TANZIA Bariega amefariki dunia

Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala

Jamaa amesembua sana wakazi wa ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe
Ukonga ina 85% ya Wakazi kutoka Mkoani Kwangu ( Kwetu ) Mara ( Musoma ) Wazee wa Kazi ilikuwaje huyu Mpuuzi Bariega akawa Tishio huko? au nae alikuwa ni wa Poti? Nimeshangaa sana tu.
 
Weeeh kumbe alikua balaa
 
Arusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Eeh ety alimbaka mama hivi Ile wameenda kumdaba alikua kajipaka mafuta mengi mno anateleza akachoropoka..... Yule nahis kawabaka hadi wanaume wa kichaga
Sema awawez sema yote
 
Kama alikua anauwa mashoga basi alikua ni shujaa, shoga dawa yake ni kumkata kichwa shingo irushe damu kama koki ya bomba
 
Arusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Siyo hivyo tu kuna jamaa miaka ya nyuma alibaka mwanamke hadharani tena sokoni huko huko Chuga hadi akakojoa akasepa zake huku njemba za huko zinamuangalia ni polisi alijitokeza akam shoot wakati akikimbia ila njemba zilimkodolea macho jamaa akishusha wazungu hadharani
 
Alikuwa na SMG au ni ile mambo ya panga na bisibisi??
 
Hahahaha

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la polisi lihakikishe kila mtaa Tanzania unakuwa na kamati ya ulinzi na usalama.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama awe ni Balozi na kila mwezi angalau kuwe na vikao vya kamati ya ulinzi na usalama, WAJINGA KAMA HAWA WAJADILIWE KWENYE KAMATI ZA ULINZI WA MTAA NA TAARIFA ZAO KULIFIKIA JESHI LA POLISI, WAZAZI WAO MITAANI WAPEWE TAARIFA ZA VIJANA WAO NA LITOLEWE ONYO LA MWANZO NA MWISHO KWA WAZAZI KWENDA KWA WATOTO WAO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…