Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Simba na Yanga ni timu kubwa zisizo na vyanzo vya mapato vinavyoeleweka hii ni kutokana na ukosefu wa mipango ya kueleweka , lakini pia kuwa na viongozi wabovu .
Ingawa na siasa inachangia pia , mikataba inatekelezwa kimaneno hakuna vitendo .
Hatumuelewi Mzee Magoma sababu ya umasikini wa Timu hizi mbili unajiuliza akiondoka Mo tutatoa hela wapi au akiondoka GSM timu itaendaje .
Timu hazina viwanja , hazina katiba za kueleweka, mauzo ya jezi /vifaa ndio tumeanza kufuatilia
Kuna haja ya wanachama kuwa wakali kwa viongozi timu ziwe na malengo ,mfadhili akitokea cha kwanza ajenge Uwanja na mambo mengine ya kimaendeleo.
Wakina Mo na GSM wanapata faida kubwa ya kimatangazo na urahisi wa kutanua biashara zao kupitia hizi timu ni lazima wawekeze vitu ambavyo wakiondoka vitabaki kwenye timu .
Bila hivi migogoro kwenye hizi club haitaisha ,mbona Barca na Madrid wanaweza ? Huku nao ni timu za wanachama .Ingawa na siasa inachangia pia , mikataba inatekelezwa kimaneno hakuna vitendo .
Hatumuelewi Mzee Magoma sababu ya umasikini wa Timu hizi mbili unajiuliza akiondoka Mo tutatoa hela wapi au akiondoka GSM timu itaendaje .
Timu hazina viwanja , hazina katiba za kueleweka, mauzo ya jezi /vifaa ndio tumeanza kufuatilia
Kuna haja ya wanachama kuwa wakali kwa viongozi timu ziwe na malengo ,mfadhili akitokea cha kwanza ajenge Uwanja na mambo mengine ya kimaendeleo.
Wakina Mo na GSM wanapata faida kubwa ya kimatangazo na urahisi wa kutanua biashara zao kupitia hizi timu ni lazima wawekeze vitu ambavyo wakiondoka vitabaki kwenye timu .