Barrick vs Tanzania: Tukubali tu kwamba tumezidiwa ujanja na Wazungu

Barrick vs Tanzania: Tukubali tu kwamba tumezidiwa ujanja na Wazungu

Nami naunga mkono hiyo mikataba kulinganisha na ya mwanzo.
Hata faida tungekuwa tunalipwa 30%
Ni bora kuliko awali.
JPM oyeeeeeee!
 
Sasa in actual fact hizo share 84 ni lazima watazinunua na kuzimiliki wao Barick.
Sasa tusidanganyane kwamba mtu mwenye share 16 % atapata mapato sawa na mtu anayemiliki 84 %


Mkuu:
Hata mimi hapo sijafahamu, bado najiuliza mwenyewe.
Ownership Ratio ni: 16:84.
Dividend: 50:50
Kwa wema gani. Mwenye ufahamu zaidi please.
 
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.

2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.

3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.

4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.

5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.

Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?

Kabudi Mungu anakuona
Dili la awali na la sasa lipi bora?
 
Sasa in actual fact hizo share 84 ni lazima watazinunua na kuzimiliki wao Barick.
Sasa tusidanganyane kwamba mtu mwenye share 16 % atapata mapato sawa na mtu anayemiliki 84 %
Tatizo la kutumia hisia kufikiri.
 
Umesha uona huo Mkataba Mkuu ?.Maanake kusainiwa sio tatizo ila tatizo ni kilicho sainiwa.
Hili swali lingependeza kumuuliza mleta UZI ameona mkataba au mihemko tu?
 
Kwa ujumla Tanzania hatuna share Barrick isipokuwa Twiga Minerals!
wazungu wenyewe ukiwasikiliza wanasema tumefanya partnership na barrick, sisi tunasema tumepewa shares na hiyo 16% haitajwi ni US$ ngali? tunapewa maelezo jumlajumla
 
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.

2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.

3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.

4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.

5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.

Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?

Kabudi Mungu anakuona

Kwa hiyo hakuna mazuri?
 
Hakuna kubadili sheria ya madini wakati tutashea faida?,idiot,ilikuwepo zamani?
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.

2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.

3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.

4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.

5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.

Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?

Kabudi Mungu anakuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia hizo ni share holding, ie 16% ya shares zote za Barrick na wao Barick wanamiliki 84%.(In actual fact hizo 84% wanaweza wasizimiliki wao Barrick kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kununua shares kwenye stock exchange worldwide ie From Hong Kong, Tokyo, Melbourne, London, Paris, New York au Toronto etc.

Kampuni huwa na shares 100 percent ambazo zinajulikana, sifahamu Barrick wana kiasi gani cha shares, usichanganye number of shares na percentage. (FYI shares za Barrick ni worldwide wana chimba Gold kila mahali ulimwenguni na makadirio yao kipato kinachopatikana Tanzania ni kama 16% ya value ya Barrick worldwide, that is why Twinga wapo 50-50 percentagewise. Natumaini unaweza kuwa umeambulia kitu.
Maelezo mazuri sana...... ila kuna mahala umechanganya au hujaeleweka (actually sijakuelewa)


unaposema16% ya value ya barrick wordie inapatikana tanzania, then unakua hujaeleza inakuaje sisi tuwe na 16 wao 84 totalling 100...??


does that mean hio 16 yote inayopatikana tanzania tunaichukua sisi na barrick wanabaki na 84 za huko kwingine?...... Ima una maana kwamba sisi tunamiliki 16 ya kinachopatikana tanzania tu?.........


NOTE; haya maswali nimeuliza kutokana na maelezo yako hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tofautisha dividend na benefit, bus linapofika msamvu unanunua karanga maji soda, lisingesimama wasingeuza hayo maji, huyo muuza maji na karanga amepata benefit yaani kafaidika na uwepo wa bus stand, umeelewa?
Nashukuru nimeelewa.
 
Asilimia hizo ni share holding, ie 16% ya shares zote za Barrick na wao Barick wanamiliki 84%.(In actual fact hizo 84% wanaweza wasizimiliki wao Barrick kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kununua shares kwenye stock exchange worldwide ie From Hong Kong, Tokyo, Melbourne, London, Paris, New York au Toronto etc.

Kampuni huwa na shares 100 percent ambazo zinajulikana, sifahamu Barrick wana kiasi gani cha shares, usichanganye number of shares na percentage. (FYI shares za Barrick ni worldwide wana chimba Gold kila mahali ulimwenguni na makadirio yao kipato kinachopatikana Tanzania ni kama 16% ya value ya Barrick worldwide, that is why Twinga wapo 50-50 percentagewise. Natumaini unaweza kuwa umeambulia kitu.
Unajitekenya!
 
Barrick Gold Corp (ABX) Com Stk (CDI)

Sell:24.59 CAD Buy:24.60 CAD
security-up-arrow.gif
0.35 CAD (1.44%)

Market closed | Prices as at close on 24 January 2020 | Turn on streaming prices

Shares za Barrick bei ya leo kwa dhahabu wanazochimba worldwide hapo juu kwenye soko la Canada.
Unajitekenya!

Una share ngapi kwenye portfolio yako?
 
