Barbara Gonzalez anamaanisha nini? Kuna nini Simba?

Barbara Gonzalez anamaanisha nini? Kuna nini Simba?

Mnatabu kama boss wenu Mo na mkimnunia tu mnarudi kwa miguu au mnaunga mabasi kutoka Uturuki mpaka bongo.
Wala hatujariiii na sio shida zetuu, pambanaa na yenuuu.
Wakati mnatembeza bakuliii, hamkuwa mnaona tabuu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?

Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha foleni.
Duh!
Hebu ongea kiswahili basi, hiyo lugha sisi hatuiwezi
 
Lakini huyu si aliaga kwa amani?? Hata angekua nani, kucheat kwa kudate na Rais wa team pinzani kuwezaa?

Lakini mbna akipata Ulaji CAF, kupitia danga lake LA Morocco, na mimba nkajua ya huko, kuja kusikia ni ya kipara ngoto wa units la luku. Ila Babraa nae yumo kwa kupangisha folaeni.
Aisee hii habari iliwekwa lakini ilitolewa fasta kumbeeee mmmh.
 
Back
Top Bottom