Barua kutoka chama cha wanaume wabahili

Barua kutoka chama cha wanaume wabahili

Najivunia kuwa na mwanachama kama wewe kwani unadumisha Sera yetu pendwa ya chama naunga mkono maamuzi ya ndugu katibu mkuu Mnyatiaji[/USER
[/QUOTE]

Pia mwanachama wetu mmoja anakaribia kuvunja itifaki kwani nimepokea malalamiko Leo asubuhi

Anataka kufunga ndoa hivyo amepanga kupeleka mahari shilingi 5000 na kiroba cha matikiti
Kitu ambacho ni kinyume na matakwa na katiba ya chama kwani ni vitu Vinci sana alipaswa kupeleka matembele ya 300 kisha apewe mkewe ..

Naomba swala hill ndugu ushughulikie kesho kwani kama mwenyekiti Nina majukumu mengi Mnyatiaji
Asante kwa taarifa nipo njiani nimeomba lift kuelekea eneo la tukio hivyo ndugu Kaka madenge kama afisa habari takutaarifu mapema tuzuie tukio hili mara moja
 
Ni kosa nimekosea, mniwie radhi.
Hata mkinipa faini, nitatoa nini? Maana kuna hela naisikilizia haijaingia bado.
Zingine zote ziko bank na siwezi gusa huko hata mia.
Hahhahaahhahahahaahahhaahahahahha
 
MOTTO wetu ndo huu ..ila nashangaa kwanini sijapewa cheo chochote adi sasa ..naomba uongozi utoe tamko.
9f56bae621ef49c39977f622170da229.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom