Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Mwekundu weka akiba ya maneno mkuu mtakuja muingiliwe kinyume na maumbile
 
e21f33a4c9aecc8989a8e05689e6fb0e.jpg
jana messi aliwapigia simu ila ni ngumu sana barca kupita
 
Mbona wewe wali kutwanga 4 mechi kabla ya hiii

Na hujawahi wafunga kwao mwaka wa 4 huuu.??

Kwao wanakuwaga vzuri
ndiyo ujue Celta siyo timu ndogo, lakini jana tumeifunga 5 timu uliyotufunga nne na iliyowafurusha CDR. jtano utaona maajabu. nyie mkichomoka kwa Napoli nakununulia vocha ya 2,000. i have a hunch kwamba hamchomoki.
 
Barca hawezi tolewa na wapumbavu kama wale
Kwan msim uliopita walitolewa na wapumbavu gani na walikuwa na goals difference ngapi, yaani msimu huu hata robo hamnusi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom