NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,483
- 3,492
Umemnukuu vibaya Mkuu ukiweza mtake Radhi au kubali umeshindwa kulijibu swali lake.
Unapoandika tumeuziwa mbuzi kwenye gunia maana yake una uhakika... Wenzako hua wanaandika "tetesi" hujachelewa unaweza kubadili kichwa cha habari.
Vijana wa Zitto mnafundishwa kutukana tu