Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

Can we have their annual collective net income so that we can get the actual amount of 16%?
You can derive from yearly production before a concentrates ban by GoT.




My rough estimates r from the amount paid to other shareholders ($1.2 bln) who controled 36% of Acacia mining n Barrickgold had to buy them out before dissolving Acacia mining!
 
You can derive from yearly production before a concentrates ban by GoT.




My rough estimates r from the amount paid to other shareholders ($1.2 bln) who controled 36% of Acacia mining n Barrickgold had to buy them out before dissolving Acacia mining!
All that plus economic benefits from taxes, royalties, clearing fees in a 50/50 manner, this sounds like we are going to double all of the current earnings from the sector. If not to triple the figure
 
Watanzania wengi wanajua kiingeleza ila hawajui kilichoandikwa kiingeleza.
The devil is in the details.
Tunafurahia 50-50 wakati 50 yao inachukua kodi na tozo zote pamoja na hisa zao 16pc. Hivyo mataka taka mengine yatakuwa 34pc hapo tumeweka CTax, CSR, SL, SDL etc
 
Tumeambiwa tunachotaka kujua. Ila wao wanajua ukweli zaidi. Unawaona wale jamaa wajinga?
Concentrate inasafirishwa nje kuanzia kesho
[emoji375]16% free carried shares
[emoji375]All company's transactions in Tanzania
[emoji375]Company HQ in Mwanza
[emoji375]50/50 economics benefits
[emoji375]Maximum government inclusiveness inside company
[emoji375]All experts from Tanzania
[emoji375]Dropping of all lawsuits against Tanzania
[emoji375]Concentrates export under new terms
[emoji375] Other 10s of new benefits

Simply Tanzania won
 
Kwenye negotiations kuna give and take. Kwa kutambua kuwa tulikuwa kwenye disadvantaged position kufanya mazungumzo ilibidi serikali kutafuta bargaining chip oli barrick walazimike kurudi mezani ($190 bln tax slap).

Kupata free carried interests/shares kutoka 4% mpaka 16% siyo hatua ndogo. Kumbuka kwa mikataba tunayoingia, barrick ndiyo "wamiliki halisi" wa madini hayo.

Kuhusu control ya 50/50 sharin of economic benefits, serikali imehakikisha makubaliano yanafanya chief wa expenses za kampuni mpya anakuwa mtanzania. Hspo issue ya endapo atakuwa bribed ni nyingine.

Pia miamala yote lazima ifanyike kwenye benki za Tz na HQ ikiwa Rock City. Kila mwisho wa mwaka kuna review ya ku-check hiyo 50/50 thing.

Hata kama haitakuwa "perfect" 50/50, kimsingi ni kuwa hatua iliyopigwa ni kubwa na bro Magu anastahili pongezi.

Mwenzake way back 2016 mikataba mingi ilipokuwa inaisha ambalo ilikuwa fursa adhimu kuweka new terms, alichoweza ni kupandisha mrahaba from 3 to 4%!

4% to 16% unaona ni hatua kubwa sana? Kivipi ni hatua kubwa?

Madini ni yenu mnanyanyaswa then unajisifia kwamba ni hatua kubwa hiyo.

Kwanini Tanzania asimiliki asilimia 50 ya hisa na 50 zingine apewe Barrick?
Suala kusema kwamba hamna capital or teknolojia hizo ni lame arguments na ni ugonjwa mbaya sana kwenu nyie maana bila kujiongeza mtazidi kuonewa tu.
Tanzania ina migodi mingi ila bado umasikini unawasumbua sana.

Kwanini msibinafsishe hata migodi miwili tu kwa masharti kwamba wawape mashines za kila aina za kuchiba na kuchakata madini hapa hapa Tanzania?
 
Tumeambiwa tunachotaka kujua. Ila wao wanajua ukweli zaidi. Unawaona wale jamaa wajinga?
Concentrate inasafirishwa nje kuanzia kesho
The final agreements have been submitted to the Tanzanian Attorney General for review and legalization.

