Kwakweli inatia hasira sanaHivyo viambatanisho ulitakiwa uombwe ubalozini ukienda kuomba viza sasa inakuwaje wakuombe uhamiaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli inatia hasira sanaHivyo viambatanisho ulitakiwa uombwe ubalozini ukienda kuomba viza sasa inakuwaje wakuombe uhamiaji!
Sawa na kitambulisho cha NIDAHii sio sababu ya msingi hata kidogo, kwa hiyo mtu akiwa na Nia ovu ndio atashindwa kuleta hiyo mibarua yao ya mialiko au?
Halafu mbona lipassport letu raia wa kigeni wanalitumia sana tu huko nje?
Kuna wanyarwanda Kibao tu na wakenya wanatumia passport yetu huko nje, na Tena ukiskiliza story zao wanakwambia Wala hata hawakutumia nguvu nyingi kupata hiyo passport...
Hapa Tanzania mtu anayetumia nguvu nyingi hadi anajikatia tamaa kwenye kutafuta passport ni mtanzania wa asili wa kuzaliwa hapa hapa...
Kuna mahindi Kibao tu na mapakistan ambayo hata kiswahili hayakijui ila yakitaka passport ni siku mbili tu yanaipata.
Tunavyosema kwamba nchi hii imeoza na Ina maudhi Kibao tuna sababu za msingi
Huku unaweza kuonana na wajomba, shangazi n.k wakakusaidia ata viazi vya kuchemsha.Vipi na sisi ambao tunateseka tukiwa hapa hapa kwenye hii nchi yenu ya Maziwa na asali, mbona hatuoni huo msaada wao???
Roho zinawauma wakiona mtu anataka kutoka wanajua ataenda kutusua wakati wao wanataka watu wateseke hapa hapa BongoKwakweli inatia hasira sana
Hili linaukweli kwa 100% yaani pure facts.Roho zinawauma wakiona mtu anataka kutoka wanajua ataenda kutusua wakati wao wanataka watu wateseke hapa hapa Bongo
Upo sahihi kabisa.Hili linaukweli kwa 100% yaani pure facts.
Kikawaida mtanzania ni mtu mwenye roho mbaya sana na si mkarimu kama ambavyo huwa tunajinasibu.... Na mbaya sana hiyo roho mbaya mara nyingi huwa tunaionesha kwa watanzania wenzetu, ila kwa mgeni huwa ni full kujipendekeza.
Umeongea ukweli kabisa, mtanzania huwa anafurahi sana kuona mtanzania mwenzake anaishi kwa taabu wakati huo yeye ana auheni ya maisha.
Wale maafisa uhamiaji huwa wanafurahi sana kuona umekwama kuondoka hapa nchini, maana wanaamini kinachokukimbiza huku ni Hali ngumu ya kimaisha na ukifanikisha kuondoka pengine utaenda kuishi vizuri huko uendako kuliko wao wanavyoisha hapa nchini, hivyo kuondoka kwako roho lazima ziwaume hasa kama destination yako ni first world country.
Boss, ni ishu ya passport baada ya kulipia 20k inayohitajika ilikupakua form online baada ya kumaliza kujaza taarifa nikaenda ofisini ndio nimekutana na hiyo ishu ikabidi niwe mpole nikarudi na makablasha yanguhuyu jamaa hajawahi kusafiri nje ya nchi hizo mambo za barua ya mwaliko na copy ya passpot ya unaye enda kumtembelea huko nje ya nchi hii ni kwa maombi ya VISA ila mtoa mada kaandika passport badala ya Visa waliomuelewa watamsaidia
Sababu zipo nyingi mkuu, lakini hiyo ni mojawapo kuondoa hofu ya uhamiaji haramu. Kuna sababu nyingine kama kuthibitisha safari yako kama ni ishu ya kutembelea familia, charity nk, lakini pia kuthibitisha muda wa kukaa, kuonyesha uhusiano wako na mwenyeji wako kama ni shirika, mtu binafsi nk, kwa kifupi hayo ndio baadhi ninayayafahamu mimi.Kwamba hii ndio sababu kubwa ya wao kuweka hicho kigezo cha ovyo???
Kwamba nikialikwa na mtu ndio siwezi kuzamia huko baada ya muda wangu wa kustay kuwa umeisha au?
Mbona sababu ni nyepesi na ya kipuuzi sana?
