Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

Nimekuambia acha ujinga, kwakua wewe na roho yako ya kutu unakula unajishibia na kujijambia hujui watoto wa maskini wako mtaani hawana leseni na hawajui ni kwanini wslisoma hiyo kozi.
Wewe ni walewale tu, makanjanja..

Ngoja nikureport uache ku mislead jamii hapa.
 
Wewe ni walewale tu, makanjanja..

Ngoja nikureport uache ku mislead jamii hapa.
Mpuuzi moja wewe. Mimi siyo Daktari na waka sina ndugu yeyote mwenye taaluna hiyo. Lakini ukisoma malalamiko yao unaona wana hoja ya msingi halafu wewe unaleta pumba unawadhihaki? Mbona Law
school tuliwasikiliza wakaundiwa tume ikfanya kazi?
 
Mpuuzi moja wewe. Mimi siyo Daktari na waka sina ndugu yeyote mwenye taaluna hiyo. Lakini ukisoma malalamiko yao unaona wana hoja ya msingi halafu wewe unaleta pumba unawadhihaki? Mbona Law
school tuliwasikiliza wakaundiwa tume ikfanya kazi?
Umeangalia ufaulu wa law school mwaka huu?

Unafahamu ufaulu umeendelea kuwa uleule?

Ndo maana nakuambia acha ukanjanja...

Fuatilia mambo....

 
Wapikwe na baraza? Hivi wewe una akili sawa sawa? Kama hawakupikwa vyuoni si TCU wajibu?
Kama wamepikwa na tcu unadhani internship.huwa ni ya kazi gani?

Au ushawahi kufikiria kwa nn mtu asome sheria kisha akasome law school mwaka mzima ndiyo awe wakili?

Islamabaddddddd....
 
Tusilete siasa kwenye Afya za Watu. Madaktari Vihiyo msitafute huruma nendeni mkafanye mitihani na kamwe MCT msimwangalie mtu usoni. Vijan ni kulamba midomo n kubana miguu ya suruari na kunyoa viduku tu eti wanataka wajiite madaktari. Shiiiithole Doctors
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) ambalo kimsingi ndilo lenye mamlaka ya kisheria katika kusimamia taaluma ya Utabibu nchini linalalamikiwa na Wanataaluma wa tiba hasa madaktari tarajali kwa kukiuka makubaliono yaliyotokana na majadiliano ya kikao kati ya wataalam hao tarajali pamoja na Naibu waziri wa Afya Dr Godwin Moleli akimwakilisha Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu aliyefunga mjadala kwa kuunda tume ya kiuchunguzi juu ya malalamiko yao.

Wanauliza ni kwanini MCT wametangaza tarehe ya kufanya mtihani wa Pre-Internships mwaka huu wakati kamati ya Mhe Waziri bado haijatoa ripoti yake? Mwenye uhakika na usalama wa huo mtihani ni nani haliyakua watuhumiwa wanachunguzwa? Siyo ukaidi ni nini?

Ni takribani zaidi ya Mwezi mmoja kupita baada ya Mhe Waziri kutoa taarifa kuundwa kwa tume ya kitaalam itakayochunguza ni kwanini Wataalam hao wamekua wakifeli mitihani zaidi ya nusu ya watahiniwa wote? Hata kabla Kamati au Tume ya Mhe Waziri haijatoa Ripoti yake imekuaje MCT wanatangaza mtihani? Yaani wanachunguzwa halafu wanaendelea kufanya kile kile nicholalamikiwa, hii ni sawa?

OMBI/USHAURI KWA MHE WAZIRI
MCT wasitishe kwanza kusajili watahiniwa kwa ajili ya mtihani ambao watungaji wake wametiliwa mashaka.

Kitu kiingine ni kwamba. Hakuna mantiki au hoja yenye mashiko kwenye kufanya mtihani wa Preinternship wakati kuna mtihani wa Postinternship, kwenye preinternship wanapima kitu gani hasa wakati wanafunzi hawa wamekaa darasani miaka 5 na wakafaulu katika vyuo walikotoka? Kama vyuo vingekuwa na walakini TCU wana kazi gani?

Mhe Waziri ulisema kwamba watakaofanya mitihani ya Preintetnships wataendelea na kazi mahospitalini haijalishi wamefeli au wamefaulu, hii maana yake nini? Nini mantiki,tija na umuhimu wa Preinternship zaidi ya siasa na kikundi cha watu wachache kujitengenezea posho kutoka pesa za umma ambazo zingefanya mambo mengine?

Hivyo basi, Mhe Waziri kwa niaba ya Watoa elimu ya utabibu nchini nikiwa kama mwalimu wa vijana hawa, sioni kama Baraza likiwatendea haki, tutapoteza wataalam wengi bila sababu za msingi. Tuige mifano toka kwenye mataifa ya wenzetu.

MCT wasitishe mara moja usajili wa watahiniwa wa mtihani wa preinternship mpaka tume yako itakapokuja na majibu Mhe Waziri.

