Ni kweli walikuwa wanamtaka DJ, lakini ndio hivyo DJ kachomoa, Sasa sijui watamchagua AntiKwa kwa Magufuli mwaka huu atalinywa la chuya sukuma land hawataki warundi watu wakuwarudisha nyuma kuwachomea nyavu zao kuwaulia ng,ombe zao kuwaharibia soko lao la pamba mbaazi dengu na kunde,kuwavurugia biashara zao haha aende kwao warundi wanamsubili
Safiiii hapa jambo letu litakua limetimiaKwa urais ni 98% wabunge 95%
Hahahaha hahahahaMtajichekesha sana lakini dawa inawaingia sawa sawa wanasaccos.
Anayejua kucheza na wana Bariadi ni Chenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ni wakubumba/ maruhani ili bao la mkono lisipate pingamiziMtaa unaoishi wewe ndio hamkuhamasishwa.
Na itakua asilimia ngapi kwa data ulizonazo? Naongea ninachokijua sababu uhamasiswhwaji uliambatana na taarifa za miradi ya maendeleo pamoja na usajili wa wanachama wapya.
Ninavyoandika hapa kwamba wanachama hao wanachama million 15 ilikua kabla ya kuboreshwa daftari la wapiga kura, ila hadi sasaivi wanakadiriwa kuwa million19+
Hao ni wakubumba/ maruhani ili bao la mkono lisipate pingamizi
Kiongozi naomba ufafanuzi, hivi hawa ni mahabusu wanapelekwa mahakamani ama inakuwaje? Sijaelewa bado.
Kwa haraka haraka nimepata idadi ya mabasi 8 na malori 14, magari madogo sikuhesabu kwa sababu mengine ni ya viongozi wa chama na mengine ni ya walinzi wa raisi na viongozi wa juu serikalini, na yaliyo baki inawezekana ikawa ni dereva na abiria wake mmoja ama wawili.Leo Bariadi wameonesha njia na wametuma salamu za moja kwa moja kwa CCM na mgombea wake. Mahudhurio hafifu kama ya mgombea udiwani na angalia hapa chini jinsi mabasi na malori yalivyotumika kusomba watu lakini wapi.
View attachment 1558175View attachment 1558177
Kabisa mkuuKama hivi.View attachment 1558523