Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Sijawahi ona timu uozo kama PSG yaani wachezaji wameshindwa kuzuia mashambulizi ya barca? Dah kibongobongo unahisi kama wamepokea mlungula
 
Haya ni maajabu kwa Spain najiunga rasmi kuwa mshabiki wa barcelona
Unapenda timu zinazonunua Mechi? Dakika tano zilitokea wapi hadi zikaongezwa? Suarez kajiangusha na goli la sita si halal rushwa hatari...
 
Barca anapigwa tena na Leo....... time will tell!! Tatizoo sio PSG kocha wa Sevilla Yule ndo kubwa la maaduii anaijua barca adii uvungunii [emoji23][emoji23]
Vipi Leo kaisahau??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sikatai, kushinda mtashinda ndio...
Tena mechi ya leo mtaibuka kwa ushindi wa magoli 5 - 1, ila na safari yenu ya michuano itaishia hapa hapa
Bado upo?
 
Hakuna lolote ngumu chini ya jua
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…