Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Barcelona atashinda kwa kishindo dhidi ya PSG UEFA 2nd leg round 16

Kama mna dhani Celta vigo, na Sporting Gijon ziko sawa na PSG endeleeni.
Barcelona akipita nahamia Congo DRC
VP mkuu uliahidi kuhamia Congo barca akigeuza matokeo ushaanza safari mmkuu
 
Kila kitu kinawezekana ktk soka. Illa kwa akili za kibanadamu barca atatolewa. PSG ni timu nzuri sana japo hawaifiki Barca wakiwa katika kiwango. Barca walikosea mechi ya kwanza na wakaadhibiwa sana hawakuwa ktk form. Time will tell illa defence ya barca wataruhusu bao hapo ndio tatizo. Watashinda barca illa watatolewa navyodhani mimi.
Together we can ,msn
 
e21f33a4c9aecc8989a8e05689e6fb0e.jpg
jana messi aliwapigia simu ila ni ngumu sana barca kupita
Umewapigia baba! Na wamepokea kazi ilikuwa kujibu ulichokuwa unakitaka wakijibu!
 
Back
Top Bottom