Barbara Gonzalez CEO wa Simba SC nakukubali kiutendaji, ila acha kumdharau Senzo Mazingisa kwani hujafikia hata 15% tu ya uwezo wake

Barbara Gonzalez CEO wa Simba SC nakukubali kiutendaji, ila acha kumdharau Senzo Mazingisa kwani hujafikia hata 15% tu ya uwezo wake

Aiseee umempiga Genta na kitu kizito kichwani sijui kama ataamka, Una murder case mkuu!
Wewe kweli ngo'mbe wa kigogo!! Hata akili za kuelewa kuwa alipata opportunity hizo kwa sababu mashindano ya wordcup yalikuwa yanafanyika kwenye ardhi yao!!
Kama angelikuwa kweli amepafomu vizuri FIFA, isingeshindwa kumtumia tena kwenye shughuli zake!!ni mafanikio gani amepata nje ya nchi yake kiutendaji?!!
Tupe CV yake kabla ya 2008,?!! Niambie ni shughuli gani ambazo amewahi kuwa appointed na FIFA au CAF?!! Ukiondoa zile zilizofanyika uko kwao ambazo nazo sio kwamba FIFA walimpoint, bali ni SAFA.
Tuoneshe ni mafanikio gani amepata,ngazi ya africa, toka awe manager na CEO kwenye ngazi za vilabu uko kwao South Africa, Zimbabwe na pia Tanzania ambako anafanya kazi?! Mwisho tupe CV yake ya elimu ili tuone amesoma wapi na kwa kiwango gani ili tumlinganishe na CEO wa Simbasc?!! Mtu ambae alishindwa kufanya contact hand over!! Kwa mwajiri wake ndio unasema "eti" ni mweledi?!! Unashoboka sana na wageni matapeli nafikili kwasababu huna exposure yeyote zaidi ya kwenda kwenu mpwapwa na kurudi dsm ndio maana unawaona watu, kariba ya mr mazingiza kuwa ni weledi!! Uyo mtu wako kwa taarifa yako ni mweupe kichwani,ungekuwa una hata connection kidogo hapa mjini!! Ungejua kwa nini MO Dewji alianza kumpuuzia!! Kama kweli wewe ni mtoto wa town kama unavyojinasibu!! Uliza kwa nn alishindwa kuweka sawa mkataba wa Simbasc na equity bank!! Mpaka ms babra ndio akaja kuokoa jahazi!! Uyo tapeli wa kizulu ni mweupe kichwani, wajinga kama wewe ndio mnamuona bora kutokana na uelewa wenu mdogo.
 
Katika pigo ambalo naona utopolo walitupiga ssc ni kumchukua senzo.senzo ni mtu na nusu.
 
Kulinganisha utendaji wa Barbara na Senzo wa sasa ni sawa na kumlinganisha Kagere na Mwamnyeto. Labda ulinganishe ufanisi wao ktk nafasi ya CEO pale simba na kwenye ilo naona Barbara atamuacha mbali Senzo
 
barbara ana kila sababu ya kutaka asifanishwe na senzo. CV yake kitaaluma na kikazi ni kubwa sana.

niwatake utopolo watuletee CV ya senzo, ya barbara hii hapa. ipo public kwa kwenye mtandao wa LinkedIn. yoyote mwenye access ya internet anaweza akaiona.

IMG_20210130_143653.jpg
IMG_20210130_143750.jpg
IMG_20210130_143836.jpg
IMG_20210130_143940.jpg
 

Attachments

  • IMG_20210130_143940.jpg
    IMG_20210130_143940.jpg
    82.5 KB · Views: 5
Genta umegusa point muhimu sana

Barbara katika position ya u-CEO kwenye football industry bado ni Junior, bado hajafikia hata robo ya u-senior kama alivyo Senzo.

Senzo anapossess experience, skills na exposures ya kiuongozi ktk football industry kwenye nchi tofauti tofauti na kwenye ligi kubwa ( PSL) na kuwa mmoja wa coordination team kwenye major tournament kama WORLD CUP

Hvyo Barbara kusema Senzo sio class yake labda awe amemaanisha asilinganishwe na mtu aliye juu kiuwezo kwakuwa yeye barbara bado ni Junior ktk hio position
Siyo class yake kwa kweli. Babra ni C.E.O wa simba, senzo ni nani pale yanga? Class yao kiutendaji iko sawa?
 
