Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

GENTAMYCINE nimekuwa nikitumia Nguvu Kubwa sana hapa JamiiForums Kuwashaurini na hata kwa Kuwaongoza kwa yale msiyoyajua ila mmekuwa mkinipuuza hivyo sasa acha yakupate na yatupate ili tushike Adabu zetu.

CEO Barbara Gonzalez tafadhali GENTAMYCINE nakuomba acha mara moja Kuiingiza Taasisi ya Simba SC katika Mgogoro wako Binafsi na huyo Afisa wa TFF ( ambaye ni Mwanamke Mwenzako ) na kutafuta Huruma ya Kilazima kutoka Kwetu Mashabiki wa Simba SC na najua wale Mashabiki Wapumbavu ( Mapopoma ) watakuunga mkono ila siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE ( Jeshi la Mru Mmoja ) kutokea Mkoani Mara ( Musoma )

CEO Barbara Gonzalez ukaribu wako wa 'Kibaiolojia' na Mwekezaji Tajiri Mohammed Mo Dewji kumekupa Jeuri, Dharau na Kiburi na kwa Watu tunaoijua Simba SC kabla yako, tuliojitolea Kuipigania, tunaokujua vyema hasa kupitia Watu wako wa karibu katika Menejimenti ya Simba SC tunaposikia kuwa Unatukana Watu au Kuwajibu hovyo hatukushangai kwani ndiyo Ukweli na ndivyo ulivyo 100% pia.

Hivi majuzi hapa hapa JamiiForums niliandika Uzi wa Kuwashtueni Viongozi wa Simba SC kuwa amkeni imarisheni Kitengo chenu cha Umafia kwani tunaumizwa ila kwa Upumbavu ( Upopoma ) wenu hamkunielewa na sasa mnabaki Kulialia tu hovyo.

Usichokjjua CEO Barbara Gonzalez ni kwamba Kiburi chako, Jeuri yako na Dharau zako za Pesa ( Utajiri ) unaopewa na 'Mbaiolojia' Mwenzako Tajiri Mo Dewji ndiyo ANGUKO KUU la Simba SC na hasa katika Kukomolewa Kwetu huku kuhusu Viwanja vya Kuchezea na Ratiba Ngumu kwani TFF ya Karia nayo sasa inakunyoosha 'Kiaina' kwa Hasira za kutaka Kuwatibulia Keki yao ya Tsh Bilioni 2 za Udhamini wa GSM na Uvaaji wa Nembo yao.

Simba SC inakomolewa kwa ajili yako na hiyo Kesi ni sehemu moja tu ya Kukuchanganya Kisaikolojia ( na kwa jinsi nilivyokusikia Ukiongea EFM jana na Maulid Kitenge ) tayari Umeshaanza Kuchanganyikiwa na hapo bado mpaka 'Uuteme' Mwenyewe huo U - CEO wako uliopewa 'kinamna namna' tu.

Halafu CEO Barbara Gonzalez Kauli yako ya kusema kuwa Mwenendo mbaya wa Simba SC kwa 50% unachangiwa na Wewe Kuandamwa Kwako na Vita hii ya TFF, GSM na Wewe waambie Wapuuzi unaofanana nao ila kwa Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe na Uongozi wako wa Simba SC ukimuhusisha 'Mbaioloji' Mwenzako Tajiri Mo Dewji mmeacha Kusajili Wachezaji wazuri, mmeshatengeneza Matabaka ndani ya Kikosi cha Simba SC na hamuwalipi vyema Wachezaji hasa Posho zao na Timu nzima imekosa 'morale' huku mkificha kuwa kwa sasa Tajiri Mo Dewji hatoi tena Pesa Klabuni kutokana na kidogo Kuyumba Kibiashara huku GSM sasa Wakiimarika zaidi kutokana na Mfumo wa sasa Kiutawala.

CEO Barbara Gonzalez niliyeandika Uzi huu ni Mimi GENTAMYCINE mwana Simba SC lia lia hivyo usije kudhani labda ni mwana Yanga SC au natumiwa na Yanga SC isipokuwa nimeshindwa Kuuvumilia Upuuzi na Unafiki ambao unaendelea Kushamiri ndani ya Klabu yangu pendwa na Tukuka ya Simba SC.

