Ule msemo wa Eymael wa kuwa "Washabiki wa Yanga ni Uneducated" unafanya kazi Vizuri tu hapa kwako.
- Siku zote unapokuwa na CV nzuri unapanda juu na sio kushuka Chini, but Senzo kashuka chini mpaka kufikia kutoka South Afrika kuja Tanzania tena kuwa Mpiga Stori tu wa Yanga kwani position yake pale Yanga hasa haijulikani.
- Katika uhai wake wote huyo Senzo hakuwahi kuwa CEO isipokuwa hiyo position akipata akiwa Simba na akaprove failure, hii manayake hana experience na ubora wowote katika utendaji zaidi ya u-coordinator wa events kama alivyozoea.
- Ukiangalia CV ya Senzo utagundua kumbe ni Coordinator wa Matukio (Events) tu na wala sio Mtendaji, hivyo huyu Senzo ukweli usiofichika ni MC tu labda umpe harusi anaweza kuperform vizuri ukumbini.
- Senzo hakuwahi kuajiriwa na FIFA wala kufanya kazi na FIFA, bali ni Nchi yake ya South Afrika ndiyo iliyompa kazi yake ya kawaida ya kuwa Coordinator (MC) kwenye hayo mashindano jambo ambalo alifail vibaya kwa kutokudhibiti MAVUVUZELA mpaka FIFA wakayapiga Ban na Ulaya wakayazuia yasiingie Viwanjani kwenye Nchi zao.
- Mwisho, B. Gonzalez hajawahi kuwa Coordinator popote pale bali kila alipopiga alikuwa ni Mtendaji na anaperform vizuri ndiyomana hashuki chini bali anapanda juu.
Hivyo musiwe na akili za Kisenzo basi kwani kinachomtesa Senzo ni Elimu, elimu, elimu, hivyo Senzo ni Uneducated kama Nyinyi Washabiki mulivyo.