Maelezo mazuri sana...... ila kuna mahala umechanganya au hujaeleweka (actually sijakuelewa)


unaposema16% ya value ya barrick wordie inapatikana tanzania, then unakua hujaeleza inakuaje sisi tuwe na 16 wao 84 totalling 100...??


does that mean hio 16 yote inayopatikana tanzania tunaichukua sisi na barrick wanabaki na 84 za huko kwingine?...... Ima una maana kwamba sisi tunamiliki 16 ya kinachopatikana tanzania tu?.........


NOTE; haya maswali nimeuliza kutokana na maelezo yako hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Elewa maana ya shares kwanza kabla treni haijakugonga.
 
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.

2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.

3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.

4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.

5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.

Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?

Kabudi Mungu anakuona
Mimi nilivyoelewa kampuni ya ubia ya TWIGA haimiliki migodi bali ni management company kusimamia hizo kampuni zinazomiliki migodi; mapato ya management company ni "Royalty au Management fees" ... haya ndio tutagawana pasu pasu baada ya kuondoa matumizi yaani mishahara na mengineyo. Kwenye migodi tuna 16% na huku tutapata kitu kama watatangaza mgao wa faida "Dividend" vinginevyo kwa uzoefu wangu na kampuni za uchimbaji madini faida haitegemewi kupatikana.
 
Nadhani mdau anamaanisha mtaji wa barrick hapa tanzania ni 16% ya utajiri wake kwa ivo tanzania itahesabika kuwa na hisa za 16% kwenye thamani ya kampuni zima la barrick lakini hisa zake zitakuwa limited tanzania tu! Kwa ivo hapa tanzania watazigawana hizo 16% katika 50-50.
kwa hiyo endapo barrick watapata hasara au faida hapa tz then wataigawana 50-50.

Ole,
Hakuna ufafanuzi wowote uliotoa. FYI yaani umezidi kuchanganya mambo zaidi.

Tunafahamu kuwa faida ya biashara yoyote hugawanywa kutokana na kiwango cha uwekezaji ( hisa) katika kampuni. Sasa iweje mwenye 84% na 16% wagawane faida 50/50. Kwa nink umiliki wa kampuni u
 
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.

2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.

3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.

4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.

5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.

Kwa mkataba huu tumepakatwa na hatuna pa kutokea uzalendo kweli ndio huu?

Kabudi Mungu anakuona
Haa mambo ni size ya wachumi, wahasibu na wataalamu wa biashara. Siyo kila mwana JF anayejua kiingereza anaweza kuinterpret.

Ninachikiona kilichobadilika kwenye mkataba wa Barick ni mrahaba tu kutoka I think 9% (au 6%) alizoacha JK hadi 16%. Lakini naye JK kuna kazi alifanya kwa kuwa wakati wa BWM ilikuwa 3%. Tuendelee hivihivi bila kudharauliana pengine atakayemfuata JPM atatupeleka hadi 20% au 30% kama ilivyo Botswana.

Hii economic benefit ni vague term. Ukisoma kwenye nadharia wanasema yaweza kuwa mapato yaliyopatikana, au gharama zilizookolewa. In short siyo kitu tangible kwa kuwa ni rahisi tu kuambiwa 'hatukupata economic benefits). Hiyo ni changa la macho ambalo negotiations team yetu chini ya Prof Kabudi ilibambikiziwa ikadhani ni kitu cha maana.

Mengine ya USD 190 Bilion maarufu kama Noah kwa kila Mtanzania imekufa na ilikiwa ni ndoto ya mwendawazimu au kwa lugha ya Tundu Lissu Professorial rubbish.

Ile Goodwill ya USD 300 Million imekubaliwa lakini kulipwa ni kwa miaka 6 minus madeni wanayoidai Serikali.

Makinikia yataendelea kupelekwa kama kawaida na Sheria za Tanzania hazitatumika kutatua migogoro, itabaki ni ile ile ya ICSID iliyoko London.

Halafu kuna kigingi kipya kimeongezeka kinasema Mkataba wa Barrick na Tz hautaathirika na sheria za madini zitakazotungwa baadaye.

ACACIA unaweza usiione kewnye logo lakini ACACIA ni Barrick na Barrick ni ACACIA. Makao makuu ya Barrick yako Toronto Canada. Kutokana na namna hizi multi nationals zonavyo manage biashara eapecially baada ya kuwa listed kwenye LSE, ilibidi waunde structure ya management ya shughuli zao London through ACACIA. So don't be fooled kuwa eti kampuni ya ACACIA iliyokuwa inatunyonya imenunuliwa. Bado ipo na kama ni kunyonya itaendelea.
 
Mkuu Ole acha umbumbumbu!

Barrick na Tanzania kwapamoja wanakuwa ni Ordinary share holders ktk uwekezaji kwenye Twiga.

So Twiga kama watakuwa listed kwenye stock makerts iwe ni DSE or wherever, kwanza twiga ata issues shares zenye defined quantity and value per share then watu watakao vutiwa kununua hizo shares kwa maana ya kufanya uwekezaji, hawa huitwa Preference share holders ambao mwisho wa siku watapata gawio lao haijalishi kampuni imepata hasara ama faida and this same apply to the owners(ordinary holders)

Usichanganye mambo mkuu. Uuzwaji wa shares za Twiga kwenye masoko ya mitaji nje ya Tanzania hauta alter 84% ya shares za Barrick kwenye gawio lake.
 
Back
Top Bottom