Hongera ( Hongereni ) sana kwa Kujitutumua Kuicheza kwa Nguvu zote Mechi ya Kesho na Kagera Sugar FC ( huku mkizipuuza zile Mbili za Mbeya City na Mtibwa Sugar FC ) ila msisahau tu kuwa TAKUKURU na Serikali haijalala na ipo macho 24/7.

CEO Barbara Gonzalez nitakuona tu una Akili na upo Makini kama Ukikiri kuwa kwa Msimu huu Watani zetu Yanga SC wako vizuri, wametuzidi Ujanja ( Kete ) na kwamba wana Uwezekano wa Kuwa Mabingwa hivyo Simba SC tujitahidi tu Kupambana nao ila Nguvu yetu Kubwa tuielekeze katika ASFC ( FA ) kama na huko pia tutabahatika nako.

Kwa wale Wote ( hasa wana Simba SC ) ambao mtakereka na Kuchukizwa na huu Uzi wangu Ushauri wangu Kwenu ni ama Kunibloku ( Ignore ) msiwe mnanisoma

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambapo huwa sikai na Uchafu na hata kama ukiwa ni Rafiki yangu au Ndugu yangu ukikosea ( ukikengeuka ) tu nitakusema ( nitakukosoa ) bila Aibu au Uwoga ili Ujitathmini na Ubadilike upesi.

Na nina bahati mbaya moja huwa siyo Mnafiki, sipendi Unafiki na sijui Kujipendekeza ( Kujikomba ) kwa Mtu hata akiwa ni Tajiri, Maarufu au ameshawahi Kunisaidia kwa chochote / lolote.

Nimemaliza.
Tangu ujue neno Simba uliwahi hata kutoa sent tano kwenye club pmj na kujinasibu eti kindakindaki wa Simba?
 
kesi ameipata akiwa anatekeleza majukumu ya kila siku ya klabu sasa vipi ajitenganishe na ssc

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikiwa ni Mfanyakazi wa Kampuni X kisha nikakutukana Wewe Mfanyakazi wa Kampuni Y ambapo Wote tunatekeleza Majukumu yetu Matusi ya Nguoni.

Je, hapo ukiamua Kunifungulia Kesi ya Kukutukana itakuwa inanihusu GENTAMYCINE kama Mimi Binafsi au itamuhusisha GENTAMYCINE na Taasisi yangu X? Kwahiyo Boss wangu wa Kampuni X ndiyo alinituma nitukane Tusi hilo la Nguoni?

Huna kweli Akili Wewe hebu nitokee hapa.
 
Genta, nakupendaaa na nimejitolea kuolewa na wewe kolo[emoji23][emoji23]

Ila mimi mambo ya feminism yananikera sana. Lile limwanamke kulialia tu daily. Linasaka huruma.

Karibu moyoni mwangu, karibu utopoloni[emoji4]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangu ujue neno Simba uliwahi hata kutoa sent tano kwenye club pmj na kujinasibu eti kindakindaki wa Simba?
Pumbavu ukitaka kujua nimeifanyia nini Simba SC mtafute Mshauri Mkuu Magori au Kocha Msaidizi Matola au aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa GENTAMYCINE na 'Mafia' Wenzangu Wawili tuliwafanyia nini Viongozi wa AS Vita tulipowafunga 'Kimafia' kwa Mkapa baada ya Daktari wao kuchukua 'Sample' ya Maji tuliyoyapulizia Dawa ambayo walitaka kuyapeleka CAF na Simba SC yako mpaka Tanzania yako ingekumbwa na Rungu Kubwa la Adhabu.

Nenda pale JNIA ukawaulize wale Wafanyakazi tulichowafanyia wale Viongozi wa AS Vita hadi tukaichomoa ile Chupa wasiondoke nayo na Kuwachelewesha hadi Kusafiri huku Maafisa Vipenyo Wawili ( Mmoja ni Mdada ) wa Uwanjani pale wakitupa Ushirikiano wao.

Ukimaliza mtafute Juma Nkamia ( Mtani wangu wa Kirangi ) na Kassim Dewji kisha waulize nilifanya nao Kufuru gani pale Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) Simba SC ilipocheza na Club Ismailia sawa?

