Barua ya Mdude kwa umma baada ya kupata taarifa anawindwa kuchomolewa uhai

Barua ya Mdude kwa umma baada ya kupata taarifa anawindwa kuchomolewa uhai

Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Duh,dogo anajiamini!!!
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Watanzania tumezoea kupuuza taarifa kama hizi.
Matukio yanaendelea kuongezeka.

Mdude_Nyagali Mungu akulinde sana ndugu yangu. Hakuna kulala hakuna kuzimia labda watuue wote. Lakini watazaliwa walio bora kuliko sisi na watakomesha hizi mbanga za Samia na CCM yake
 
This time they won't spare you

USSR
 
This time they won't spare you

USSR
 
Pole sana mdude.hii taarifa siyo ya kupuuza hata kidogo.watu wanatekwa Kila siku.Namshauri mdude aipeleke hiyo barua Nchi wanachama wa umoja wa ulaya ili ashughulikiwe kisawasawa huyu anayefadhiri haya makundi ya kuteka watu
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Ameen
 
tena tume
Mhhhhhh! tumefikia huku Tz.
pitiliza!
tumevuka milima na mabonde utatwambia nini sasa? tumetoa kafara kumbwa na kwa sasa si ya mbuzi na ng'ombe tena bali damu ya mtu! na ikiwezekana damu ya watoto wadogo ambao kabla ya kuwaua tunataka mazabahu ya kafara kwa kuwalawiti! kisha tunawaua kwa ajili ya mali na madaraka!
 
lak
Maisha ya wasiwasi ni magumu sana, angalia swala anapoishi kwa wasiwasi, wakati wote anaweza kuliwa. Naomba utawala utakaoondoa huu wasiwasi wa maisha.
hawawezi kuwafukuza simba wasiishi nao wala chui, lakini katika mazingira hayohayo huweza kukua kuzaa na kuongezeka kwa kuwa MWENYEZI MUNGU huwalinda nasi pia MUNGU tunayemtegemea atatulinda na wao ipo siku wataondoka ila vizazi vyao vitalipa Damu, Nafsi na Roho za watu zilizoteseka.
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Kwa niwajuavyo polisi,hapa watapata kesi nyingi tu za uhakika,ikiwemo kusambaza habari za uwongo,kumzushia mkuu wa nchi uwongo,walikamate hili pera liozee ndani
 
Chanzo > Account yake ya mtandao wa X / Twitter
.........................................................................................


Kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Watanzania na jumuiya za kimataifa,

YAH; VITISHO VYA KUTEKWA, KUUAWA NA KUPOTEZWA.

Utambulisho.
Mimi mtajwa hapo juu ni Mwanaharakati wa Kutetea Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi sasa, Katika kazi hiyo ya kutetea Haki nimekumbana na matatizo makubwa ikiwemo kutekwa mara kadhaa na vyombo vya dola, kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uongo yakiwemo kusafirisha dawa za kulevya na uhaini kuanzia 2016 mpaka 2023.

Kusudi.
Kwamba mnamo tarehe 18 Septemba 2024 siku ya Jumatano muda wa saa 05:57 jioni, nilipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema kuhusu uhai wangu. Msamaria huyo alinijulisha kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza nitekwe na kupotezwa kabisa katika dunia. Nimeshindwa kupuuza taarifa hizi kwasababu ya matukio mengi ya watu kutekwa na kupotezwa akiwemo mjumbe wa sekretarieti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ambaye alitekwa na watu wenye silaha na pingu akiwa ndani ya basi la abiria kisha baadaye mwili wake ukaokotwa Ununio Dar es Salaam ukiwa umeharibiwa na kumwagiwa tindikali. Lakini pia nimesita kupuuza taarifa hizo kutokana na uhusiano wangu na utawala wa Rais Samia hasa pale serikali yake iliponikamata na kunishikilia kinyume na sheria kwa siku saba mimi na wenzangu kwa tuhuma za uongo za uhaini mwezi August 2023.

Hivyo basi kupitia barua hii nawajulisha ndugu, jamaa, marafiki, watanzania na jumuiya za kimataifa kwamba; lolote baya litakalonipata Rais Samia Suluhu Hassan ndiye atakuwa mtuhumiwa wa kwanza na atawajibika yeye kizazi na kizazi mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi,

View attachment 3100415
Barua hii tu inaweza kumtia matatani. Hivi huyu jamaa aliwahi kula cha Arusha, Mwakaleli au Njombe?
 
HUYU MAKU ANA IMPACT GANI KWENYE NCHI ??? ANAONGEA YEYE KAMA NANI ?? ALAFU TANZANIA TUNA WATU WAJINGA WAJINGA WENGI SANA AMBAO WANAZINGATIWA NA JAMII SIJUI KWA LIPI LA MAANA !

HUYU MDUDE SIJAWAI KUMUELEWA HATA SIKU MOJA YAN KUNA MUHUNI HUKO ANAMTISHA ETI ANATAKA KUULIWA KWA LIPI ALILOKUWA NALO

AKITOKEA MTU AKAMPIGA HATA KOFI AKIZIMA ITAONEKANA MAMA SAMIA NDIO KAMTUMA ASKARI AMCHAPE KOFI AFE NA BADO WABONGO WATAAMINI KWA KUWA KUWA WAMEZOEA KUAMINI KILA WANACHOKIONA NDIO MAANA KIBOKO YA WACHAWI KAJA NA KIBEGI KAONDOKA NA DOLA ZA KUTOSHA KWA AKILI NDOGO ZA WATANZANIA.

Binafsi ccm siwakubali kwa namna wanavyotupeleka ila hawa chadema ndio siwaelewi kabisa kama hawana cha kufanya ni bendera fuata upepo tu. Wakurupukaji wanaenda na upepo na matukio yao mengi yanakuwa na double standard kiufupi chadema ni jana janja hawajui washike lipi
 
Kwani huyu mdude ndio nani jmn na ana athari gani kwa taifa hili mpk ifikie hivi?nchi ya watu wa ovyo kbs yaani hawa jamaa wana ajenda zao za nyuma ya pazia na wakoloni
 
Back
Top Bottom