cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na mie sijataja mtuu, nimetoa codes tyuu.Kwani kamtaja mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie sijataja mtuu, nimetoa codes tyuu.Kwani kamtaja mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23] hatarii tupuu.Duuuh...
Mnatabu kama boss wenu Mo na mkimnunia tu mnarudi kwa miguu au mnaunga mabasi kutoka Uturuki mpaka bongo.Na mie sijataja mtuu, nimetoa codes tyuu.
Kwani wewe siyo raia?!?!😂Hii nchi tamu sana sihami haki ya mungu
Kuna watu mmepinda sana😂
Wala hatujariiii na sio shida zetuu, pambanaa na yenuuu.Mnatabu kama boss wenu Mo na mkimnunia tu mnarudi kwa miguu au mnaunga mabasi kutoka Uturuki mpaka bongo.
Boss iko jambisha nyinyi.Wala hatujariiii na sio shida zetuu, pambanaa na yenuuu.
Wakati mnatembeza bakuliii, hamkuwa mnaona tabuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan Kande ana uwalaza?February Marope au Maharage Kande ?
[emoji3578]
Anapigaga mapara sometimesKwan Kande ana uwalaza?
POA. Nilidhan ana uwalaza asiliaAnapigaga mapara sometimes
[emoji3578]
Hana F Marope ndio ana ualazaPOA. Nilidhan ana uwalaza asilia
Duh!Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Kalpana kuna nini huko kwenu jamani....mwanadada mbona analeta story za mafumbo hapa
Alisemaje manala?Manala naanza kumuelewa
Aisee hii habari iliwekwa lakini ilitolewa fasta kumbeeee mmmh.Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?
Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha folaeni.
Na hatuna habariii yaanBoss iko jambisha nyinyi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna imeeleweka jamanii.Duh!
Hebu ongea kiswahili basi, hiyo lugha sisi hatuiwezi