Taarifa inasema mpaka AG aweke sahihi nafikiri itakua ni siku maalum huenda ikafanyikia ikulu, hizo Concentrates hazitoondoka kama awali lazima zitakua valued accordingly

Magu alipiga ban ya concentrates sababu yalikua yakichukuliwa kama takataka ndio maana ya ile billions of escaped taxes, kwa hiyo kama awamu hii wamekubaliana concentrate ziondoke maana yake ni kwa utaratibu mpya.
 
Tusisahau pia haya makinikia yalikua yakiweka bandari yetu busy, fikiria containers 300 kwa mwezi, madereva wangapi wanapata ajira?

Lakini kama makinikia yatakuwa yakitoka huku madini ndani yake yameshalipiwa tozo zote hakuna shida
 
Ukienda kwenye jukwa la siasa kuna Watanzania wenye ufahamu wa ndani wa mambo ya madini, wamefanya analysis kali sana na kuiponda hii, yaani sio kwamba hawakua wakipata chochote, ila ukipiga mahesabu ya walichokua wakipata dhidi ya watakachopata kwa sasa utaona hayo makelele yote hayakua na umuhimu.
Huko kwenye jukwaa la siasa watu wanatiana ngeu, yaani wanadadavua balaa.
Hao ni wanasiasa umeshasema kwahiyo wanachodadavua siyo uhalisia
 
Wazungu wanatuokota kupiti akina kabudi yaani unasifia 16% sikiona vizuri nilpongeza nikajua ni 46% kumbe 16% bado bado!
 
4% to 16% unaona ni hatua kubwa sana? Kivipi ni hatua kubwa?

Madini ni yenu mnanyanyaswa then unajisifia kwamba ni hatua kubwa hiyo.

Kwanini Tanzania asimiliki asilimia 50 ya hisa na 50 zingine apewe Barrick?
Suala kusema kwamba hamna capital or teknolojia hizo ni lame arguments na ni ugonjwa mbaya sana kwenu nyie maana bila kujiongeza mtazidi kuonewa tu.
Tanzania ina migodi mingi ila bado umasikini unawasumbua sana.

Kwanini msibinafsishe hata migodi miwili tu kwa masharti kwamba wawape mashines za kila aina za kuchiba na kuchakata madini hapa hapa Tanzania?
Unafikiria kama watu milioni moja
 
Nini maana ya ubia kama anayelipa kodi zote ni mmoja?
Ubia maana yake ni mgawanyo wa faida baada ya kodi yaani gawio. Fahamu kuwa kampuni ni kama mtu anayejitegemea. Wenye hisa wanaweka pesa kwake ili azizalishe kwa hiyo hata serikali ikinunua hisa ni lzm iweke pesa. Hapo itaweka 16% ya jumla ya mtaji watakaokubaliana na kutakuwa mjumbe wa serikali kwenye bodi ya hiyo kampuni. Kampuni ikipata faida na kulipa kodi zote albaki inagawanywa serikali 16% na Barrick 84%. Mrabaha ni sehemu ya mauzo kuwe na faida hapana. Kuhusu gawio ni kwamba hakuna mwekezaji ambaye atawekeza bila kupata faida. Sheria tra ni miaka mitatu hasara wanakadiria faida ili wapate kodi na lzm ilipwe.
 
Hamna mnyama mwingine, Twiga kila siku anazingua kwenye bombardier
 
Mbona Serikali ina % ndogo sana kweli safari ya kunufaika na madini TZ bado ndefu
Tuliambiwa 50% kwa 50% kama hawataki waende maana sisi ndio wenye mali!!! (Wakashangilia wakiamini na kila mtu atapata Noah yake)
Mwisho wa siku 16% (tunaaminishwa tutakula miaka 50 kuliko...) waacheni washangilie tu kwa maana hakuna namna tena...
 
Ongezea na 1% inspection fee (kama madini watayasafrisha nje). Kwa ujumla
1. Royalities = 6%
2. Corporate tax 30%
3. Inspction fee 1%
TOTAL CONTRIBUTION = 37%. Ambapo ktk ubia GOT inachangia "LAND" wakt wao watachangia " TECHNOLOGY na MACHINE/TOOLS.
Tusijisahaulishe kwamba na huyo mbia mwenye 16% makato hayo yanamhusu... maana shareholder hugawana faida na hasara
 
Back
Top Bottom