BARBARA AMKATAA SENZO "sio Type Yangu"

Kuhusu kufananishwa na yule bwana wa upande wa pili nisingependa kujibu kwa sababu haina tija, Mimi sisumbuliwi na propaganda za watu kabisa.

Nimesimama imara, najiamini kwenye uwezo wangu, Kama mtu anatafuta sehemu ya kuji-brand, namuona mtu huyo ni mwepesi. Sisumbuliwi hata kidogo.

Mimi ni mweledi, najua uwezo wangu na huwezi kunifananisha na mtu ambaye hana ‘class’ yangu ( Senzo is not my type)

Chanzo: cloudsfmtz na simba_breaking_news

Mimi ni Simba SC Mwenzako ila sijazoea Unafiki na hupenda kuwa Mkweli hata kama 'nitawaudhi' Watu. Barbara Gonzalez CEO wa Simba SC bado una mengi hasa ya 'Kiutendaji' ya 'Kujifunza' kutoka Kwake Senzo Mazingisa aliyeko kwa Watani zetu sasa Yanga SC. Kiburi chako cha Pesa na kuwa karibu na 'Mwekezaji' Mo Dewji hasa 'Kimahusiano' yenu kusikufanye nawe ujione ni Tajiri Afrika. CV ya Senzo Mazingisa haitishi tu hapa Tanzania bali hata huko CAF na FIFA pia anatambulika na kuheshimika pia.

Barbara Gonzalez ifuatayo hapa chini ni sehemu ya Uzoefu wa Kiutendaji wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mazingiza ili ujue kuwa haumpati

1. 2010 South Africa World Cup Coordinator
2. FIFA Confederation Cup 2009 Event Coordinator
3. South Africa Tournament Director
4. PSL Ticketing and Security Committee Director
5. CAF Symposium Delegate Director
6. General Manager at Platinum Stars Football
7. Orlando Pirates Director of Administration
Sijaona la maana umeongea dhidi ya Barabara kwa senzo hapo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
BARBARA AMKATAA SENZO "sio Type Yangu"

Kuhusu kufananishwa na yule bwana wa upande wa pili nisingependa kujibu kwa sababu haina tija, Mimi sisumbuliwi na propaganda za watu kabisa.

Nimesimama imara, najiamini kwenye uwezo wangu, Kama mtu anatafuta sehemu ya kuji-brand, namuona mtu huyo ni mwepesi. Sisumbuliwi hata kidogo.

Mimi ni mweledi, najua uwezo wangu na huwezi kunifananisha na mtu ambaye hana ‘class’ yangu ( Senzo is not my type)

Chanzo: cloudsfmtz na simba_breaking_news

Mimi ni Simba SC Mwenzako ila sijazoea Unafiki na hupenda kuwa Mkweli hata kama 'nitawaudhi' Watu. Barbara Gonzalez CEO wa Simba SC bado una mengi hasa ya 'Kiutendaji' ya 'Kujifunza' kutoka Kwake Senzo Mazingisa aliyeko kwa Watani zetu sasa Yanga SC. Kiburi chako cha Pesa na kuwa karibu na 'Mwekezaji' Mo Dewji hasa 'Kimahusiano' yenu kusikufanye nawe ujione ni Tajiri Afrika. CV ya Senzo Mazingisa haitishi tu hapa Tanzania bali hata huko CAF na FIFA pia anatambulika na kuheshimika pia.

Barbara Gonzalez ifuatayo hapa chini ni sehemu ya Uzoefu wa Kiutendaji wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mazingiza ili ujue kuwa haumpati

1. 2010 South Africa World Cup Coordinator
2. FIFA Confederation Cup 2009 Event Coordinator
3. South Africa Tournament Director
4. PSL Ticketing and Security Committee Director
5. CAF Symposium Delegate Director
6. General Manager at Platinum Stars Football
7. Orlando Pirates Director of Administration
angekuwa na cv ya kutisha asingebaki yanga ambayo hata mshahara haimpi
 
Babra amemzidi Senzo elimu, hana elimu ya kuungaunga kama kina sisi.
Hivi mliwahi jiuliza kilichomtoa huyo Senzo huko kwao mpaka aka apply kazi Simba?
Senzo is Overrated, amekuwepo simba hatukuona maajab yoyote simba ilibaki kuwa ile ile.
Kuhusu senzo kuwa na CV kubwa, je hiyo CV ndo inayofanya kazi?
Kwasababu senzo ana CV kubwa ina maana watu wengine hawaruhusiwi kujenga CV zao?
Hivi Unadhani kuwa Assistant wa bilionea ni kitu rahisi? Lazima ana uwezo mkubwa ila atapingwa sana sababu ya jinsia yake.
Wewe jamaa umeongea utumbo tena utumbo uliooza
 
