Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Kama mna dhani Celta vigo, na Sporting Gijon ziko sawa na PSG endeleeni.
Barcelona akipita nahamia Congo DRC
Mkuu naomba nikusaidie nauli, nipe number yako ya simu nikurushie through mobile money!
 
Walikuwa wanajichelewesha kurusha mipira na kupiga faulo. Refa ana wahesabia tu.

Good & enjoyable football by Barcelona. Hii timu mtaipenda tu. Si beki wala kipa wala nani ni vyenga tu.

Ha ha ha tunawataka Bayern wababe wa Vilaza wa England.

Hiyo ndio Barca bhana. Bora uipende tu.
mi sijaona mpira wowote waliocheza barca Zaidi ya kubebwa na refa.....
 
Kama mna dhani Celta vigo, na Sporting Gijon ziko sawa na PSG endeleeni.
Barcelona akipita nahamia Congo DRC

Najitolea kukununulia ticket mkuu hatutaki vicngizio vya kushindwa kutimiza ahadi. Nicheki PM nikupe namba ya cmu.
 
Mkuu Mwekundu mimi nipo, embu ngoja kwanza nipitie posts za Anti Barca.
 
Tatizo mnamgeuza emery uncle wenu nani atakaye mzuia Cavan asifunge PSG si timu ya kuunga unga draxler ,de maria nyuma yao matuidi dimba la kati verati rabiot hawatakagi ujinga PSG akifungwa mpira haujatendewa haki siongelei kutolewa hiyo haiwezekani ni kama kuota raisi atakufa
Hellooooooo!
[emoji276]
 
Kama mna dhani Celta vigo, na Sporting Gijon ziko sawa na PSG endeleeni.
Barcelona akipita nahamia Congo DRC
Mod naomba huyu mtu apewe ban.

KAMA HAIWEZEKANI ID YAKE IFUTWE KABISA, KUIDHARAU BARCELONA NI DHAMBI KUBWA SANA.
 
Kuelekea match ya marudiano Camp Nou tarehe 08-03-17 ,pasipo na wingu la shaka Barcalona team kubwa kabisa duniani wanachokifanya wanakijua watashinda goal 6 kwenye ule uwanja ambao haulali na ngozi .
Dunia siku hiyo itatingishika Messi ataibuka na Hatrick ,Suarez atafunga goal mbili na Neyma atatupia moja na ku make MSN as usual
Team kama Barcelona hauhitaji calculations ngumu sana kupata hizo idadi za magoli 5 au 6 ili kuivukisha team stage nyingine ,hakuna option siku hiyo ni mbinu ya ushindi tu mazingira yameshaanza kutengenezwa kwa individual player na team kiujumla lengo kila mchezaji kuanzia kwenye midfielder Iniesta,Rakitic Ivan ,Basquets, Rafinha ,Arda Turan Dennis Suarez etc kwenye upande wa defence nani hatambui kama Braugrana ndio wenye defence inayofanya task ya ku defend na ku attack?Jordi Alba,Sergio Roberto,Macherano ,Umtiti (atakua fixed) ,Lucas Digne bila kumsahau handsome boy baba shakira
In short tayari maandalizi ya kisaikolojia na kimbinu yamesharekebishwa kama unabisha angalia performance yetu tangu turudi Paris
[HASHTAG]#IbelieveinBarca[/HASHTAG] together we can here we go....

NB Hili ndilo dimba Madrid alilala goal tano kwahiyo PSG kufungwa hakitakua kitu jipya
MSN kufunga sio tatizo shida ni muda gani tuta score goal zote 5 ndani ya dk 90
2a642f67799f8e7bdc75def3ec7781e6.jpg
Haya mkuu nimekukubali uko juu!
 
Back
Top Bottom