Barrick vs Tanzania: Tukubali tu kwamba tumezidiwa ujanja na Wazungu

Hapa vipi? "...kinachopatikana Tanzania ni kama 16% ya value ya Barrick worldwide, that is why Twinga wapo 50-50 percentagewise. Natumaini unaweza kuwa umeambulia kitu."

Imebidi nikachekee mbali!
 
Ona unakoelekea sasa. Yaan nyie sio vigumu kujua ujinga wenu, unaongelea vyama sisi tunaongelea mkataba huu mpya, this is new ccm yenye mabadiliko. Ccm ya enzi za ujima hatutaki kusikia
Waliosaini mkataba wa 3% ni viongozi wa chama kipi?
Mwaka 1991 Lisu aliwekwa ndani na serikali ya CCM akiwa anapinga hiyo 3%. Alikuwa anataka mapato ya madini yagawanywe 50 kwa 50. Alipigwa sana na akasekwa ndani.
Acheni ufala wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa sisomi comment za huyu chizi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Mkuu tofautisha dividend na benefit, bus linapofika msamvu unanunua karanga maji soda, lisingesimama wasingeuza hayo maji, huyo muuza maji na karanga amepata benefit yaani kafaidika na uwepo wa bus stand, umeelewa?
 
Mkuu, hivi hapo nilipo weka red color walipaona kweli hao Viongozi wa Nchi hii ??
 
Nimekuambia hata kwenye ule uzi mwingine kusainiwa mkataba sio jambo geni, tija ya kilichosainiwa ndio muhimu. Yeye ww akili yako yote ni kwenye hilo igizo la kusainiwa na wala sio kilichoko ndani ya mkataba.
Mkuu ni swala la muda tu, tusubiri tuone hizi ngonjera zinatupeleka wapi...
 

Mkuu samahani naona kama kuna vitu unachanganya au ni mimi labda sijaelewa..

Barrick sio mtu bali ni kampuni inayomilikiwa na share holders wengi world wide.. 84% shares ndani ya Twiga yenye migodi mitatu inabaki kuwa moja ya Asset za Barrick na hili sio hapa tu nchi nyinginezo kama Mali Barrick amefanya the same kama hapa.

Hiyo 50-50 percentage wise inahitaji more clarification iweze kueleweka, fahamu pia Tanzania anamiliki ardhi kama mtaji na Barrick yeye amefanya investment kuanzia exploralation, Construction na Operations na huko kote ameweka fedha na Tanzania hana alichowekeza zaidi ya ardhi, how huyu Tanzania anapata 50/50? naomba kueleweshwa kidogo..
 
HUYU ZITO TUMNYANG" ANYE URAIA, HIZO NONDO ZAKE NI HATARI SANA NA ZA KICHOCHEZI..
 
Nimekuambia hata kwenye ule uzi mwingine kusainiwa mkataba sio jambo geni, tija ya kilichosainiwa ndio muhimu. Yeye ww akili yako yote ni kwenye hilo igizo la kusainiwa na wala sio kilichoko ndani ya mkataba.
Kweli wewe ni vuvuzela huchelewi kubadirisha gia angani!!
 
Ona unakoelekea sasa. Yaan nyie sio vigumu kujua ujinga wenu, unaongelea vyama sisi tunaongelea mkataba huu mpya, this is new ccm yenye mabadiliko. Ccm ya enzi za ujima hatutaki kusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni Ile ile hilo halina ubishi acha kujifanya mwendawazimu.
Hao wana ccm walioingia hiyo mikataba ya kijima wachukuliwe hatua za kisheria basi
 
Pia jamaa wamebaki na tril 495 zao pamoja na kishika uchumba tulichodanganywa!
 
Kwenye hiyo kampuni ya Twiga majority shareholder ni nani?
 
Siyo lazima mgawanyo wa faida ulingane na asilimia za umiliki wa kampuni........Hivi vitu vinajitegemea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…