Anko kalinywa sukuma land hawataki kutaniwa hata kidogo hukuona shinyanga uwanja mtupu kabisa hata wachawi wa Gambushi wamemsotea mbali atajiju mwaka huuilo nyomi lilikua wapi mkuu,,,mm nd nipo bariadi simiyu hapa narusha drone kwenye hili eneo lkn ukweli ni kwamba amna nyomi lolote...,wanabariadi sio wa namna io tu...,lbd km magu angeenda na wasanii wa tasnia zote bongo nzima angelipata ilo nyomi.
na ilo nyomi lingekua kwasababu ya wasanii tu sio kwasababu ya ankoo
#*tiotte255*
Itakuwa graphics hii. [emoji57]
ndio maana Lowassa alishinda harafu kitengo wakmpaisha Magufuli ambaye maudhi yake yamewanyorosha maana sio kwa kuuwa na kutesa watu huko haijapata kutokea katika historia Lissu atashinda zaidi ya LowassaKwani nyomi ndo nini????!!!?.., Kuna mtu alikuwa na nyomi Kama Lowassa?, Huwa mnashindwa kufatilia mambo ya msingi mnafatilia ujinga ujinga tu. Kuna mtu nilimuuliza katika watanzania milioni 60 unaamini milioni 29 almost 1/2 wamejiandikisha kupiga kura!?.. hayo ndo Mambo ya msingi mkomalie, ndo maana hata mjaze nyomi vipi tumeshashinda, hata mfanyeje sababu mmeshachelewa na hamna akili.
Watu wamekopwa hela ya pamba atawaambia nini?kwakweli mahudhurio ni hafifu sana ukizingatia nguvu kubwa zinazotumika kukusanya watu...matangazo, wasanii, malori, mabasi nk
Hizo ngonjera kaeni nazo hukohuko, Raisi ni JPM. Kampeni tunakamilisha ratiba tu.ndio maana Lowassa alishinda harafu kitengo wakmpaisha Magufuli ambaye maudhi yake yamewanyorosha maana sio kwa kuuwa na kutesa watu huko haijapata kutokea katika historia Lissu atashinda zaidi ya Lowassa
wengi wanajitoa fahamu tu mkuu!!Kumbe ni rahisi sana kuwadanganya wana JF.
Anasema ulikuwa live.Weka ushahidi wa picha
Jr[emoji769]
Anasema ulikuwa live.
Jeshi la Akiba!!
Nyomi ndio ushindi wenyewe labda Lowasa aliibiwaKwani nyomi ndo nini????!!!?.., Kuna mtu alikuwa na nyomi Kama Lowassa?, Huwa mnashindwa kufatilia mambo ya msingi mnafatilia ujinga ujinga tu. Kuna mtu nilimuuliza katika watanzania milioni 60 unaamini milioni 29 almost 1/2 wamejiandikisha kupiga kura!?.. hayo ndo Mambo ya msingi mkomalie, ndo maana hata mjaze nyomi vipi tumeshashinda, hata mfanyeje sababu mmeshachelewa na hamna akili.
Wewe ni kilaza ndiyo maana hupigi kura, hivyo usijilinganishe na wenzako....Na wanaweza wakajaa balaa kumbe wote sio wapiga kura kama mimi
Kwani Magu si ana tembea na umati wake?Na wanaweza wakajaa balaa kumbe wote sio wapiga kura kama mimi
Wanachotakiwa kujiuliza kama ccm inapendwa kwanini mikutano ya wabunge inakosa watu, kakiwanja kadogo tu wanashindwa kukajaza, yaan mbunge anazidiwa na m/kiti wa mtaa
Maelfu ya wanachama wa ccm walihudhuria kampeni.Leo Bariadi wameonesha njia na wametuma salamu za moja kwa moja kwa CCM na mgombea wake. Mahudhurio hafifu kama ya mgombea udiwani na angalia hapa chini jinsi mabasi na malori yalivyotumika kusomba watu lakini wapi.