Barua ya Mdude kwa umma baada ya kupata taarifa anawindwa kuchomolewa uhai

Barua ya Mdude kwa umma baada ya kupata taarifa anawindwa kuchomolewa uhai

HUYU MAKU ANA IMPACT GANI KWENYE NCHI ??? ANAONGEA YEYE KAMA NANI ?? ALAFU TANZANIA TUNA WATU WAJINGA WAJINGA WENGI SANA AMBAO WANAZINGATIWA NA JAMII SIJUI KWA LIPI LA MAANA !

HUYU MDUDE SIJAWAI KUMUELEWA HATA SIKU MOJA YAN KUNA MUHUNI HUKO ANAMTISHA ETI ANATAKA KUULIWA KWA LIPI ALILOKUWA NALO

AKITOKEA MTU AKAMPIGA HATA KOFI AKIZIMA ITAONEKANA MAMA SAMIA NDIO KAMTUMA ASKARI AMCHAPE KOFI AFE NA BADO WABONGO WATAAMINI KWA KUWA KUWA WAMEZOEA KUAMINI KILA WANACHOKIONA NDIO MAANA KIBOKO YA WACHAWI KAJA NA KIBEGI KAONDOKA NA DOLA ZA KUTOSHA KWA AKILI NDOGO ZA WATANZANIA.

Binafsi ccm siwakubali kwa namna wanavyotupeleka ila hawa chadema ndio siwaelewi kabisa kama hawana cha kufanya ni bendera fuata upepo tu. Wakurupukaji wanaenda na upepo na matukio yao mengi yanakuwa na double standard kiufupi chadema ni jana janja hawajui washike lipi
Kama ana impact mbona amekuwa anatekwa na kubambikiwa kesi za uongo.

Think big, TUMIA AKILI ZAKO ZA KUVUKIA BARABARA kidogo utaelewa
 
pitiliza!
tumevuka milima na mabonde utatwambia nini sasa? tumetoa kafara kumbwa na kwa sasa si ya mbuzi na ng'ombe tena bali damu ya mtu! na ikiwezekana damu ya watoto wadogo ambao kabla ya kuwaua tunataka mazabahu ya kafara kwa kuwalawiti! kisha tunawaua kwa ajili ya mali na madaraka!
Hii hatari kubwa mbele yetu, tujitathmini na kuchukua hatua.
 
Nani alikuwa anamjua mzee Ally kibao, Sativa, lakini ona walipoishia kwa hiyo tusidharau tuhuma aiseee.
 
HUYU MAKU ANA IMPACT GANI KWENYE NCHI ??? ANAONGEA YEYE KAMA NANI ?? ALAFU TANZANIA TUNA WATU WAJINGA WAJINGA WENGI SANA AMBAO WANAZINGATIWA NA JAMII SIJUI KWA LIPI LA MAANA !

HUYU MDUDE SIJAWAI KUMUELEWA HATA SIKU MOJA YAN KUNA MUHUNI HUKO ANAMTISHA ETI ANATAKA KUULIWA KWA LIPI ALILOKUWA NALO

AKITOKEA MTU AKAMPIGA HATA KOFI AKIZIMA ITAONEKANA MAMA SAMIA NDIO KAMTUMA ASKARI AMCHAPE KOFI AFE NA BADO WABONGO WATAAMINI KWA KUWA KUWA WAMEZOEA KUAMINI KILA WANACHOKIONA NDIO MAANA KIBOKO YA WACHAWI KAJA NA KIBEGI KAONDOKA NA DOLA ZA KUTOSHA KWA AKILI NDOGO ZA WATANZANIA.

Binafsi ccm siwakubali kwa namna wanavyotupeleka ila hawa chadema ndio siwaelewi kabisa kama hawana cha kufanya ni bendera fuata upepo tu. Wakurupukaji wanaenda na upepo na matukio yao mengi yanakuwa na double standard kiufupi chadema ni jana janja hawajui washike lipi
Acheni uuaji
 
Hii hatari kubwa mbele yetu, tujitathmini na kuchukua hatua.
wamejipanga na tumepanguliwa!
vijana ambao ni nguvu kubwa ya taifa wamehakikisha wameitawala kwa kiasi kikubwa na huwenda tulishilikishwa kuhakikisha vijana hasa wa kiume hawawezi kujisimamia.
wamewaelekeza kwenye starehe zaidi na kupata fedha kwa njia za kubahatisha huku wao kwa njia moja au nyingine wakijinufaisha kwa bidhaa wanazotumia vijana.
kuna vijana wenye taaluma kubwa ambazo zingeweza kuinufaisha jamii kama uwalimu wametumika kwenye shughuli zisizo halali na jamii tukafurahia.
kundi kubwa la vijana limewekwa nifikirie leo lakini wao wanawajenga vijana wao washike mema ya nchi ikiwemo raslimali za nchi na utawala wakati wa kwetu waliobahatika watakuwa chawa wa kuwaitikia ndio mzee.
nafsi zetu zinaelewa haya na tunaona kabisa tunakokwenda sio kuzuri lakini tumeshindwa kujenga daraja la mapunguvu haya hata kwa kuongea ukweli.
naogopa maisha ya uzeeni kwakuwa tutaulizwa maswali mengi yanayoweza kutupa kihoro kwakuwa majibu yetu yatakuwa machache kuliko maswali tutakayoulizwa, kinyume kabisa na matarajio na nafsi zetu zitatusuta huku tunabaki na majuto ni mjukuu tukijilaumu bila kukoma na ningejua nyingi.
hivyo wakati ni sasa ni si mwingine na inawezekana kwa kuanzia level ya familia kwa kuwaeleza vijana wetu vile tuvionavyo vya msingi kwao ili waweze japo kusimama dede huwenda kesho wakatembea na kulipigania taifa katika haki na kweli iliyotushinda sisi. vinginevyo tuwaaminishe kuwa simba ni mkali aliuwa baba akauwa mama na wao wakimbie.
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
.
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Katekwa kaanza kulia pamoja na barua yake.
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
.
 
Back
Top Bottom