Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #41
No umeniquote vibaya, kesi ya ubakaji ni ya mwanamke mwingineKwamba anakesi ya iumbaka mkewe au ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No umeniquote vibaya, kesi ya ubakaji ni ya mwanamke mwingineKwamba anakesi ya iumbaka mkewe au ππππ
Watamalizana wenyewe hao na kwa pisi za brazili hana miaka 2 anarudia tena πAaah mkuu wangu umeshinda fanya mpango tumtoe huko jerrraa ππ
Binti akishinda kesi lazima apewe kitita kama fidia , watu hawana hurumaPesa. Mabinti wameshaona ni njia ya mkato ya kujipatia pesa.
Hapana Dani yupo at the end of his form 40+ years unafikiri anaeza tengeneza amount kama ilivokua mwanzo?? Huyo mama anaeza mkomba parefuu sana yaaniKugawana mali au kuachia kabisa huwa sio issue kwa wapambanaji, msala ni ile hali ya ndani inavyouma wengine wanaishiaga misingo ya mawazo to kifo
Ishu ya mkewe ni talaka, kesi iliyomuweka ndani ni ubakaji mwanamke mwingine. Hoja ni kwanini mkewe amuache jamaa kipindi hiki? Lengo ni maliDaah basi apewe hizo mali, hivi mtu once mlikua mnashea chumba na kitanda kimoja howcome unapata guts za kumfanya afungwe tena jela ila kuna watu wakatili sana mmh
Hamna tunamuonea huruma tu mkuuππYaani mtu ana kashfa ya ubakaji ila analaumiwa mkeweπππ
Hivi nyie viumbe akili mmepeleka wapi siku hizi!!
Kwanini asingoje kesi iishe ndio waachane? Lengo lake ni lipi hasaYaani mtu ana kashfa ya ubakaji ila analaumiwa mkeweπππ
Hivi nyie viumbe akili mmepeleka wapi siku hizi!!
Usione wanashabikia ushoga ukadhani hawana masaibu! Ni kutokana na stress za wanawake wanaona bora kuchafuka na topePole yake sana
Sema daah mzungu anasheria kali sana
Naamini sio mjinga hadi kuchukua maamuzi hayo. Yeye anajua zaidi, huna haki ya kumjudge.Kwanini asingoje kesi iishe ndio waachane? Lengo lake ni lipi hasa
Sure mkuu ji mali as a wife si walijubaliana kusimama kwa shida na rahaIshu ya mkewe ni talaka, kesi iliyomuweka ndani ni ubakaji mwanamke mwingine. Hoja ni kwanini mkewe amuache jamaa kipindi hiki? Lengo ni mali
Aah ndo maana ronaldo hajaoa nishaelewa ππKwanini asingoje kesi iishe ndio waachane? Lengo lake ni lipi hasa
Hyo kesi haina mitigation lazima ale mvua kwa wazungu hata Asia kesi za kubaka sijui kunyanyasa wanawake unapotezwa kabisa duniani.Mwamba sijui kapigwa nyundo ngapi huyu
DuuhUsione wanashabikia ushoga ukadhani hawana masaibu! Ni kutokana na stress za wanawake wanaona bora kuchafuka na tope
Huyu mwanadada anaetangaza mzuri kinomaDani Alves ni bonge la gentleman na mpambanaji hasa. Huyo jamaa siyo lialia.
Aliwahi kufanyiwa ubaguzi kwa kurushiwa ndizi, alichofanya skaikota, akaimenya na kuila then akaendelea kupiga mpira wa kona.
View attachment 2565311
Watu wanaishi kwa pasword. Nazidi kujifunzaAah ndo maana ronaldo hajaoa nishaelewa ππ
Wengi ni raha tu shida ni za mwanaume πHivi kile cheti cha ndoa si mkataba
Na mkataba unasema kwa shida na raha mbona huyu dada anataka kwenda kinyume ningemfungulia kesi na yeye π
Sawa mkuuNaamini sio mjinga hadi kuchukua maamuzi hayo. Yeye anajua zaidi, huna haki ya kumjudge.
Na Kuna siku utasikia mwanamke wake ndio ameinjinia mchongo mzimaInaumiza sana hali anayopitia tena sababu ikiwa ni mama watoto wake.
Nawaza kwanini mkewe anamfanyia hivi sipati jibu au sababu ya uchumi?