Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
But huez jua , jamaa pia waga ana ego flani hivi huko ndani itakua ndio balaa huoni pia case ya Ne-Yo?Wanaume sisi hata kama demu alitaka kukuua hatuendagi mahakamani tunakaa pembeni lakn wenzetu mpaka wakukomeshe hata kama ni jambo gan