Barua ya Dani Alves baada ya kutengana kwa Joana Sanz

Barua ya Dani Alves baada ya kutengana kwa Joana Sanz

Sure mkuu ji mali as a wife si walijubaliana kusimama kwa shida na raha

Angemtafutia lawyer mumewe amtoe huko, angetumia pia huu muda kuwaprove wrong watu ila kuleta mambo ya talaka kunamuongezea jamaa kutoaminiwa na watu, i. Feel sorry for him 😃😃
Hata kama jamaa alikubali usaliti lakini sio kumfanyia hivi, bora angefanya hivyo punde tu baada ya jamaa kukubali kutoka na Ke mwingine tungeelewa ni hasira na chuki dhidi ya usaliti. Hii ya sasa lengo ni mgawanyo wa mali
 
Ndio hivyo ila vyombo vya habar, makampuni yaliyomdhamini pamoja wachezaji wa timu yake walimtenga na kumuhukumu ili hali alikuwa anatuhumiwa.
Ndio jamii ilivyo dhidi ya wanaume kwasasa. Huruma na attention ipo kwa wenzetu zaidi
 
Ukiwa unayo Hela ya kutoshaaa na una enjoy life lako ..

MWANAMKEE C MTU WAKUMSOGELEAA NA KUMFANYA RAFKII..muda wwt anakusalitii...na maumivu yake Huwa yanadumu mpk kifo km utakubLiana na matokeoo.,.
 
Alves anasema hakubaka, walikubaliana, kwahiyo hiyo ni cheating. Sasa mnaomlaumu huyu mkewe hapa siwaelewi, kwasababu kuna watu wengine, mimi nikiwa ni mmoja wao, hawakubali kushare wapenzi. Mimi nikigundua demu wangu kalala na mtu mwingine huo ndio mwisho wetu. Sina muda wa kazinguana
 
Sina uzoefu na mambo ya kisheria ila nadhan mpaka uchunguzi ukamilike

Wanakusetia mchongo tu jamaa anadai kuwa alifanya mapenzi lakini hakubaka walikubaliana.
Nakumbuka back in the day Mike Tyson alishapigwa kabaku style hiyo na Desiree Washington na ikala kwake, some bitches are two headed serpents.
 
Alves anasema hakubaka, walikubaliana, kwahiyo hiyo ni cheating. Sasa mnaomlaumu huyu mkewe hapa siwaelewi, kwasababu kuna watu wengine, mimi nikiwa ni mmoja wao, hawakubali kushare wapenzi. Mimi nikigundua demu wangu kalala na mtu mwingine huo ndio mwisho wetu. Sina muda wa kazinguana
Ngoja tuone itakuaje ila jamaa yupo kwenye wakati mgumu sana.
 
Ukiwa unayo Hela ya kutoshaaa na una enjoy life lako ..

MWANAMKEE C MTU WAKUMSOGELEAA NA KUMFANYA RAFKII..muda wwt anakusalitii...na maumivu yake Huwa yanadumu mpk kifo km utakubLiana na matokeoo.,.
Hakika kwa niliyoexperience hadi sasa nnaamini uyasemayo.
 
Back
Top Bottom