Tetesi: Barbara kutua Yanga

Tetesi: Barbara kutua Yanga

Hakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...

Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Nyie wapenzi wa hizo ndio sababu
 
Hahahahahaha
 

Attachments

  • Screenshot_20230728-081232_Chrome.jpg
    Screenshot_20230728-081232_Chrome.jpg
    63.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230728-081058_Chrome.jpg
    Screenshot_20230728-081058_Chrome.jpg
    103.3 KB · Views: 2
Hii tetesi kama ni kweli basi nasubiri kwa hamu sana nimsikie Manara atasemaje maana alimaliza matusi yote kwa huyu bi dada wakati anaondoka Simba. Maana jamaa hana aibu kabisa nikiangalia jinsi alivyowatukana Yanga wote kuacha baba yake na Kikwete tu lakini bado alienda huko huko kufanya kazi nasubiri nione atatokaje iwapo Babra atenda kuwa bosi tena.
 
Hakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...

Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Akili mingi kongole kwa alichofny morisson yanga walitakiwa wasihangaike nae,alichokuwa akiwafanyia manara akiwa simba kuwatukn ynga huwez sem leo et awe mwanayanga nizaid ya uzwazwa
 
Akija yanga atafanya kazi gani wakati ceo ni Andrew?

Viongozi wa yanga Waendelee kufanya mambo ki professional zaidi wasilete mambo ya urafiki
 
Story za kuwatoa kwenye reli watu wa simba kuhusu simba day
 
Hakuna timu za kijinga kama Simba na Yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina Morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...

Eti leo Yanga timu yangu inamuona Mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana
Mkude ni shabiki lia lia wa Yanga
 

Tetesi bado hazijaweka wazi anakwenda Yanga kufanya kazi gani but zinasema anakwenda Yanga na muda si mrefu atatangazwa rasmi.

Barbra: Karibu sana kwenye klabu yako ya tangu utotoni kule simba ulikuwa kikazi tu ila mapenzi yako yapo Yanga.
Kumbe siku zote mlikuwa mnammezea mate? Endeleeni kummezea mate maana baada ya kazi yake CAF Headquarters kuisha, atakuwa anapatikana Mtaa wa Msimbazi kwa timu kubwa!
 
Back
Top Bottom