Msome vizuri tena.
Hakuna mahali ametoa hitimisho au majibu ya mwisho.
Yeye kama katibu anao wajibu wa kuwajulisha wahusika kuwa amepokea barua yao, na kisha kutoa maoni yake au kukumbusha taratibu, kanuni, sheria na katiba vinasema nini na nani wa kutolea mahamuzi ya madai ya kwenye barua.
Hapana; tr14/07 barua ilikuwa haijasainiwa lakini aliisoma ,akawarudiashia waisaini iwe official ,ndipo 15/07 ikawasilishwa rasmi.Msekwa kashinikizwa kujibu mapigo nini? Barua imeandikwa tarehe 15/7 yeye kaipokea tarehe 14/7 kivipi?
Mafao babaMsekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Hakutakiwa ajibu kazi yake ilikuwa kuipokea kwa dispatch kugonga mhuri was received na kuwasiliana na mwenyekiti kuitisha kikao Cha Baraza kuiwakilisha .Baraza litakacjosema ndio yeye Aseme .Eti maelezo ya awali !!!! Yeye Sio msemaji wa Baraza .Msemaji mkuu wa Baraza ni.mwenyekiti Sio yeye.Jambo halijafika kwa mwenyekiti yet analijibi Kama Nani?Mzee msekwa kiboko, jamaa wametumia mihemuko, imekula kwao, sasa ndio wanaenda kuzikwa kabisa...
Huyu Mzee kachemka Tena mno hakutakiwa kusema chochote haelewi hata kazi Yake Kama katibu wa Baraza Ni ipi anajiona Kama mtendaji mkui wa Baraza!!!!!! Msemaji wa Baraza Ni mwenyekiti Sio yeye.!!!Msekwa anatoa majibu ya awali kama nani?? Hapo ni kama keshavunja katiba, je kikao kikaja kuamua vingine itakuwaje?
Katibu anajibuje barua bila Baraza kukaaa? Kazi ya katibu ni kuandika minutes za kikao Cha Baraza na kuandika kilichosemwa na Baraza anajibuje yeye kama yeye? Msemaji wa Baraza Ni mwenyekiti Sio katibu .Msekwa kakiuka taratibu za Baraza hakutakiwa kujibu yeye Kama yeye bila kushirikisha Baraza. Naona kajisahau anajiona Kama mtendaji mkuu wa Baraza!!!!! Kachemka Tena sana
Aipeleke kwenye Baraza Ndie karani waookay, kwa hiyo barua kaandikiwa yeye kwa nini?
dispatch ndio anagonga muhuri wa received, sio Katibu.Hakutakiwa ajibu kazi yake ilikuwa kuipokea kwa dispatch kugonga mhuri was received na kuwasiliana na mwenyekiti
Machadema yamebanwa m.a.v.i.
Ofisi ya katibu ndio kazi Yake ndio ina masjala na mihuri ya received ya kugonga kwenye barua .Yeye ofisi Yake ni kupokea barua na kuzipeleka kunakohusika.Akishapata majibu ya kunakohusika ndipo anayatoa kwa mhusika Kama ataagizwa hivyo na mwenyekiti hivyo kuwa toa majibu haya .Lakini Sio kujiinukia tu na kujitia kujibudispatch ndio anagonga muhuri wa received, sio Katibu.
Tulizana weweAMIRI JESHI MKUU ANAYEJAMBISHWA NA PRESS CONFERENCE [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nini barua iandikwe kwa karani ?Aipeleke kwenye Baraza Ndie karani wao
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Hujaelewa kitu taratibu za ofisi Kuna mtu unaye m address Lakini Sio yeye anayetakiwa kushughulika .Ukiangalia hata alichojibu unaona anajikanyaga anaita majibu ya awali yakisubiri majibu ya Baraza !!!!!! Hicho Ni Kituko alikuwa na haraka ya Nini ya kujibu SI angesema tu barua imepokelewa majibu mtapewa baada ya Baraza kukaaa full stop.Hizo mbio za kutoa majibu ya awali yakisubiri majibu kamili ni kituko gani hicho? Unaona kabisa ana Tatizo Tena kubwa .Yeye alitakiwa tu kusema barua imepikelewa majibu mtapewa baada ya Baraza kukaaa.Full stopKwa nini barua iandikwe kwa karani ?
Mchakato wa ndani ya taasisi wa karani na bosi wanavyopasiana barua wewe inakuhusu nini?
Wewe unataka barua yako isomwe na baba mwenye nyumba, umeenda kwake ili umuachie shamba boy wake amfikishie. Mule ndani ya barua utaandika "Wasalaam Bwana Shamba Boy, nina issue hii na lile na hii"?
Masijala na mihuri ya received wewe inakuhusu nini?Ofisi ya katibu ndio kazi Yake ndio ina masjala na mihuri ya received ya kugonga kwenye barua .
Hujaelewa kitu taratibu za ofisi Kuna mtu unaye m address Lakini Sio yeye anayetakiwa kushughulika .