Mpuuzi mkubwa Wewe kaa mbali nami.
 
mkuu umeandika kitu cha maana sana, babra ni kirusi hatari sana ndani ya simba, mahusiano yake na boss ndo yanafanya club ipitie wakati mgum mpaka sasa, ndani ya uongozi kishavurugana na kila mtu na ilipaswa aondolewe mapema lkn mahusiano yake na boss ndo yanamlinda, bila kumuondoa babra, simba itaendelea kupitia wakati mgum zaidi.
 
Upuuuzuzi mtupu!! Uzi umeandikwa na mpuuuzi kupindukia halafu utoh ndo wanafurahi na kucheka hadi wanagalagala. wanafikiri kwa maneno ya mpuzi mmoja huyu(kibwenguhuyu) ndo simba itatetereka!! simba itabaki kuwa simba haiwezi simba ikategemea mihemuko na uchawi wako ili ishinde!! Nyie ndo mnasubiri simba iteleze kidogo tu halafu ndo ulete utumbo wako hapa.. kichwa cha habari kinahusu babra lkn unaongea meengi ka umetoka.....
 
Pumbavu ukitaka kujua nimeifanyia nini Simba SC mtafute Mshauri Mkuu Magori au Kocha Msaidizi Matola au aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa GENTAMYCINE na 'Mafia' Wenzangu Wawili tuliwafanyia nini Viongozi wa AS Vita tulipowafunga 'Kimafia' kwa Mkapa baada ya Daktari wao kuchukua 'Sample' ya Maji tuliyoyapulizia Dawa ambayo walitaka kuyapeleka CAF na Simba SC yako mpaka Tanzania yako ingekumbwa na Rungu Kubwa la Adhabu.

Nenda pale JNIA ukawaulize wale Wafanyakazi tulichowafanyia wale Viongozi wa AS Vita hadi tukaichomoa ile Chupa wasiondoke nayo na Kuwachelewesha hadi Kusafiri huku Maafisa Vipenyo Wawili ( Mmoja ni Mdada ) wa Uwanjani pale wakitupa Ushirikiano wao.

Ukimaliza mtafute Juma Nkamia ( Mtani wangu wa Kirangi ) na Kassim Dewji kisha waulize nilifanya nao Kufuru gani pale Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) Simba SC ilipocheza na Club Ismailia sawa?

Mpuuzi mkubwa Wewe kaa mbali nami.
Kama haya yana ukweli, basi ile kwa Mkapa hatoki mtu ilikuwa ni mbinu za nje ya uwanja na sio kingine zaidi. Na nyuma ya pazia kuna siri kubwa sana
 
GENTAMYCINE nimekuwa nikitumia Nguvu Kubwa sana hapa JamiiForums Kuwashaurini na hata kwa Kuwaongoza kwa yale msiyoyajua ila mmekuwa mkinipuuza hivyo sasa acha yakupate na yatupate ili tushike Adabu zetu.

CEO Barbara Gonzalez tafadhali GENTAMYCINE nakuomba acha mara moja Kuiingiza Taasisi ya Simba SC katika Mgogoro wako Binafsi na huyo Afisa wa TFF ( ambaye ni Mwanamke Mwenzako ) na kutafuta Huruma ya Kilazima kutoka Kwetu Mashabiki wa Simba SC na najua wale Mashabiki Wapumbavu ( Mapopoma ) watakuunga mkono ila siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE ( Jeshi la Mru Mmoja ) kutokea Mkoani Mara ( Musoma )

CEO Barbara Gonzalez ukaribu wako wa 'Kibaiolojia' na Mwekezaji Tajiri Mohammed Mo Dewji kumekupa Jeuri, Dharau na Kiburi na kwa Watu tunaoijua Simba SC kabla yako, tuliojitolea Kuipigania, tunaokujua vyema hasa kupitia Watu wako wa karibu katika Menejimenti ya Simba SC tunaposikia kuwa Unatukana Watu au Kuwajibu hovyo hatukushangai kwani ndiyo Ukweli na ndivyo ulivyo 100% pia.

Hivi majuzi hapa hapa JamiiForums niliandika Uzi wa Kuwashtueni Viongozi wa Simba SC kuwa amkeni imarisheni Kitengo chenu cha Umafia kwani tunaumizwa ila kwa Upumbavu ( Upopoma ) wenu hamkunielewa na sasa mnabaki Kulialia tu hovyo.

