William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Nafikiri hiki itabu cha Ndesamburo, ambacho nasikia tayari Spika anakipiga vijembe kabla hakijatoka, kitakata mzizi wa fitina,
Hivi katika sheria zetu hakuna inayombana Spika kuwa akiyavulia maji nguo lazima ayaoge? Maana kuipeleka ishu kwenye kamati ya bunge na kuitangazia public ni kitendo kizito sana kitaifa kwamba I am lost kuwa at the end aliamua kutumia busara?
Na hivi hatuna sheria ya special prosecutor ambaye ni independent kama wanavyofanya huko majuuu, ambaye at this point ilitakiwa ndiye apewe hii kesi? kama vile mzee Ken Star?
Halafu ninaomba msaada wakati Malima, anatoa maelezo ya kesi yake mbele ya kamati ya bunge, alikuwa amekula kiapo? Maana kama alikula kiapo halafu ikagundulika kuwa alilidanganya bunge under oath si kuna kesi ya perjury hapo au?
kwa kweli hii kesi ni very interesting sana!
Hivi katika sheria zetu hakuna inayombana Spika kuwa akiyavulia maji nguo lazima ayaoge? Maana kuipeleka ishu kwenye kamati ya bunge na kuitangazia public ni kitendo kizito sana kitaifa kwamba I am lost kuwa at the end aliamua kutumia busara?
Na hivi hatuna sheria ya special prosecutor ambaye ni independent kama wanavyofanya huko majuuu, ambaye at this point ilitakiwa ndiye apewe hii kesi? kama vile mzee Ken Star?
Halafu ninaomba msaada wakati Malima, anatoa maelezo ya kesi yake mbele ya kamati ya bunge, alikuwa amekula kiapo? Maana kama alikula kiapo halafu ikagundulika kuwa alilidanganya bunge under oath si kuna kesi ya perjury hapo au?
kwa kweli hii kesi ni very interesting sana!