Barua ya Julius Nyerere ya kujiuzulu ualimu St. Francis College Pugu 1955

Mzee nimekuelewa ila kama kuna kitu kipya hapa tena nimekiona
Ngoja kidoogo nikafanye marejeo mahala flani
Kisha nipitie na link ulizoweka hapa ili nipate kujua zaidi
itakua vema sana
 
Mzee nimekuelewa ila kama kuna kitu kipya hapa tena nimekiona
Ngoja kidoogo nikafanye marejeo mahala flani
Kisha nipitie na link ulizoweka hapa ili nipate kujua zaidi
itakua vema sana
B...
Historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ina mambo mengi sana wala sishangai unaposema umekutana na mapya.

Hamkupatapo kusoma haya popote pale.
Karibu ndugu yangu.

Nakala ya kwanza ya Kiingereza ilichapwa na Minerva, London 1998.
Picha yake hiyo hapo chini:
 

Attachments

  • SYKES BOOK MINERVA.jpg
    16 KB · Views: 2
Dah
 

"...walikuwa nalo tangu wakiwa Burma..." Hilo Nyerere alilisema wapi? Nyerere aliyesema ya kabla la Hilo uliyoyaandika lakini kipande hicho cha "Burma", rejea kumbukumbu zako ukumbuke umelitoa wapi.

Nnakuhakikishia hicho kimetoka kwa Allama Mohamed Said.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Devor,
Ikiwa unataka kushangaa zaidi sikiliza historia hii ya TANU kuasisiwa Tosamaganga:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…