Uchaguzi 2020 Bariadi: Mkutano wa kampeni CCM jionee


brother tulia daw iwaingie kwa damu..., haina haja ya kupanick kaka angu [emoji28]
 
ndio maana Lowassa alishinda harafu kitengo wakmpaisha Magufuli ambaye maudhi yake yamewanyorosha maana sio kwa kuuwa na kutesa watu huko haijapata kutokea katika historia Lissu atashinda zaidi ya Lowassa

fact kubwa san eem wambie
 
Hangaika na maisha yako ujikomboe kwenye umasikini mjinga wewe...hao wanahangaika na maisha yao yaweze kwenda we unakuja kupoteza muda wa kutafuta kwa umbea utakufa masikini
 
Sijui unajaribu kumdandanya nani?, Na kuna maboya kama wewe watakuamini. TV zote zinaonyesha nyomi halafu unakuja na ngonjera zako za kuokoteza?.. Vitu vidogo Kama hivi ndo vinasababisha CHADEMA kionekane chama cha mafala.
Siyo mafala tu...mafarasi
 
Mim ni mtumishi wa umma naogopa kuweka wazi husia zangu ili nisifukuzwe kazi, nawakilisha malaki ya wafanyakazi!. Hakuna uamasishaji wowote ulifanywa na chama cha siasa wakati wa kuandikisha, ni matangazo tu ya tume ndio yalikuwa yanapita mtaani na si watu wote walitakiwa kujiandikusha bali ni wale tu ambao hawana vitambulisho vya kura na waliohama makazi.Kwahiyo kusema chama flan kiliitisha mkutano kuhamasisha watu wajiandikishe hiyo haikuwepo nchi nzima, usipotoshe.
 
So hayo malory hapo ndo yameleta watazamaji
 
Na wanaweza wakajaa balaa kumbe wote sio wapiga kura kama mimi
Mkuu umenena. Binafsi nilikuwa kwenye Viwanja vya Furahisha hapa Mwanza alipokuja kuwadi wa mabeberu, lakini mtu humu JF anajua kura yangu ni kwa JPM!
 
Mi nakumbuka Kuna chama kulikuwa kina hamasisha watu wajifungie ndani wakati wa uandikishaji kwasababu ya korona
 
Sijui unajaribu kumdandanya nani?, Na kuna maboya kama wewe watakuamini. TV zote zinaonyesha nyomi halafu unakuja na ngonjera zako za kuokoteza?.. Vitu vidogo Kama hivi ndo vinasababisha CHADEMA kionekane chama cha mafala.
sera na ilani ni kujaza nyomi ya watu hata ambao hawana kazi wapo tu mtaani au sera na ilani ni kushuhulika na kero, matatizo, changamoto na umasikini wa watanzania ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…