Mkuu nenda kawangalie Steven Gerrard, Michael Owen na Rio Fernand...nmerudia Mara 2 aisee lile goal la cta sio off side...Wadau wa huku maoni yao
11' - PSG players are asking for a penalty as the ball hits Mascherano's open arm after a cross attempt from Draxler. Looked like a clear pen to me
Mkuu unajishusha sana kama unaamini maoni ya Mhariri zaidi kwenye Mechi ambayo umeitizama mwenyewe... Zamani nilikuwa nasikiliza mpira radioni nilipokua kidogo nikaanza kwenda uwanjani na kiredio changu kidogo kusikiliza ni uongo mtupu yaani mtu anapiga mpira nje and then mtangazaji anakuambia kosa kosa kidogo sana yaani lilikuwa goli yaani hadi unazima kiredia...Hii mech Rio Fernand na Steve Gerrard wameichambu vizur sana....kawaangalie
Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
Tayar alikua ameshapga mpiraKwani ile alio angushwa Di maria ndani ya 18 haikuwa penalt halali tena alibaki na kipa beki akatokea nyuma na kumuangusha lakini hamna kadi wala penalt je haikuwa Penalt halali ile?
Mech nmeiangalia...Mkuu unajishusha sana kama unaamini maoni ya Mhariri zaidi kwenye Mechi ambayo umeitizama mwenyewe... Zamani nilikuwa nasikiliza mpira radioni nilipokua kidogo nikaanza kwenda uwanjani na kiredio changu kidogo kusikiliza ni uongo mtupu yaani mtu anapiga mpira nje and then mtangazaji anakuambia kosa kosa kidogo sana yaani lilikuwa goli yaani hadi unazima kiredia...
Hiyo miaka tushapita mkuu live ndio kila kitu
Penalt s zote zmeoneshwa na wamezichambua. Magol yote pia yameoneshwa nayo wameyachambua....Mkuu unajishusha sana kama unaamini maoni ya Mhariri zaidi kwenye Mechi ambayo umeitizama mwenyewe... Zamani nilikuwa nasikiliza mpira radioni nilipokua kidogo nikaanza kwenda uwanjani na kiredio changu kidogo kusikiliza ni uongo mtupu yaani mtu anapiga mpira nje and then mtangazaji anakuambia kosa kosa kidogo sana yaani lilikuwa goli yaani hadi unazima kiredia...
Hiyo miaka tushapita mkuu live ndio kila kitu
Tizama hapa achana na Domo FerdinandMkuu nenda kawangalie Steven Gerrard, Michael Owen na Rio Fernand...nmerudia Mara 2 aisee lile goal la cta sio off side...
Suarez nae alipgwa konga la shingo huku akiwa mbele ya bek japo ilikua n Lyn...kawatazame Hao watakusaidia...
Penalt ya neymar yenyewe iko waz kabsa...jamaa mpaka wanajiuliza ilikuaje Alicia kutoa wakat n clear penalt
Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
Unamanisha na Gerrard, Owen wote n madomo...?Tizama hapa achana na Domo Ferdinand
Aisee tuma upya naona haingiiTizama hapa achana na Domo Ferdinand
Hao hao Maregend ndio huchagua Wachezaji bora kwa Mapenzi so ni corruption association isiyoaminika. Yaani unakuta wanasema oh Real Madrid kachukua sana UEFA afungwe ili Athletico abebe kombe kha!Mech nmeiangalia...
Lakn n mhim kuwa angalia wachambuz ambaoo tayar n ma legends kwenye team zao....
Pia n professionals na wamewah kucheza pale camp nou...sio mbaya kawaangalie
Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
hata ambaye haangaliagi mpira atakuambia siyo penati. Macherano aliteleza na huo mkno alitanguliza kujishikilia ndiyo mpira ukamfuata.Wadau wa huku maoni yao
11' - PSG players are asking for a penalty as the ball hits Mascherano's open arm after a cross attempt from Draxler. Looked like a clear pen to me
Hivi ubora wa ligi ya England uko wapi, mara ya mwisho kutwaa klabu bingwa ni lin kwa tim za English, acheni siasa kwenye soka, juzi Arsenal amekula kumi, bado unasema ligi ya uingereza ni ngumu, Tatzo wanatumia nguvu nyingi kuliko akiliNakuheshimu sikutegemea kama ungejivunjia heshima yako kwa Game moja hii! Hata ungekaa kimya ungeonesha pia ushabiki wako!! UEFA inaendelea sio timu zote ni PSG na sio Refa huyu ana Kibali cha kuchezesha mechi zote za Barcelona!
Tanzania mtu akiwa mwanasiasa basi atafanya kila kitu kisiasa!!! Sawa mmeshinda kwa mujibu wa Refa wenu!! Ligi kuu Uingereza itabaki kuwa Ligi ngumu hasa ubora wa Marefarii wake!!!
Ushabiki ni utumwaa unaweza hata danganya kisa ushabiki unaweza hata kubadilisha mambo kisa ushabiki
Leo nimekuelewa wewe ni mtu wa aina Gani japo kwa kifupi