Una uhakika Senzo alipewa freedom ya kutosha pale simba? Mawazo yake yalitekelezwa kwa kiasi kikubwa!!?
Simba mpaka sasa hamna anaetaka mabadiliko ya kweli na ndio maana sasa hivi wako kwenye mvutano na FCC,na iko ndicho kilichomuondoa senzo pale simba
 
BARBARA AMKATAA SENZO "sio Type Yangu"

Barbara Gonzalez ifuatayo hapa chini ni sehemu ya Uzoefu wa Kiutendaji wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mazingiza ili ujue kuwa haumpati

1. 2010 South Africa World Cup Coordinator
2. FIFA Confederation Cup 2009 Event Coordinator
3. South Africa Tournament Director
4. PSL Ticketing and Security Committee Director
5. CAF Symposium Delegate Director
6. General Manager at Platinum Stars Football
7. Orlando Pirates Director of Administration
Hii cv haiendani na utendaji wake sasa au alipokuwa SSC. Yupo yupo tu
 
Simba mpaka sasa hamna anaetaka mabadiliko ya kweli na ndio maana sasa hivi wako kwenye mvutano na FCC,na iko ndicho kilichomuondoa senzo pale simba
Mpira unachezwa uwanjani na vikombe vinapatikana kupitia kuucheza mpira. Kama una hela za kuwezesha mpira uchezwe, hayo mabadiliko hata yakija miaka 10 baadaye ni sawa tu. heri hata Simba waliofika hatua hiyo kuliko ambao hata mkutano wa wanachama haujafanyika
 
BARBARA AMKATAA SENZO "sio Type Yangu"

Kuhusu kufananishwa na yule bwana wa upande wa pili nisingependa kujibu kwa sababu haina tija, Mimi sisumbuliwi na propaganda za watu kabisa.

Nimesimama imara, najiamini kwenye uwezo wangu, Kama mtu anatafuta sehemu ya kuji-brand, namuona mtu huyo ni mwepesi. Sisumbuliwi hata kidogo.

Mimi ni mweledi, najua uwezo wangu na huwezi kunifananisha na mtu ambaye hana ‘class’ yangu ( Senzo is not my type)

Chanzo: cloudsfmtz na simba_breaking_news

Mimi ni Simba SC Mwenzako ila sijazoea Unafiki na hupenda kuwa Mkweli hata kama 'nitawaudhi' Watu. Barbara Gonzalez CEO wa Simba SC bado una mengi hasa ya 'Kiutendaji' ya 'Kujifunza' kutoka Kwake Senzo Mazingisa aliyeko kwa Watani zetu sasa Yanga SC. Kiburi chako cha Pesa na kuwa karibu na 'Mwekezaji' Mo Dewji hasa 'Kimahusiano' yenu kusikufanye nawe ujione ni Tajiri Afrika. CV ya Senzo Mazingisa haitishi tu hapa Tanzania bali hata huko CAF na FIFA pia anatambulika na kuheshimika pia.

Barbara Gonzalez ifuatayo hapa chini ni sehemu ya Uzoefu wa Kiutendaji wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mazingiza ili ujue kuwa haumpati

1. 2010 South Africa World Cup Coordinator
2. FIFA Confederation Cup 2009 Event Coordinator
3. South Africa Tournament Director
4. PSL Ticketing and Security Committee Director
5. CAF Symposium Delegate Director
6. General Manager at Platinum Stars Football
7. Orlando Pirates Director of Administration
Naona "wasukuma" wengi hawajaelewa aliposema senzo sio class yake na sio tupe yake.
yuko sahihi sio tupe yake na wala sio vlass yake sasa naona mlioanzisha debate ya nani ni zaidi mmepata loophole ya kushikia...
Mpaka kusema senzo sio type yake[emoji23][emoji23]
Mlitaka aseme ni type yake?
angesema ni tupe yake mngefungua uzi pia...
Wabongo bhana.
 
Tatizo anaongea kiswahili kwa lafudhi ya kizungu basi watu wanaona kama ana dharau...
Yuko sahihi, senzo sio type yake na wala sio class yake.
 
Back
Top Bottom