Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na passport huwa inaukomo wa muda(Expiration)? Au inakuwaje? Na je, kama inaukomo, kurenew ni lazima?
Ukomunisti/ujamaa umetuharibu sana, legacy yake bado tunaishi nayo.Passport si haki ya kila mtanzania??
Kwann kuna vikwazo??
Inasikitisha sanaTatizo lako uliwaambia unaenda yuropu au amerika
Ungewaambia unaenda Malawi hapo kwenda kuloga walaaa wasingekuomba mwaliko au sababu ya safari.
Sasa katafute mwaliko.
Mkiambiwa muwe mnapitia kwa vishoka muwe waelewa kwani utaepuka kadhia kubwa kubwa kama hizi
Vipi kama mtu anataka kwenda kufanya utalii tu nchi nyingine??Ushahidi wa Safari- hii ndio iliyomfanya aombwe mwaliko au kama ni safari ya masomo admission letter
Passport inanunuliwa, sio bure.Passport ni hati ya kusafiria...
Kama huna sababu ya safari tarajia kukutana na mkwamo kwenye kuipata...
Sababu ni kupunguza gharama za uchapaji, kuzuia passport kutumiwa na maharamia n.k...
Kama naenda kutembea tu au kufanya utalii??Logically ni kitu ki moja. Mfano unapojibu nimealikwa na mtu then toa mwaliko, kama utajibu unaenda masomoni utaombwa admission letter. Ilinitokea nlikuwa naenda exchange then waliomba ile barua ya kunialika kwenda kubadilishana uzoefu
Kama naenda kufanya utalii au kula bata tu??Invitation letter anaandika mwenyeji wako huko unakoenda. Just kuthibitisha kuwa yeye ndiye anakupokea, usije zamia nchi za watu kama mhamiaji haramu😀😀
Akiwaambia anaenda Mecca kufanya hija na kumpiga shetani mawe bado watataka mwaliko??Rudi tena waambie unakwenda nchi ambazo hazihitaji mwaliko wala visa. Zipo nyingi tu.
ChoiceVariable chiembe kipara kipya mbona ilisemwa nchi imefunguliwa??Rudi tena waambie unakwenda nchi ambazo hazihitaji mwaliko wala visa. Zipo nyingi tu.
Sawa basiNa wewe acha kuharibu kazi za watu
Ukurasa wa 48 wa Pasipoti, kuna "Tahadhari" inayosema "Pasipoti hii ni mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na inaweza kuchukuliwa na Serikali wakati wo wote. Kwa niaba ya Rais wa Jamhuri, Serikali inawaomba na kuwasihi wote watakaohusika kukuruhusu wewe unayekuwa nayo kupita bila kizuizi cho chote na kukupa msaada wo wote utakaohitajika". Pasipoti za mataifa yote ulimwenguni zinasema hivyo hivyo. Kama unataka kusafiri kivyako tu, nenda bila pasipoti ya nchi ukajijue kivyako kukitokea matatizo.Passport si haki ya kila mtanzania??
Kwann kuna vikwazo??
Passport inanunuliwa, sio bure.
Vipi kama sababu za kusafiri ni kwenda kutembea tu au kufanya utalii nchi nyingine??1
Ukiwa na evidence kwamba mpunga unao af mkono wako usiwe mfupi Sana unatoboa fasta. 3 days ya nne kitabu unapokeaVipi kama mtu anataka kwenda kufanya utalii tu nchi nyingine??
Ili upate passport uwe na :-Siku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.
Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.
Kama unakwenda kumtembelea mtu, huyo mtu aandike barua inayosema "Fulani ni ndugu/rafiki yangu anakuja huku kwa madhumuni ya kunitembelea. Anatarajia kufika hapa nchini (itaje nchi inayohusika) tarehe (itaje) na atakuwa hapa kwa muda fulani (utaje). Anwani yangu ya makazi ni (taja) na kimawasiliano ninapatikana kwenye simu namba ..., barua pepe..., nk. Mhusika atakaa kwangu wakati wa ziara yake na mimi nitahusika kwa gharama zote za ugeni huo, zikiwemo malazi, chakula, nk. (au taja vinginevyo kadiri ya makubaliano yenu)".Siku ya jana nimepeleka document zangu kwa ajili ya kupata passport lakini nimeambiwa inahitajika barua ya mualiko pamoja na copy ya passport ya mtu ninae kwenda kumtembelea.
Kama kuna mtu yuko na sample ya barua ya mualiko anisaidie nipate niweze kuedit kwa ajili ya kuitumia.