Barua kutoka chama cha wanaume wabahili

Barua kutoka chama cha wanaume wabahili

Kaka madenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2021
Posts
312
Reaction score
574
Chama chetu cha wanaume wabahili Tanzania ( chawawa)
Kinapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa
Kesho kwetu sisi hakuna kitu kinachoitwa Valentine day .

Bali tutashinda tukiabudu kanisani na kusifu Muumba aliye juu.

Hii ikimaanisha mengi ikiwemo swala mtambuka la gharama na kufidia pesa za guest..
Kwani uchumi umebana

Mjulishe na mwenzio haraka upatapo ujumbe juu tuwaokoe wengine
Maana tumeskia koffi mopao atakuwepo huko dar .

Hivyo tunahofia wanachama wetu walioko huko kukiuka masharti ya chama ...

Imetolewa na makao makuu ya chama
Dodoma

Hii ndio list ya wajumbe wakuu wa bodi ya chama

Mwenyekiti bwana Kaka madenge

Makamu mwenyekiti bwana wa stendi

Katibu mkuu ndugu Mnyatiaji

Makamu katibu mkuu Emmanuel Kasomi

Muweka hazina ndugu The Icebreaker

Itikadi na uenezi, comrade Kichwa Kichafu ..

Aidha chama kinapenda kuwahimiza kuwa nafasi bado zipo wazi kwani matawi yetu ya mikoani bado hawana viongozi
Hii ni kutokana na wanachama kushindwa kuchangia shilingi 750 ya tawi .

Nikiwa kama mwenyekiti nawahimiza ma comrade wote kutii agizo haraka na kama kuna shida yoyote muone makamu mwenyekiti ndugu Emmanuel Kasomi , katibu mkuu ndugu Mnyatiaji

Itifaki ya chama izingatiwe
 
Chama chetu cha wanaume wabahili Tanzania ( chawawa)
Kinapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa
Kesho kwetu sisi hakuna kitu kinachoitwa Valentine day .

Bali tutashinda tukiabudu kanisani na kusifu Muumba aliye juu.

Hii ikimaanisha mengi ikiwemo swala mtambuka la gharama na kufidia pesa za guest..
Kwani uchumi umebana

Mjulishe na mwenzio haraka upatapo ujumbe juu tuwaokoe wengine
Maana tumeskia koffi mopao atakuwepo huko dar .

Hivyo tunahofia wanachama wetu walioko huko kukiuka masharti ya chama ...

Imetolewa na makao makuu ya chama
Dodoma
Mimi kama katibu wa Chama hicho.
Nasikitishwa na Tabia ya wanaume kutuma hela msimu huu wa valentine
 
Chama chetu cha wanaume wabahili Tanzania ( chawawa)
Kinapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa
Kesho kwetu sisi hakuna kitu kinachoitwa Valentine day .

Bali tutashinda tukiabudu kanisani na kusifu Muumba aliye juu.

Hii ikimaanisha mengi ikiwemo swala mtambuka la gharama na kufidia pesa za guest..
Kwani uchumi umebana

Mjulishe na mwenzio haraka upatapo ujumbe juu tuwaokoe wengine
Maana tumeskia koffi mopao atakuwepo huko dar .

Hivyo tunahofia wanachama wetu walioko huko kukiuka masharti ya chama ...

Imetolewa na makao makuu ya chama
Dodoma
Mimi kama katibu wa Chama hicho.
Nasikitishwa na Tabia ya wanaume kutuma hela msimu huu wa valentine
 
Kikao cha leo ni batili akidi aikutimia.
kwaivyo kesho wanachama waendelee na uchakataji wa papuchi kama kawaida na kuhonga kuendelee kwa siku ya kesho tu.
 
Kuhonga mwisho jero
IMG-20210210-WA0063.jpg
 
Chama chetu cha wanaume wabahili Tanzania ( chawawa)
Kinapenda kuwatangazia wanachama wake kuwa
Kesho kwetu sisi hakuna kitu kinachoitwa Valentine day .

Bali tutashinda tukiabudu kanisani na kusifu Muumba aliye juu.

Hii ikimaanisha mengi ikiwemo swala mtambuka la gharama na kufidia pesa za guest..
Kwani uchumi umebana

Mjulishe na mwenzio haraka upatapo ujumbe juu tuwaokoe wengine
Maana tumeskia koffi mopao atakuwepo huko dar .

Hivyo tunahofia wanachama wetu walioko huko kukiuka masharti ya chama ...

Imetolewa na makao makuu ya chama
Dodoma
Pia tutakua na daftari la kuhakiki mahudhurio ya wanachama wetu kanisani
 
Tunapenda kutoa taarifa kwa wanachama wote wa Umoja Wa Wanaume Bahili Tanzania (UWABATA).

Kuwa chama kipo imara na hadi sasa tumepokea taarifa mbalimbali kwa nchi nzima kuwa wanachama bado wapo ngangali kutimiza makubaliano ya kikao cha mwisho.

Hadi sasa kiasi kikubwa kilichotumika kwa wastani kwa kila Mwanachama ambaye atachakata papuchi leo ni shiling 750 tu.

Mchanganuo wa kiasi hicho nitauleta baadae.

Hivyo nasi uongozi wote unawatakiwa wanachama wote kuwa na shughuli njema huku mkiilinda katiba yetu ya UWABATA.

Msemaji wa Umoja Wa Wanaume Bahili Tanzania (UWABATA)
 
Back
Top Bottom