KAZI IENDELEE!

===================================



PIA SOMA:

UPDATE: Wizara ya Afya yaunda Kamati kuchunguza Malalamiko ya Madaktari Watarajali

Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

Sina imani na Kamati Huru iliyoundwa na Ummy Mwalimu kufuatilia sakata la Madaktari Watarajali
Napendekeza mtian wa vijana hawa wa post internship kupimwa interms of practical, na sio theory, kwa sababu maana ya intern ni kupractice kwa vitendo ,that's huko hupewa na vyeti vya matokeo, vinginevyo kumpima uyu kijana kwa theory ambayo amepambana nayo kwa miaka mitano ni upumbavu kama sio ujinga,

Theory inamsaidiaje uyu kijana kama practically yupo poor,
 
MCT, TNMC, HLPC, PCT endeleeni kukaza ivoivo, hatutaki mazumbukuku maeneo ya kazi...

Wapikeni vijana vile inavyotakiwa, hizi kelele za mitaani zisiwasumbue...

Kule law school waliunda mpaka tume mwaka juzi. Nenda kafuatilie majibu yalikuwaje ndiyo utajua hawa intern doctors wanatakiwa wakae kwa kutulia..
We nawe ni mshamba kama washamba wengine , wapo specialist wangapi tz, na je walipitia mfumo huu wa ukandamizaji kama huu, au wafikili walikua bora kuliko hawa vijana wa leo,
Fani yoyote hasa hii ya afya kadri unavyo kuwa kazini ndivyo ndivyo uwezo pia unaongezeka kadri ya siku hadi siku, na utaendelea kusoma mpaka unaingia kaburin, maana mambo yanabadilika kila siku

so wewe unaeshabikia upumbavu kama huu wenda ulikua kilaza na wenda umefika hapo kwa kudra tu thats upo na roho mbaya, watu smart , hutowakuta wapo na majungu ya kipumbavu kama yako
MCT, TNMC, HLPC, PCT endeleeni kukaza ivoivo, hatutaki mazumbukuku maeneo ya kazi...

Wapikeni vijana vile inavyotakiwa, hizi kelele za mitaani zisiwasumbue...

Kule law school waliunda mpaka tume mwaka juzi. Nenda kafuatilie majibu yalikuwaje ndiyo utajua hawa intern doctors wanatakiwa wakae kwa kutulia..
 
Inatakiwa wizara iongozwe ka mti aliyesomea utanibu
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) ambalo kimsingi ndilo lenye mamlaka ya kisheria katika kusimamia taaluma ya Utabibu nchini linalalamikiwa na Wanataaluma wa tiba hasa madaktari tarajali kwa kukiuka makubaliono yaliyotokana na majadiliano ya kikao kati ya wataalam hao tarajali pamoja na Naibu waziri wa Afya Dr Godwin Moleli akimwakilisha Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu aliyefunga mjadala kwa kuunda tume ya kiuchunguzi juu ya malalamiko yao.

Wanauliza ni kwanini MCT wametangaza tarehe ya kufanya mtihani wa Pre-Internships mwaka huu wakati kamati ya Mhe Waziri bado haijatoa ripoti yake? Mwenye uhakika na usalama wa huo mtihani ni nani haliyakua watuhumiwa wanachunguzwa? Siyo ukaidi ni nini?

Ni takribani zaidi ya Mwezi mmoja kupita baada ya Mhe Waziri kutoa taarifa kuundwa kwa tume ya kitaalam itakayochunguza ni kwanini Wataalam hao wamekua wakifeli mitihani zaidi ya nusu ya watahiniwa wote? Hata kabla Kamati au Tume ya Mhe Waziri haijatoa Ripoti yake imekuaje MCT wanatangaza mtihani? Yaani wanachunguzwa halafu wanaendelea kufanya kile kile nicholalamikiwa, hii ni sawa?

OMBI/USHAURI KWA MHE WAZIRI
MCT wasitishe kwanza kusajili watahiniwa kwa ajili ya mtihani ambao watungaji wake wametiliwa mashaka.

Kitu kiingine ni kwamba. Hakuna mantiki au hoja yenye mashiko kwenye kufanya mtihani wa Preinternship wakati kuna mtihani wa Postinternship, kwenye preinternship wanapima kitu gani hasa wakati wanafunzi hawa wamekaa darasani miaka 5 na wakafaulu katika vyuo walikotoka? Kama vyuo vingekuwa na walakini TCU wana kazi gani?

Mhe Waziri ulisema kwamba watakaofanya mitihani ya Preintetnships wataendelea na kazi mahospitalini haijalishi wamefeli au wamefaulu, hii maana yake nini? Nini mantiki,tija na umuhimu wa Preinternship zaidi ya siasa na kikundi cha watu wachache kujitengenezea posho kutoka pesa za umma ambazo zingefanya mambo mengine?

