sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Barnaba Classic aka Mopao aka Mtukazi ambaye kesho anaachia album yake yenye hadhi ya kimataifa album inayoandaliwa kwa ajili ya international market.
Amesifu namna Diamond Platnumz alimpokea na kumuunga mkono kwenye kusimamia project nzima ya album yake ya Love Sounds Different.
Maneno anayoyakumbuka siku amekutana na Diamond Platnumz kwa discussion alimuuliza "unataka pesa au unataka kujulikana?".
Ili swali lina maana kubwa sana kwenye biashara ya sasa hivi ya muziki ambayo imejaa chuki na mashambulizi yenye mlengo wa kauzibe.
Barnaba ni msanii mkubwa sana na fundi wa muziki, ila ameamua kuweka ego pembeni na kufuata support ya name of the game Chibu Dangote. Kuna watu wanaweza kuona anajishusha ila wenye akili wanaelewa Barnabas kaamua kufanya biashara.
Watoto kama Rayvanny na Harmonize hawawezi kabisa levels za music za Barnabas lakini wamewekwa juu na management ya Diamond na wanapiga hela mpaka kesho.
Mimi naisubiri kwa hamu album ya Barnabas na wimbo ninaosubiri kwa hamu ni aloimba na Diamond Platnumz inasemekana video yake haijawai kutokea toka Tanzania ipate uhuru.
Mwamba kabisa Barnaba kayasema maneno hayo kwa kinywa chake kwenye interview hii hapa
Amesifu namna Diamond Platnumz alimpokea na kumuunga mkono kwenye kusimamia project nzima ya album yake ya Love Sounds Different.
Maneno anayoyakumbuka siku amekutana na Diamond Platnumz kwa discussion alimuuliza "unataka pesa au unataka kujulikana?".
Ili swali lina maana kubwa sana kwenye biashara ya sasa hivi ya muziki ambayo imejaa chuki na mashambulizi yenye mlengo wa kauzibe.
Barnaba ni msanii mkubwa sana na fundi wa muziki, ila ameamua kuweka ego pembeni na kufuata support ya name of the game Chibu Dangote. Kuna watu wanaweza kuona anajishusha ila wenye akili wanaelewa Barnabas kaamua kufanya biashara.
Watoto kama Rayvanny na Harmonize hawawezi kabisa levels za music za Barnabas lakini wamewekwa juu na management ya Diamond na wanapiga hela mpaka kesho.
Mimi naisubiri kwa hamu album ya Barnabas na wimbo ninaosubiri kwa hamu ni aloimba na Diamond Platnumz inasemekana video yake haijawai kutokea toka Tanzania ipate uhuru.
Mwamba kabisa Barnaba kayasema maneno hayo kwa kinywa chake kwenye interview hii hapa