Barua ya mwaliko ili kupata passport

Barua ya mwaliko ili kupata passport

That bullshit [hiyo sababu ya safari].

Hakuna kabisa mantiki ya kunyima watu hiyo hati kama hawana safari.

Kuna ubaya gani mtu kuwa nayo halafu awe nayo tayari endapo atapata safari?

Wakati mwingine hitaji la kusafiri hujitokeza kwa muda mfupi tu kutokana na sababu mbalimbali.

Sasa kama mtu tayari anayo pasipoti, anakuwa keshapunguza usumbufu wa kuitafuta.

Kwa nchi zingine wala huhitaji kuwa na safari ndo upewe.

Ukiomba tu unapewa. Madhali umetimiza vigezo vinavyohitajika.

Kuhusu pasipoti kutumiwa kimakosa, hiyo haina mashiko kabisa.
Mimi mwenyewe nimeshangaa ana eti kupata passport lazima uwe na safari ambayo nayo inahitaji vithibitisho Kibao.... upumbavuu mtupu.

Na wakati Kuna viinchi kama Rwanda hapo kagame alishawaambia Kila raia inabidi awe na passport haijalishi kama ana mpango wa kusafiri au laah...

Anyway hili taifa la Wala vumbi ni la kipuuzi sana.
 
Je ninaweza kusema kuwa nataka pasipoti ili nipate scholarship kwa maana kuna Scholarship lazima uwe na pasipoti kwanza
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa ana eti kupata passport lazima uwe na safari ambayo nayo inahitaji vithibitisho Kibao.... upumbavuu mtupu.

Na wakati Kuna viinchi kama Rwanda hapo kagame alishawaambia Kila raia inabidi awe na passport haijalishi kama ana mpango wa kusafiri au laah...

Anyway hili taifa la Wala vumbi ni la kipuuzi sana.
Tanzania inaongozwa na wapumbavu.

Mara nyingi tu mimi nimesafiri kimataifa kutokana na hitaji kujitokeza ghafla.

Na hilo liliwezekana kwa sababu ya kuwa na pasipoti.

Sasa kwa mtu ambaye hana pasipoti na anahitaji kusafiri ndani ya wiki moja, anafanyaje?

Kuna fast tracking process?
 
Mkuu, una uelewa gani kuhusu mambo ya uraia na uhamiaji?

To answer your qn, watoto wadogo lazima wawe accompanied na wazazi kuomba passport na hata kusafiri. Ni mzazi ndo anayeomba kusafiri na wanae. Not the other way round.

Off topic, Una habari watoto under 18 wanaruhusiwa na wanaweza kuwa na uraia pacha? Utachanganyikiwa zaidi.
Halafu huo raia pacha atakuwa nao kwa muda gani au hauna kikomo chochote?

Na kwanini iwe kwa watu ambao ni U-18 tu na si watu wazima?
 
Logically ni kitu ki moja. Mfano unapojibu nimealikwa na mtu then toa mwaliko, kama utajibu unaenda masomoni utaombwa admission letter. Ilinitokea nlikuwa naenda exchange then waliomba ile barua ya kunialika kwenda kubadilishana uzoefu
Barua ya mualiko inakuwaje hio
 
Unamshauri aidanganye mamlaka ya Serikali ?
Wqpi nimemwambia adanganye? Huelewi unachokisoma?

Mbona wao wanamdanganya mpaka apeleke barua ya mwaliko?

Lakini kwa JF ya siku hizi, inaweza kuwa mleta mada kajitungia tu.
 
Siku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.

Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.
Baada ya kusoma comments na kutafakari, nahisi kama unatupiga kamba tu.

Sababu uliyoileta haiingii akilini.
 
Tanzania inaongozwa na wapumbavu.

Mara nyingi tu mimi nimesafiri kimataifa kutokana na hitaji kujitokeza ghafla.

Na hilo liliwezekana kwa sababu ya kuwa na pasipoti.

Sasa kwa mtu ambaye hana pasipoti na anahitaji kusafiri ndani ya wiki moja, anafanyaje?

