Barnaba Usitake Kuniangusha!

Dem naona hashobokei pesa anashoboka na uhandsome. Kama pesa kashamchuna jamaa za kutosha anataka sasa ale maisha na ampendaye. . . BabyBoy
Kama vp Barnaba akitaka kurud kwenye chat basi aingie kiwandani atolewe chicha kama huyo mshikaji hapo
Ww me au ke?
 
Ndoa yake kuvunjika amekuangusha? How? Unapaswa kumhurumia, naamini hata yeye anasikitika ndoa yake kuvunjika.
 
Kuishi na dem wa uswahilini ni kazi sana ila mimi nlishapewa pande la huyo dem na mdada mmoja best yke yani wanachetua tu pesa yko unapewa show
 
Kuishi na dem wa uswahilini ni kazi sana ila mimi nlishapewa pande la huyo dem na mdada mmoja best yke yani wanachetua tu pesa yko unapewa show
[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kumbeee
 
Dem naona hashobokei pesa anashoboka na uhandsome. Kama pesa kashamchuna jamaa za kutosha anataka sasa ale maisha na ampendaye. . . BabyBoy
Kama vp Barnaba akitaka kurud kwenye chat basi aingie kiwandani atolewe chicha kama huyo mshikaji hapo
Ha ha ha hatarrr.

Yanachekesha matani kama haya Ila omba yasikukute.
Anway... Pamoja na sauti ya kubembeleza, barnababoy amepigwa chini.
Ama kweli kuimba sio kuishi malavidavi...
 
mkewe hajitambui anagawa sana
 
Kweli mfadhili mbuzi utakula mchuzi..
 

Attachments

  • IMG_20170705_214925_797.JPG
    49.6 KB · Views: 69
kwani barnaba kamfanyia kipi kikubwa cha kufanya iwe gumzo kuachwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…