Barrick vs Tanzania: Tukubali tu kwamba tumezidiwa ujanja na Wazungu

Watu wa kulalamika Kila wakati...wewe ulitaka mkataba uweje?
 
Mkuu Stuxnet mi nachoona hapa hiyo ecomic benefit ina include all labour force, operating costs etc yaani ni profit before tax siyo net profit after deduction of all expenses inccured per annum.
Barrick ni multinational coy kwenye sector ya madini ni wabobevu, hivyo kwenye mkataba huu tusitegemee win win situation.
Akina Kabudi na Jiwe waache wakenue meno tu ila the effect is ahead of us.
Muda ni mwalimu mzuri tusubiri tutajionea!
 
..Barrick amepata 84%.

..sisi tumepata 16%.

..sasa kwanini tujione tumeshinda?

..Je, kushangilia 16% siyo kujidharau sisi wenyewe?

..Na kama madai yetu ya mwanzo yalikuwa usd 191 billion, kusaini makubaliano haya siyo kusalimu amri kwa kampuni ya mabeberu?
 
Magufuli amempa kilema bure Tundu Lissu kwa kuwa kwenye hiyo deal ya Twiga/Barrick hakuna kitu chochote ambacho tuna gain kama Taifa. Aliyo tahadharisha Tundu Lissu bado yanaishi.

Makusudi ya Mungu kumnusuri Tundu Lissu dhidi ya risasi 16 siyo kitu cha kuchukulia kirahisi. Itakuja Serikali nyingine itayaweka wazi mauchafu ya Magufuri kuficha. Hususan hili la kumpiga mzalendo wa kweli Lissu risasi akìtetea ukweli
 
Hili suala la kugawana faida na hasara tuliangalie vizuri vinginevyo share zetu zitaoshia kulipa hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…