fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
kwani anacheza?
Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Nyie wapenzi wa hizo ndio sababuHakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
TETESI NYINGINE
Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Simba haina SCOUT?Chini ya uongozi wake pia sajili za wachezaji zilikua mbovu kuidhoofisha timu
Chikwende, Banda, Akpan, Dejan, Okwa, Ouatara, Okra. Kilizingua sana kile kibibi.
Umenichekesha sana kwamba jamaa anaweza kujikana mwenyeweUnamjua Manara kwa kupiga U-Turn na kumeza maneno au unamsikia tu?[emoji3]
Ngoja uone upepo unavyoenda kuishia. Manara ni bonge la Mwanasesere.Umenichekesha sana kwamba jamaa anaweza kujikana mwenyewe
Hizo used mbili makombe manne tayariaSafi sana wazee wa used
Vuteni gomba hilo
Senzo
Haji
Barbara
Mkude
Alikuwa anacheza namba ngapi kwenye hizo dabi?Kumbe ndiyo maana akiwa CEO hakuwahi kuifunga Yanga kwenye Ligi Kuu
Akili mingi kongole kwa alichofny morisson yanga walitakiwa wasihangaike nae,alichokuwa akiwafanyia manara akiwa simba kuwatukn ynga huwez sem leo et awe mwanayanga nizaid ya uzwazwaHakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Sema humtaki wewe, Injinia anamtaka. Anayelipia ngoma ndio achaguaye wimboHatumtaki yanga
Andrew atapangiwa kazi nyingine kama ilivyokuwa kwa Nugaz wakati Manara alipotua jangwaniAkija yanga atafanya kazi gani wakati ceo ni Andrew?
Anamfuata Mkude
Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Mkude ni shabiki lia lia wa YangaHakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Kumbe siku zote mlikuwa mnammezea mate? Endeleeni kummezea mate maana baada ya kazi yake CAF Headquarters kuisha, atakuwa anapatikana Mtaa wa Msimbazi kwa timu kubwa!
Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.
Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.