Hivyo basi, Mhe Waziri kwa niaba ya Watoa elimu ya utabibu nchini nikiwa kama mwalimu wa vijana hawa, sioni kama Baraza likiwatendea haki, tutapoteza wataalam wengi bila sababu za msingi. Tuige mifano toka kwenye mataifa ya wenzetu.

MCT wasitishe mara moja usajili wa watahiniwa wa mtihani wa preinternship mpaka tume yako itakapokuja na majibu Mhe Waziri.

KAZI IENDELEE!

===================================



PIA SOMA:

UPDATE: Wizara ya Afya yaunda Kamati kuchunguza Malalamiko ya Madaktari Watarajali

Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

Sina imani na Kamati Huru iliyoundwa na Ummy Mwalimu kufuatilia sakata la Madaktari Watarajali
Mkuu hivi mtu anafanyaje mtihani na kuwa Daktari wakati HAJALA KIAPO?

Zamani ilikuwa lazima graduation ifanyike WAHITIMU WAAPE! Hapo ndipo mtihani unakuja.

Leo mnawataka wahitimu wafanye mtihani waanze Kazi ya kuhudumia watu bila kiapo? MMESAHAU UDAKTARI SIO TU SHULE NA MITIHANI NI PAMOJA NA KIAPO!

Wahusika msisiginee Sheria. Nchi hii inaendeshwa kwa Sheria na sio utashi wa mtu.
 
Kama wamepikwa na tcu unadhani internship.huwa ni ya kazi gani?

Au ushawahi kufikiria kwa nn mtu asome sheria kisha akasome law school mwaka mzima ndiyo awe wakili?

Islamabaddddddd....
We jamaa ni kilaza sana , kwamba hujui intern ni kwa ajili ya nini , je ni watu wa afya hufanya intern peke yao, inten ni implementation ya kile ulikisoma na kukifaulu darasi kwa vitendo, sasa unazuiaje mtu kwenda intern, au unampimaje aliemaliza intern na kufaulu kwa theory tena,

Aliemaliza intern na kufaulu ikiwa ni pamoja kupewa cheti, nikigezo tosha cha mtu kuingia kwenye soko la ajira, sasa unakuja na mtiani mwingine unampima nini, kuliko yule aliemsimamia ,huu ni upumbavu
 
We nawe ni mshamba kama washamba wengine , wapo specialist wangapi tz, na je walipitia mfumo huu wa ukandamizaji kama huu, au wafikili walikua bora kuliko hawa vijana wa leo,
Fani yoyote hasa hii ya afya kadri unavyo kuwa kazini ndivyo ndivyo uwezo pia unaongezeka kadri ya siku hadi siku, na utaendelea kusoma mpaka unaingia kaburin, maana mambo yanabadilika kila siku

so wewe unaeshabikia upumbavu kama huu wenda ulikua kilaza na wenda umefika hapo kwa kudra tu thats upo na roho mbaya, watu smart , hutowakuta wapo na majungu ya kipumbavu kama yako

Kumbe unajua mambo yanabadilika then hapohapo unaleta habari za ma specialist wa mwaka 90?

Mabadiliko ni pamoja na mifumo ya upatikanaji wa wana kada.

Hii mifumo ya sasa imeletwa kuendana na mifumo ya kimataifa, miaka michache nyuma nchi zingine walikuwa wanatushangaa how come wataalam wa afya wote wakimaliza internship wanakuwa licensed bila kufanya mtihani?

Pia outsiders walikuwa wanashangaa mtu ana renew vipi leseni yake bila kuwa na CPD Points?

Ndipo sasa Licensure Exams na CPD zikaletwa ili kukidhi vigezo vya hizi kada za afya.

Ila haya huwezi kuyajua kwa sababu wewe ni kanjanja tuu usiyetaka mabadiliko na hutaki kufuatilia mambo yanavyoenda..
 
We jamaa ni kilaza sana , kwamba hujui intern ni kwa ajili ya nini , je ni watu wa afya hufanya intern peke yao, inten ni implementation ya kile ulikisoma na kukifaulu darasi kwa vitendo, sasa unazuiaje mtu kwenda intern, au unampimaje aliemaliza intern na kufaulu kwa theory tena,

Aliemaliza intern na kufaulu ikiwa ni pamoja kupewa cheti, nikigezo tosha cha mtu kuingia kwenye soko la ajira, sasa unakuja na mtiani mwingine unampima nini, kuliko yule aliemsimamia ,huu ni upumbavu
Acheni ubishi, fanyeni paper muende intern..

Kama umefaulu vizuri kwa nini mnaogopa paper, si mmefaulu vizuri? Fanyeni paper hilo mlichape kisawasawa muende intern.
 
Acheni ubishi, fanyeni paper muende intern..

Kama umefaulu vizuri kwa nini mnaogopa paper, si mmefaulu vizuri? Fanyeni paper hilo mlichape kisawasawa muende intern.
Wanaendaje Intern ambapo ni kama kuanza Kazi BILA KULA KIAPO? Hivi akikiuka maadili ya udaktari atahukumiwa kwa sheria ipi?
 
Back
Top Bottom