Usichokjjua CEO Barbara Gonzalez ni kwamba Kiburi chako, Jeuri yako na Dharau zako za Pesa ( Utajiri ) unaopewa na 'Mbaiolojia' Mwenzako Tajiri Mo Dewji ndiyo ANGUKO KUU la Simba SC na hasa katika Kukomolewa Kwetu huku kuhusu Viwanja vya Kuchezea na Ratiba Ngumu kwani TFF ya Karia nayo sasa inakunyoosha 'Kiaina' kwa Hasira za kutaka Kuwatibulia Keki yao ya Tsh Bilioni 2 za Udhamini wa GSM na Uvaaji wa Nembo yao.

Simba SC inakomolewa kwa ajili yako na hiyo Kesi ni sehemu moja tu ya Kukuchanganya Kisaikolojia ( na kwa jinsi nilivyokusikia Ukiongea EFM jana na Maulid Kitenge ) tayari Umeshaanza Kuchanganyikiwa na hapo bado mpaka 'Uuteme' Mwenyewe huo U - CEO wako uliopewa 'kinamna namna' tu.

Halafu CEO Barbara Gonzalez Kauli yako ya kusema kuwa Mwenendo mbaya wa Simba SC kwa 50% unachangiwa na Wewe Kuandamwa Kwako na Vita hii ya TFF, GSM na Wewe waambie Wapuuzi unaofanana nao ila kwa Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe na Uongozi wako wa Simba SC ukimuhusisha 'Mbaioloji' Mwenzako Tajiri Mo Dewji mmeacha Kusajili Wachezaji wazuri, mmeshatengeneza Matabaka ndani ya Kikosi cha Simba SC na hamuwalipi vyema Wachezaji hasa Posho zao na Timu nzima imekosa 'morale' huku mkificha kuwa kwa sasa Tajiri Mo Dewji hatoi tena Pesa Klabuni kutokana na kidogo Kuyumba Kibiashara huku GSM sasa Wakiimarika zaidi kutokana na Mfumo wa sasa Kiutawala.

CEO Barbara Gonzalez niliyeandika Uzi huu ni Mimi GENTAMYCINE mwana Simba SC lia lia hivyo usije kudhani labda ni mwana Yanga SC au natumiwa na Yanga SC isipokuwa nimeshindwa Kuuvumilia Upuuzi na Unafiki ambao unaendelea Kushamiri ndani ya Klabu yangu pendwa na Tukuka ya Simba SC.

Hongera ( Hongereni ) sana kwa Kujitutumua Kuicheza kwa Nguvu zote Mechi ya Kesho na Kagera Sugar FC ( huku mkizipuuza zile Mbili za Mbeya City na Mtibwa Sugar FC ) ila msisahau tu kuwa TAKUKURU na Serikali haijalala na ipo macho 24/7.

CEO Barbara Gonzalez nitakuona tu una Akili na upo Makini kama Ukikiri kuwa kwa Msimu huu Watani zetu Yanga SC wako vizuri, wametuzidi Ujanja ( Kete ) na kwamba wana Uwezekano wa Kuwa Mabingwa hivyo Simba SC tujitahidi tu Kupambana nao ila Nguvu yetu Kubwa tuielekeze katika ASFC ( FA ) kama na huko pia tutabahatika nako.

Kwa wale Wote ( hasa wana Simba SC ) ambao mtakereka na Kuchukizwa na huu Uzi wangu Ushauri wangu Kwenu ni ama Kunibloku ( Ignore ) msiwe mnanisoma

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambapo huwa sikai na Uchafu na hata kama ukiwa ni Rafiki yangu au Ndugu yangu ukikosea ( ukikengeuka ) tu nitakusema ( nitakukosoa ) bila Aibu au Uwoga ili Ujitathmini na Ubadilike upesi.

Na nina bahati mbaya moja huwa siyo Mnafiki, sipendi Unafiki na sijui Kujipendekeza ( Kujikomba ) kwa Mtu hata akiwa ni Tajiri, Maarufu au ameshawahi Kunisaidia kwa chochote / lolote.

Nimemaliza.
Pumba. Wewe ndiye mvurugaji halisi wa simba.
 
Back
Top Bottom