Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

Hivi una akili sawa sawa? Wauguzi na taaluma ziingine wana pre and post Internships? Msome vizuri mtoa post acha ufa.la
 
MCT, TNMC, HLPC, PCT endeleeni kukaza ivoivo, hatutaki mazumbukuku maeneo ya kazi...

Wapikeni vijana vile inavyotakiwa, hizi kelele za mitaani zisiwasumbue...

Kule law school waliunda mpaka tume mwaka juzi. Nenda kafuatilie majibu yalikuwaje ndiyo utajua hawa intern doctors wanatakiwa wakae kwa kutulia..
 
Tayari watu Kila siku wanaleta malalamiko Ila wahusika wanapochukia hatua tunaanzia Tena kuwalalamikia, niliwahi kupeleka mgonjwa Temeke Dr akakimbia akabaki kuhudumiwa na nesi Hadi akafariki.
 
Hivi una akili sawa sawa? Wauguzi na taaluma ziingine wana pre and post Internships? Msome vizuri mtoa post acha ufa.la
Wako njiani kuwa na pre na post...

Hata zamani hii ya kufanya mitihani ndiyo uwe licensed zamani haikuwepo. Ilikuwa ukimaliza intern unakuwa licensed directly...

Walioanza kuwa na post intern exams ni nursing, mwanzo walilalamika weeeh lkn mwisho wa siku wakaeleweshwa na kuelewa...

Ndiyo zikafuata hizo kada zingine kuwa na mitihani na wao...

Na kila baraza lina kanuni zake kulingana na sheria mama ya mabaraza yao... Kwenye kanuni za MCT wana pre and post exams..

NA KANUNI ANATUNGA WAZIRI.

Hivyo acha ufala mwenyewe mkuu, nenda kasome hizo sheria za mabaraza na kanuni zake... Ukikosa njoo hapa nikupe uzisome.

Acheni kuharibu mifumo thabiti ya kuzalisha competent products iliyojengwa kwa jasho na damu.
 
Tayari watu Kila siku wanaleta malalamiko Ila wahusika wanapochukia hatua tunaanzia Tena kuwalalamikia, niliwahi kupeleka mgonjwa Temeke Dr akakimbia akabaki kuhudumiwa na nesi Hadi akafariki.
Ni wapumbavu tu ndiyo watapinga hiyo mitihani...

Ila siku wakikutana na madaktari low score huku wakiwa na wagonjwa wao walio critical ndiyo watajua uchungu wa kufiwa na ndugu zao huku wanawaona bila msaada wa maana..
 
Hao hao ndo wanaowatibu kwenye hospital za rufaa na hata za mitaani kwenye, polyclinic n.k, hongera kwa kutibiwa na mazumbukuku!!
 
Hujaelewa Uzi, kinacholalamikiwa ni mtihani wa pre enternship sio ule wa post internship. Ukumbuke internship ni sehemu ya training kumuivisha huyu mtaalamu wa afya kivitendo, hivyo kumpima kwa mtihani Baada ya hiyo 1 year training ni justified. Lakini lengo pre internship ninini??
 
Kanuni ndivyo zilivyo....

Na kanuni anatunga waziri...

Msajili wa MCT anateuliwa na waziri..

Unategemea kama waziri hajampa waraka wowote msajili ataacha kufuata almanac ilivyo?

Kwani mtihani wa pre intern una shida gani?
 
Barua ya MH. Waziri ilielekeza kwamba wakati Tume inaendelea na kazi,MCT waendelee na program zao kama kawaida,kwahyo MCT wako sahihi.
 
Barua ya MH. Waziri ilielekeza kwamba wakati Tume inaendelea na kazi,MCT waendelee na program zao kama kawaida,kwahyo MCT wako sahihi.
Kwahiyo wangeendelea hata kuwafelisha vijana hata kama wanachunguzwa. Basi waziri hakua serious. Umewahi kuona mbakaji anayetuhumiwa akaendelea kubaka wakati anachunguzwa?

Nadhani hili Suala Ummy Mwalimu ameshindwa kazi Vijana Warudi kumpigia Rais magoti. Ummy analeta siasa na kwanza siyo mtaaluma.
 
Kanuni ndivyo zilivyo....

Na kanuni anatunga waziri...

Msajili wa MCT anateuliwa na waziri..

Unategemea kama waziri hajampa waraka wowote msajili ataacha kufuata almanac ilivyo?

Kwani mtihani wa pre intern una shida gani?
Nimekuambia acha ujinga, kwakua wewe na roho yako ya kutu unakula unajishibia na kujijambia hujui watoto wa maskini wako mtaani hawana leseni na hawajui ni kwanini wslisoma hiyo kozi.
 
Hao vijana enzi za Ulimboka walikuwa chekechea au shule ya msingi?

Fani ambayo WSatanzania hatutaki kabisa kusikia inafanyiwa ubishi na malumbano ni hii ya afya. Hatutaki "tarajali au darajali watuletee ujinga kabisa. Wakacheze na vingine wasicheze na afya zetu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…