Watoto na issue za kugawana mali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto na issue za kugawana mali
Wazungu ni akili kubwa si unaona Ronaldo anavyo wala chenga hataki kuoaIla naona blacks hawajifunzi. Kwa kiasi kikubwa, wao ndio wanakuaga target ya hawa gold-diggers. Ila hawashtuki.
Three quarters of footballers/athletes get divorced after retirement.Ni mkewe kumbe?? Maskini afu atataka apewe talaka wagawane mali[emoji22][emoji22][emoji22]
Mwanamke akishakuzidi urefu tayari ni tatizo kubwaBarua ya beki, Dani Alves aliyomwandikia aliyekuwa mke wake Joana Sanz imefuchuliwa lakini beki huyo akiendelea kusota jela kufuatia kesi ya ubakaji inayomkabili.
Beki huyo wa zamani wa Barcelona, aliandika barua hiyo akiwa jela ya ‘Brian 2’ iliyopo Hispania akishikiliwa kwa mashtaka ya unyanyasaji wa kijinsia. Imeelezwa Alves aligoma kula baada ya mwanamitindo huyo kutangaza rasmi ameachana na mwanasoka huyo kutokana na madai yanayomkabili.
Alves anakabiliwa na kesi ya kumshambulia mwanamke bafuni kabla ya kumbaka, baadaye mwanamke huyo ambaye hakufahamika jina alimripoti polisi na kukamatwa, tukio hilo lilitokea Desemba 31 mwaka jana.
Nyota huyo wa zamani wa Timu ya Taifa ya Brazil, alichanganyakiwa baada ya ndoa yake kuvunjika kwa
mujibu wa ripoti. Spanish TV ilisema barua hiyo imefichuliwa baada ya Joana kutangaza rasmi ndoa yake na beki huyo imevunjika rasmi kupitia akaunti yake ya Instagram.
.
Hii hapa barua ya Alves aliyomwandikia aliyekuwa mke wake
“Kipenzi changu Joan, imepita miaka minane sasa ya upendo wetu na heshima. Miaka ya nyuma mambo yetu yalikuwa mazuri na yenye furaha, wewe na watoto wangu (Dani Filho na Victoria), Tumekua pamoja tangu siku tulionana, tumeongozana pamoja kwa jambo lolote, tulipitia magumu mimi na wewe, nasikitika umeivunja ndoa yetu, nitaomba kila siku unipe nafasi nyingine ya kukupenda tena, naelewa maumivu unayopitia, nitaendelea kupambana kwa ushirikiano wa familia yangu, ukweli utagundilika na dunia itafahamu.”
View attachment 2565247
Wameishiwa nguvuHadi sasa hamna comment ya KATAA NDOA
😂 kwahiyo alikosea kuoa Ke mrefu kumzidiMwanamke akishakuzidi urefu tayari ni tatizo kubwa
Anadai hakubaka walikubaliana, kama ni kweli basi kuna namna imefanyika.Hivi inawezekana vipi mchezaji maarufu kama Dani kubaka? Kwani akitongoza atakataliwa!
Nadhani hizi kesi huwa ni za kutengeneza. Hato Ronaldo, Benzema walikuwa na kesi
Mwanamke huwa hatambui shida labda uwe mgonjwa ataona aibu kukukimbia, ila ukose pesa atakukimbia tuHivi kile cheti cha ndoa si mkataba
Na mkataba unasema kwa shida na raha mbona huyu dada anataka kwenda kinyume ningemfungulia kesi na yeye [emoji3]
Wanawake watu wabaya sana basi tu tunaishi naoVisca Barca, chama langu dah....! Alikuwa dependable player wetu kwa muda mrefu.
Kesi za sexual abuse, sexual harassment, rape na nyinginezo za aina hiyo huwa zinagubikwa na utata mwingi hata ushahidi wake huwa una utata. Mnaweza kukubaliana ile umekojoa tu demu anatoka na ushahidi wake(sperms) anenda kukugeuza dili.
Unatafuta chemba unalia kidogo kutoa jazba watu wasikuone baada ya hapo unarudi mpya kabisa na watu wasijue chochote..Wanaume sisi hata kama demu alitaka kukuua hatuendagi mahakamani tunakaa pembeni lakn wenzetu mpaka wakukomeshe hata kama ni jambo gan
Ndiyo wake zetu hatuna namna ya kuwakwepa, ni kuishi nao kwa timing tu.Wanawake watu wabaya sana basi tu tunaishi nao
Ronaldo hajaoa yule ni girlfriend wakePombe ni mbaya sana
Ronaldo baada ya seke seke la Marekani akaona aoe kabisa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na wanalizwa mno hawajifunziMastaa weusi wanatia sana aibu. Kushobokea gold diggers wa kizungu kunawamaliza kabisa.