Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

Tumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
Umejuaje kama tumeuziwa mbuzi kwenye gunia?
Nilitegemea utatoa ufafanuzi kivipi hiyo 84/16 na 50/50 haiko sawa.
 
Tumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
Mkuu tuliaminishwa 1+1=3 bado tukaaminishwa 3=1 na hakuna aliyehoji nadhani tuvumiliane tu... 16% kwa 84% = 50% kwa 50% yatupasa saa zingine tukubaliane nao tuu kwa maana wao na hesabu ni sawa maji na mafuta toka enzi...
 
Kwa uelewa wa maandishi kama yatakuwa hivyo ni kuwa Sheria ya madini 2010 na marekebisho yake 2017 inaeleza kuwa kwa Mgodi wowote unaoanza serikali itakuwa na hisa bure(Free) 16% na Mwekezaji 84% hii ni kuwa uendeshaji na shughuli zote zitakuwa za muwekezaji bila serikali kuweka chochote, ila serikali inauhuru wa kuongeza umiliki mpaka 50%, na hii 50/50 ni mgawanyo wa faida baada ya kutoa gharama za uendeshaji. Kama itafanyika hivyo kweli itakuwa faida kwa nchi
 
Hiyo 50/50 ni zile kodi,tozo mbalimbali,CSR etc ndiyo hiyo 50/50.Na bado pia itapata stahiki za 16% kutoka kwa Twiga.
 
Tumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
Umekurupuka mkubwa hebu sikiliza maelezo tena kwa waziri [emoji6][emoji6]
Kusoma huelewi hata kusikiliza tu nayo shida ?
 
Unapoandika tumeuziwa mbuzi kwenye gunia maana yake una uhakika... Wenzako hua wanaandika "tetesi" hujachelewa unaweza kubadili kichwa cha habari.
Vijana wa Zitto mnafundishwa kutukana tu

Na wewe badala ya kumuelewesha tu mwenzako kwa wema kabisa, unakimbilia kwenye hoja dhaifu eti 'vijana wa Zitto"! una uhakika gani kama ni kijana wa Zitto? Mbona wenzako wamefafanua vizuri tu hapo juu!
 
Kwa tunao miliki kampuni tumeelewa 100%, pongezi kwa serikali
Tumeambiwa kuwa serikali inamiliki hisa 16 na mabeberu watamiliki hisa 84 lakini wakasema faida itakuwa 50/50! Kama ni hivyo kwa nini na hisa zisiwe 50/50? Nahisi kuna kitu hakiko wazi naomba kama kuna mtu mwenye ufafanuzi wa hili anisaidie
 
Kwa uelewa wa maandishi kama yatakuwa hivyo ni kuwa Sheria ya madini 2010 na marekebisho yake 2017 inaeleza kuwa kwa Mgodi wowote unaoanza serikali itakuwa na hisa bure(Free) 16% na Mwekezaji 84% hii ni kuwa uendeshaji na shughuli zote zitakuwa za muwekezaji bila serikali kuweka chochote, ila serikali inauhuru wa kuongeza umiliki mpaka 50%, na hii 50/50 ni mgawanyo wa faida baada ya kutoa gharama za uendeshaji. Kama itafanyika hivyo kweli itakuwa faida kwa nchi
Correct 100%
 
Ni hivi kama ulisoma ile document
Mgawanyo wa 50 kwa 50 maana yake 50 kwa Barrick inaenda kama ilivyo
Kwa Tanzania 50 yetu twaichukua kama Kodi na Tozo zote na hiyo 16pc hata iweje mgawanyo utabakia kuwa ndani ya hivyo.
 
Barrick to Restart Gold Mining in Tanzania hii ya leo leo, bado ya moto.
Barrick to Restart Gold Mining in Tanzania from www.wsj.com
 
Back
Top Bottom