Najivunia kuwa na mwanachama kama wewe kwani unadumisha Sera yetu pendwa ya chama naunga mkono maamuzi ya ndugu katibu mkuu Mnyatiaji[/USER
[/QUOTE]
Asante kwa taarifa nipo njiani nimeomba lift kuelekea eneo la tukio hivyo ndugu Kaka madenge kama afisa habari takutaarifu mapema tuzuie tukio hili mara mojaPia mwanachama wetu mmoja anakaribia kuvunja itifaki kwani nimepokea malalamiko Leo asubuhi
Anataka kufunga ndoa hivyo amepanga kupeleka mahari shilingi 5000 na kiroba cha matikiti
Kitu ambacho ni kinyume na matakwa na katiba ya chama kwani ni vitu Vinci sana alipaswa kupeleka matembele ya 300 kisha apewe mkewe ..
Naomba swala hill ndugu ushughulikie kesho kwani kama mwenyekiti Nina majukumu mengi Mnyatiaji
Mimi Mnyatiaji nakuomba mpe taarifa Kaka madenge ambaye amekaimu kwa sasa nafasi ya katibu mweneziMuheshimiwa Kichwa Kichafu itikadi na uenezi wa chama UWABATA,
Naomba kadi mpya ya uanachama maana nimepoteza toleo lililopita.
Natanguliza shukrani.
MAKAO MAKUU UWABATA,
CHATTLE.
Ahsante sana kiongozi wa UWABATAMimi Mnyatiaji nakuomba mpe taarifa Kaka madenge ambaye amekaimu kwa sasa nafasi ya katibu mwenezi
Hapana mkuu Mimi ni mwenyekitiMimi Mnyatiaji nakuomba mpe taarifa Kaka madenge ambaye amekaimu kwa sasa nafasi ya katibu mwenezi
Hujafanya kosa kuhonga mwisho 500Wenzangu na uongozi wote, nitumie nafasi hii kuomba msamaha kwa tukio langu la kumnunulia dada mmoja soda ya chupa, 500!alipokuja home.
Nimejisika vibaya sana
HahhahaahhahahahaahahhaahahahahhaNi kosa nimekosea, mniwie radhi.
Hata mkinipa faini, nitatoa nini? Maana kuna hela naisikilizia haijaingia bado.
Zingine zote ziko bank na siwezi gusa huko hata mia.