Barua ya mwaliko ili kupata passport

Barua ya mwaliko ili kupata passport

Passport unapewa tu legeza mkono huo,kwenye VISA,ndo utaulizwa barua unakoenda
 
Kimeumana.

Unataka uende ulaya mikutano ya Chadema unataka umuachie nani?
 
Swali lilikuwa unamtu unakoenda kufikia nikasema ndio, mjamaa akasema basi tuletee barua ya mwaliko na picha ya passport yake ili tuambatanishe
Imekuwa visa? Uhamiaji wana mambo ya ajabu sana. Ukiritimba tu ili wakuchomoe.
 
Barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa wako

Cheti cha Kuzaliwa Mwombaji

Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa Mzazi wa Mwombaji

Kitambulisho cha Taifa

Picha ya Mwombaji ya hivi karibuni yenye kivuli cha rangi ya buluu isiyokoza (Light blue Background)

Ada 150000.

Ushahidi wa Safari- hii ndio iliyomfanya aombwe mwaliko au kama ni safari ya masomo admission letter
Hii nchi ngumu sana. Una kitambulisho cha taifa ambacho ulikipata kwa kutumia cheti cha kuzaliwa etc lakini ukiomba passport bado wanahitaji cheti sijui cha mzazi. Halafu inapo expire unatakiwa tena kupeleka hayo madocument. Shida sqna.
 
Hii nchi ngumu sana. Una kitambulisho cha taifa ambacho ulikipata kwa kutumia cheti cha kuzaliwa etc lakini ukiomba passport bado wanahitaji cheti sijui cha mzazi. Halafu inapo expire unatakiwa tena kupeleka hayo madocument. Shida sqna.
Huwa nashindwa kuelewa kabisa kitambulisho Cha taifa(NIDA) kina umuhimu gani hasa kama unaweza kuwa nacho, lakin ukienda kuomba passport Bado wanahitaji taarifa zako zile zile ambazo walikuomba wakati unafuatilia kitambulisho Cha taifa.
 
Ivi pasipoti inakuwa na Jina la Nchi unayotaka kwenda na je kama nataka pasipoti tu niwe nayo kabla sijafikilia nchi ya kwenda inakuwaje??
Hapana haiwi na jina la nchi yeyote vinginevyo hiyo ni hati ya safari ya dharura (emergency travel document). Kama wadau wengi walivyokushauri ni kwamba ulitakiwa kuuliza kwa wazoefu ili ujue jinsi ya kujibu maswali yao.


Mfano mimi wakati naomba ya kwangu niliwaambia naenda China kununua mzigo wakaomba nilete copy ya TIN na copy ya leseni basi nilipopeleka sikuchukua hata siku 20 ikawa tayari nikapewa.

Juzi nilikuwa naongea na dada yangu mmoja raia wa Nigeria nilimuuliza kwao utaratibu ukoje. Alichoniambia ni kwamba kwanza unajaza na kutuma maombi yako online (hakuna kuonana na mtu wala ofisini kwao huna haja ya kwenda) na unalipa fee kama ni fast track yaani kama una haraka ndani ya wiki fee ni kama Euro 20 takribani 56,000/ za kitanzania na kama utasubiri ndani ya wiki 3 unalipa fee Euro 10 tu ambazo ni kama Tsh 28,000/ basi sms inakuja kuwa passport yako iko tayari. Wala hayo maswali ya kama umealikwa leta barua ya mwaliko au kama unaenda masomoni leta admission letter hiyo kitu hakuna.
 
Hii nchi ngumu sana. Una kitambulisho cha taifa ambacho ulikipata kwa kutumia cheti cha kuzaliwa etc lakini ukiomba passport bado wanahitaji cheti sijui cha mzazi. Halafu inapo expire unatakiwa tena kupeleka hayo madocument. Shida sqna.
Mifumo haisomani
Hayo yote ni kuongeza mlolongo na kuwachosha raia
 
Kwanini lakini Inakuwa hivyo??

Mbona Rwanda hapo hawana mashariti ya kijinga kiasi gani?? Ni lini hili taifa litaanza kwenda sawa na ulimwengu?

Ulaya pacha umekuwa shida, haya hata passport nayo kupata mnaweka mashariti magumu na ya kipuuzi hivi? Daah
Mimi nilikamilisha mahitaji yao ya kuomba pass, ilikuwa mwezi 8 wakaniambia watanipigia nitulie tu😀😀 Hadi leo na Mimi sawasubiri tu
 
Mimi nilikamilisha mahitaji yao ya kuomba pass, ilikuwa mwezi 8 wakaniambia watanipigia nitulie tu😀😀 Hadi leo na Mimi sawasubiri tu
Vitabu vilikuwa havipo Ila sasa vimepatikana. Nenda kacheki
 
Siku nyingine nenda waambie unaenda Zambia kwa Mganga
Wanakupa bila shida

Nyie mnasemaga manchi makubwa makubwa 😂😂
 
Siku nyingine nenda waambie unaenda Zambia kwa Mganga
Wanakupa bila shida

Nyie mnasemaga manchi makubwa makubwa 😂😂
Ukisema hivyo si wanaweza wakakupa ile muda mfupi tu inayotumika kusafiri nchi jirani tu basi?
 
Mimi nilikamilisha mahitaji yao ya kuomba pass, ilikuwa mwezi 8 wakaniambia watanipigia nitulie tu😀😀 Hadi leo na Mimi sawasubiri tu
Yaani. Ukiritimba tu. Mimi huwa napata kwa siku 2 au ikizidi siku 5.
 
Inategemea Kwenye Fomu Umeandika Unajishughulisha Na Nini Na Unapoenda Unaenda Kufanya Nn? Badala Ya Barua Ya Mwaliko Unaweza Mtafuta Mtu Mwenye Passport Akudhamini Maana Yake Aandike Barua Ya Kukudhamini Na Copy Ya Passport Yake Then Ambatanisha Na Documents Zako Wakikupa Sababu Na Hapo Wana Lao
 
Back
Top Bottom