NakaziaMkuu hiyo ni lugha ya kukufungua macho upate akili ya kujiongeza , hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😂
Naomba ni pm connection ya kishoka Kama unayoTatizo lako uliwaambia unaenda yuropu au amerika
Ungewaambia unaenda Malawi hapo kwenda kuloga walaaa wasingekuomba mwaliko au sababu ya safari.
Sasa katafute mwaliko.
Mkiambiwa muwe mnapitia kwa vishoka muwe waelewa kwani utaepuka kadhia kubwa kubwa kama hizi
Mkuu njia yako autafanikiwa kabla ya kusema kishoka una madocomee mkononi yoteNaomba ni pm connection ya kishoka Kama unayo
Sasa siuwaambie naenda afcon mambo yasiwe mengi unapewa mbona makampuni kubao yanasafirisha watu kwenda kutizma michuano mbalimbali kimataifaKwa hiyo kama Sina huo ushaidi wa safari siwezi kupata passport?
Na vipi kama nimeamua tu kutoka nchini kwa recreational purposes na Sina ndugu Wala rafiki huko ninakoenda siruhusiwi kusafiri au?
Kwamba wanatupenda sana na Wana hofu huko tunakokwenda kama hatuna mwenyeji tunaweza tukadhurika ndio maana wameweka mashariti ya namna hiyo au??? Yaani kwamba hii serikali inatupenda sana sisi raia wake?????
Haya Mimi mwakani Nina mpango wa kwenda Morocco kwenye michuano ya AFCON kusapoti taifa Stars, na huko Morocco Sina mwanyeji hata mmoja, je na penyewe wataniambia nitafute mwenyeji wa kuninadikia barua kutoka huko Morocco kabla sijaenda na endapo kama nikikosa mwenyeji huyo hawatoniruhusu kuondoka nchini kwenda kuisapoti taifa Stars??
Nchi hii Ina maudhi mengi sana..
Waambie unaenda msibani. Mimi ilikuwa 2022 hakukuwa na hizo mambo za barua, labda mambo yamebadilika. Je kama wewe huna passport lakini unapata mgeni kutoka huko nje, so atazuiliwa huko atokako kwa sababu wew huna passport? Wanamaanisha mwenyeji naye lazima awe na passport ili kupata mgeni? Invitation letter sawa.Swali lilikuwa unamtu unakoenda kufikia nikasema ndio, mjamaa akasema basi tuletee barua ya mwaliko na picha ya passport yake ili tuambatanishe
Ni check mimi pm tuyajenge. Wewe utakaa home tu mpaka siku ya kuja kuweka finger print. Muhimu sana NIDA au Namba yako ya NIDA. Hizo docs nyingine zinapatikana steshenary na pale pale uhamiajiNaomba ni pm connection ya kishoka Kama unayo
Ila kama unaenda South Sudan, fast unapewa uende ukafe hukoHili linaukweli kwa 100% yaani pure facts.
Kikawaida mtanzania ni mtu mwenye roho mbaya sana na si mkarimu kama ambavyo huwa tunajinasibu.... Na mbaya sana hiyo roho mbaya mara nyingi huwa tunaionesha kwa watanzania wenzetu, ila kwa mgeni huwa ni full kujipendekeza.
Umeongea ukweli kabisa, mtanzania huwa anafurahi sana kuona mtanzania mwenzake anaishi kwa taabu wakati huo yeye ana auheni ya maisha.
Wale maafisa uhamiaji huwa wanafurahi sana kuona umekwama kuondoka hapa nchini, maana wanaamini kinachokukimbiza huku ni Hali ngumu ya kimaisha na ukifanikisha kuondoka pengine utaenda kuishi vizuri huko uendako kuliko wao wanavyoisha hapa nchini, hivyo kuondoka kwako roho lazima ziwaume hasa kama destination yako ni first world country.
Mtoto wa mtanzania aliyezaliwa kwenye nchi inayotoa uraia wa kuzaliwa mara mmoja (bila kujali asili ya wazazi, mfano Marekani), anakuwa na uraia pacha, mpaka atakapofikisha miaka 18. Baada ya hapo, atachagua uraia mmoja anaotaka.Wewe nielimisha hapa hapa japo kwa kifupi tu...
Mimi nimekuwa nikifahamu nchi hii hairuhusu uraia pacha, ila wewe umeni surprise kwamba mtoto wa miaka 18 anaruhusiwa kuwa na urai pacha, Sasa ndio nataka unifahamishe zaidi kuhusiana na Hilo...