Barcelona nje kwa mianzi mitatu

Namshukuru sana Mungu kuiona mpira wa miguu katika hizi zama za karne ya 21 cwezi kuwasifia pele na maradona kwani cjawaona uwanjani ila ipo cku nikiwajaaliwa uzima nitawasimulia wajukuu zangu kuhusu Cr7 na messi,
 
Kuna dalili Madrid kubeba 3 times......viva Roma
 
Timu zenye mashabiki wenye kupiga kelele ni Barca na Man U naona wote wamefungwa midomo sasa, safi sana.

Kama kawaida Real Madrid anachukua ndoo kwa mara nyingine tena.
 
Timu zenye mashabiki wenye kupiga kelele ni Barca na Man U naona wote wamefungwa midomo sasa, safi sana.

Kama kawaida Real Madrid anachukua ndoo kwa mara nyingine tena.


Hao mashabiki wa hizo timu mbili washenzi wanaongea kama wamemeza kanda, bora kutatulia sasa...
 
Kuna sabuni inaitwa ROMA inaondoa ma Barca Barca yote ukiitaji mcheki DZEKO,, De Rosse,, Manola[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…