Barua ya Dani Alves baada ya kutengana kwa Joana Sanz

Barua ya Dani Alves baada ya kutengana kwa Joana Sanz

Ninyi mnaover look hili jambo. Kama ni issue ya mali angeweza kuomba talaka hata kabla ya mumewe kuwa na hiyo kesi na angepata migao yake vizuri tu, sote tunajua suala la talaka kwa wenzetu sio nongwa kama huku.

Kwa wenzetu mtu Maarufu akiwa na kesi ya unyanyasaji wa watoto, unyanyasaji wa wanawake, ubakaji, unanyanyasaji wa wanyama, Ugaidi na human trafficking ni rahisi kuwa canceled na kila mtu, ubaguzi wa rangi, na kwasasa hivi ubaguzi dhidi ya hawa LGBTQ hakuna mtu anayetaka kuhusishwa na mtuhumiwa wa hivyo au a convict.

Hakuna mtu ambaye ni ana jina atataka kuhusishwa na wewe au kukutetea hadharani na yeye akiogopa kucanceliwa kwamba anayeyemtetea au kuside naye pengine na yeye ana tabia iko hivyo hivyo.

Kama huyo mke ana career yake jua hawezi kurisk career kwa kuonekana anaside na mumewe ambaye ni mtuhumiwa (sifahamu hii kesi vizuri nazungumzia uzioefu) Kuna madhara ya huyo mkewe kuside na mumewe wakati kama huu, to make the matter worse he cheated on her! 😅

Msimlaumu sana huyo dada, system za kidunia hazifanyi kazi hivyo, Watu maarufu wakipatwa na kesi za hivi chunguzeni vizuri wanaowatetea ni watu wa kawaida (common wananchi) ambao hawana chakupoteza, ambao wana vya kupoteza hujitenga nao kabisa. Vyakupoteza namaanisha Gigs, shows, endorsements, mikataba etc.

Atleast hivi ndivyo mimi ninavyofikiri, naomba kukosolewa.
Kidogo nimekuelewa ila hii ni huko ng'ambo sio huku kwetu Africa.
 
Kidogo nimekuelewa ila hii ni huko ng'ambo sio huku kwetu Africa.
Yes, najaribu tu kuchokoza mada sina uhakika since sisi hatujui aliwazalo huyo mkewe, ila chunguza trends za haya mambo jinsi zinavyokwenda.

Yaani kwao ni bora mtu aue au auze madawa atatetewa 😁
 
Yes, najaribu tu kuchokoza mada sina uhakika since sisi hatujui aliwazalo huyo mkewe, ila chunguza trends za haya mambo jinsi zinavyokwenda.

Yaani kwao ni bora mtu aue au auze madawa atatetewa 😁
Kesi za kingono zinawasweka ndani sana hawa mastaa nadhani huwa wanategewa.
 
Hakuna kitu Duniani Cha kipumbavu kama kuinvest feeling zako kwa mtu mwingine

Jamaa kama Alves ana umaarufu na pesa ambazo Nina uhakika anaweza kuwavutia wanawake wengi Duniani kote, mtu kama huyu ana uhakika wa maisha mpaka umauti umkute, yet anahangaika na mapenzi

Niliwahi Kuona chats za Elon musk na amber heard zilizovuja, yaani kademu kanachat na tajiri namba Moja Duniani bila kujali hata, yaani mtu kama Elon musk hata ukiongea nae mwanaume lazima heshima ifate mkondo wake maana unajua jamaa anaweza kukupa mchongo ukatoka na ukoo mzima, ila haka kadem kalikua kanamjibu kunya tu, jamaa ndo anajipendekeza, dah kweli k ina nguvu

Sisi maisha hayajanyooka ni kupambana Kila siku Mungu tusaidie tu, kua Mwanaume inahitaji uwe na roho ngumu sana na ujue thamani yako haswa haswa, bila hivo utakuja kua kua kama kina mpwayungu village utamani kua demu wanaume waku pet pet
Baharia yule labda anataka K tu...usidhani akifanikiwa ataendelea kumbembeleza..
 
Kuoa baada ya kupata utajiri nayo ni changamoto..hawa ma-star wa soccer kwann wanaokotaga pisi zenye njaa..
 
Back
Top Bottom