Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cocasticSingependa kukuvunjia heshima kidogo uliyonayo lakini nadhani unawashwa
Vita ianzie hapa kololaSingependa kukuvunjia heshima kidogo uliyonayo lakini nadhani unawashwa
Kheeeeh sasa Dini inakukaje hapa? Nimesema ukweli mtupuuu.halafu mbaya zaidi kataja gays waarabu. ngoja watetezi wa dini waje, si unajua tena, ukigusa uarabu ni kama umegusa dini ya watu.
Wee ndo mchoyoo babuuuuh, lolSawa mjukuu wangu mchoyo
Ukonga ina 85% ya Wakazi kutoka Mkoani Kwangu ( Kwetu ) Mara ( Musoma ) Wazee wa Kazi ilikuwaje huyu Mpuuzi Bariega akawa Tishio huko? au nae alikuwa ni wa Poti? Nimeshangaa sana tu.Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesembua sana wakazi wa ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe
Weeeh kumbe alikua balaaTobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.
Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.
[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
Huyu mchumba ndo alikua anawafungisha mtaa anawakatakata mapanga? Dah kweli wanaume wa daslam kazi ipo
Eeh ety alimbaka mama hivi Ile wameenda kumdaba alikua kajipaka mafuta mengi mno anateleza akachoropoka..... Yule nahis kawabaka hadi wanaume wa kichagaArusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Kama alikua anauwa mashoga basi alikua ni shujaa, shoga dawa yake ni kumkata kichwa shingo irushe damu kama koki ya bomba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uongo nisiseme matukio yake? Kwani mashoga ndo halali kufanyiwa matukio ya ujambazi? Lazima ukweli tuuseme kwa yale aliyo yafanya wakati wa uhai wake.
Majambazi wengi hawa vibaka konkii wa uswahilini, wanapenda sana kuwarubuni gays hasa waarabu na wahindi koko wanajua wana vitu vya thaman. Wao wanajifanya mabasha ili wawapate kirahisi, wamepora na kujeruhi sana gays.
Huyo alimpora bottom wa kiarabu, iphone 13 pro, wallet yenye pesa, SAA, cheni, had sandols, mtoto wa watu alitembea peku, hiyo yote kuogopa kuuliwa maana alimbonda kwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ni vile gays hawana Pa kusemea. Na hawa majambazi na vibaka wanawapenda kweli si wanajua hakna kwa kushitaki.
Bora lilivyokufa, likampumzike sasa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharaniArusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Alikuwa na SMG au ni ile mambo ya panga na bisibisi??Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.
Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.
[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
HahahahaSiyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
Yaan huyo alikua ni kisanga haswaaaa.Weeeh kumbe alikua balaa
Mapoti walishahama Ukonga miaka mingi wao wanafata yalipo mapori, wanaogopa kula chips mayai wakati kuku wanafuga waoUkonga ina 85% ya Wakazi kutoka Mkoani Kwangu ( Kwetu ) Mara ( Musoma ) Wazee wa Kazi ilikuwaje huyu Mpuuzi Bariega akawa Tishio huko? au nae alikuwa ni wa Poti? Nimeshangaa sana tu.
Lugha yenu ni ipi?Huo mstari wa pili kwa tafsiri ya lugha yangu
"Chove mlongo vangu."
Hizi lugha zinafanana sana.
Sasa huyu dogo ndo alikua anasumbua watu😁😁🤣🤣...eti na panga....watu wa daslamu kama kawaida yenu
Panga, kisu, bisibisi, nondo. Rungu. Hivyooo.Alikuwa na SMG au ni ile mambo ya panga na bisibisi??