Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Sasa ndio umenipa elimu jinsi inavyopaswa Asante mkuu..Mtoto wa mtazania aliyezaliwa kwenye nchi inayotoa uraia wa kuzaliwa mara mmoja (bila kujali asili ya wazazi, mfano Marekani), mtoto anakuwa na uraia pacha, mpaka atakapofikisha miaka 18. Baada ya hapo, atachagua uraia mmoja.
Sawa tu kama wananipa passport kubwa... Heri kufua nchi kama sudani kuliko kufia hapa tunapodanganyana eti Kuna Maziwa na asaliIla kama unaenda South Sudan, fast unapewa uende ukafe huko
Passaport ni haki ya kila mtanzania rudi tena huko huko bila ya hiyo barua!Siku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.
Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.
Kuna jamaa mmoja msomali hata sio mzaliwa wa hapa, amezaliwa Mombasa huko Kenya na mpaka kuishi anaishi huko huko Mombasa, ila ana kitambulisho Cha NIDA na kinaonesha amezaliwa ILALA🥺🤨...Sawa na kitambulisho cha NIDA
wageni wanapata kiurahisi ila watz sasa
Ujinga umeandika.Passport ni hati ya kusafiria...
Kama huna sababu ya safari tarajia kukutana na mkwamo kwenye kuipata...
Sababu ni kupunguza gharama za uchapaji, kuzuia passport kutumiwa na maharamia n.k...
Ujinga umeandika.
Kusafiri ni hitaji la misingi kwa binadamu.
wewe mwandikie anayekualika akutumie barua,hiyo kopi ya passport ya mtu aliyekualika haina haja ni usumbufuntu wa hao watu wa uhamiajiSiku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.
Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.
Na wewe acha kuharibu kazi za watuNi check mimi pm tuyajenge. Wewe utakaa home tu mpaka siku ya kuja kuweka finger print. Muhimu sana NIDA au Namba yako ya NIDA. Hizo docs nyingine zinapatikana steshenary na pale pale uhamiaji
Mimi kuwa na barua ya mwaliko wa safari haiwezi kunizuia kuwa muhamiaji haramu huko niendako kama lengo langu ndio Hilo, kwani baada ya Mimi kuondoka hapa nchini watakuwa Wana ni monitor huko nilipo au?Sababu zipo nyingi mkuu, lakini hiyo ni mojawapo kuondoa hofu ya uhamiaji haramu. Kuna sababu nyingine kama kuthibitisha safari yako kama ni ishu ya kutembelea familia, charity nk, lakini pia kuthibitisha muda wa kukaa, kuonyesha uhusiano wako na mwenyeji wako kama ni shirika, mtu binafsi nk, kwa kifupi hayo ndio baadhi ninayayafahamu mimi.
Kwa hiyo asipomuandikia hiyo barua basi ndio imekula kwake hapati hiyo passport???wewe mwandikie anayekualika akutumie barua,hiyo kopi ya passport ya mtu aliyekualika haina haja ni usumbufuntu wa hao watu wa uhamiaji
Inauma kweli yaani...Ndio itakuwa hivyo manaake mpaka sasa sielewi nipo tu na document
Kwa ufahamu mfupi nilionao Visa ni kama entry permission ya kuingia nchi Fulani wakati Passport ni kama utambulisho tu kuonesha unatoka wapi...
Passport si haki ya kila mtanzania??
Kwann kuna vikwazo??