo za mafarakano.
Ngoja tuone washia watafanywa Nini wakati huu, maana mifumi yao ya ulinzi wa anga ilipigwa mkong'oto juzi.
Netanyahu alisababisha kupitia AIPAC ( umoja wa Wayahudi waishio America kwa kuihonga na kuu kontrol na kuiamuru serikali ya America ifanye wanavyotaka Israel ) bil hali Wamarekani wengi hawana sauti !. Marekani akafanya kama alivyoamrishwa kuipiga Iraq na kuivamia na kuleta vurugu nyingi zilizotokea kwa kutumia kila uongo wa uzushi moja silaha za WMD ambazo hazikuwepo ila walibuni ujanja na uongo ukijurikana baadae. wasababisha uharibifu kwa kusingiziwa.
Sasa anajaribu kila njia kuuingiza Amerika katika Iran kwa kila visingizio.
Iran baada ya kuona yaliyotokea Iraq ilikuwa inajiandaa maana walijua kuna siku watapigana na Marekani. Sasa marekani alishaonja Iraq, bado anasita😂. Lakini Israel inajaribu kila mbinu kukicha leo ili Marekani aingie kwenye vita.
Pia Historia ya Marekani ni nchi inayoishi kwa kuua ua watu kila kona ya dunia na maana haikai zaidi ya miaka 4 bila kuingia vitani. Katika historia yao ni maraisi wawili tu ambao walimaliza miaka 4 bila vita Jimmy Carter, na Trump na wote hawakuchaguliwa kipindi cha pili!
Ujinga mkubwa uliosambaa ni ule wa imani potofu ya wateule. Hakuna wateule na hii pandikizi imepatikana kwa kuhongwa hela mapadri wa kizungu kuwalaza baadhi ya ndugu zetu wakiristo. Kabla ya miaka 100 wachinjaji na wauwaji wakubwa wa wayahudi walikuwa ni Wakiristo kwani hawautambui ukiristo, na wanamuita Yesu mwanaharamu na mama yake Maria Malaya aliyezaa mwanaharamu. Na Warumi waliwatawanya wayahudi kwa kumuua Yesu. On contrary watu waliowalinda hawa hawa mayahudi walikuwa ni nchi za kiislam. Tazama sasa mambo wanayofanya,