Kuna fast tracking process?
Unajua Kuna maudhi ambayo Mimi binafsi niliamini hayatakuwepo kwenye awamu ya huyu bibi, Moja wapo ni hili long bureaucracies kwenye suala la kupata passport

Niliamini kwa vile yeye ni mtu wa kusafiri safiri sana basi atakuwa anajua umuhimu wa watu kumiliki passports sababu ya dharura.....!!! Lakini kumbe ni wale wale tu

Utaratibu wa kupata passport umeendelea kuwa ule ule tu wa kipumbavvu....!!

Hivi mfano leo ikitokea mtu amepata tatizo la ghafla ambalo linakulazimu ukafanyiwe operation India ndani ya saa 72 wakati huo passport huna, wanaweza kweli kuprocess passport yako hili usafiri ndani ya huo muda?
 
Halafu huo raia pacha atakuwa nao kwa muda gani au hauna kikomo chochote?

Na kwanini iwe kwa watu ambao ni U-18 tu na si watu wazima?

Aisee una safari ndefu. Jielimishe kuhusu uraia na uhamiaji maana mambo unayoshangaa yapo miaka yote hayajaanza jana wala juzi.
 
Aisee una safari ndefu. Jielimishe kuhusu uraia na uhamiaji maana mambo unayoshangaa yapo miaka yote hayajaanza jana wala juzi.
Wewe nielimisha hapa hapa japo kwa kifupi tu...

Mimi nimekuwa nikifahamu nchi hii hairuhusu uraia pacha, ila wewe umeni surprise kwamba mtoto wa miaka 18 anaruhusiwa kuwa na urai pacha, Sasa ndio nataka unifahamishe zaidi kuhusiana na Hilo...
 
Ni typing error hiyo we naye..(uraia pacha)

Ningewapanga vipi???

Haya Sasa mwakani nataka niende Morocco kwenye michuano ya AFCON na Sina mwenyeji huko ila account yangu Ina $20,000 ambayo naamini inawezesha kuishi huko mwezi mzima mpaka michuano inaisha.... Je, Bado pia nahitaji baraua ya mwaliko???

Hii nchi yenu ya mafisadi na wapenda rushwa Ina maudhi sana.
Huko wala hutasumbuliwa
 
Siku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.

Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.
Kaza kwamba unaenda kutembea kama mtalii, kama bank.una uchache weka bank slip kuonesha kwamba unaweza kujigharamia, komaa hapo hakuna kutoa rushwa
 
Barua ya mwaliko haipo katika document zinazohitajika. Au kauona mlugaluga sana?
huyu jamaa hajawahi kusafiri nje ya nchi hizo mambo za barua ya mwaliko na copy ya passpot ya unaye enda kumtembelea huko nje ya nchi hii ni kwa maombi ya VISA ila mtoa mada kaandika passport badala ya Visa waliomuelewa watamsaidia
 
Mimi ninakuelewa sana tu na nina mawazo kama ya kwako kwa sababu nyakati nilizohitaji hati ilibidi nitumie "connection", hapa nimeweka tu sababu tajwa na mamlaka husika...

That is bullshit [hiyo sababu ya safari].

Hakuna kabisa mantiki ya kunyima watu hiyo hati kama hawana safari.

Kuna ubaya gani mtu kuwa nayo halafu awe nayo tayari endapo atapata safari?

Wakati mwingine hitaji la kusafiri hujitokeza kwa muda mfupi tu kutokana na sababu mbalimbali.

Sasa kama mtu tayari anayo pasipoti, anakuwa keshapunguza usumbufu wa kuitafuta.

Kwa nchi zingine wala huhitaji kuwa na safari ndo upewe.

Ukiomba tu unapewa. Madhali umetimiza vigezo vinavyohitajika.

Kuhusu pasipoti kutumiwa kimakosa, hiyo haina mashiko kabisa.
 
Hivyo viambatanisho ulitakiwa uombwe ubalozini ukienda kuomba viza sasa inakuwaje wakuombe uhamiaji!
 
Back
Top Bottom