Barua ya Palestina kwenda Umoja wa mataifa

Barua ya Palestina kwenda Umoja wa mataifa

Hamas wapo kimya toka jana, wayahudi wanasema wamewamaliza wote.

Hamas wametuma ujumbe wanasema tulikuwa tunajuwa mtakuja kwa vishindo baada ya tukio, fanyeni mfanyavyo sisi mtatusikia kutokea mbali. Tunawangoja mitaani mje tukutane uso kwa uso.
 
Shujaa si yule aliyepo hai. Muulize mwendazake, kama siyo rais wa malaika huko alipo sasa.
Basi kumbe tutegemee mashujaa wengi zaidi safari hii kutoka Hamas na Wapalestina
 
Na uzuri ni kuwa na wao kila wanapopata fursa unayaona yanayotokea. Wanakufa kishujaa.

Wameshasema wapo tayari kwa lolote.
Kama ni hivyo kwanini wanalialia na kulalamika. Wanyamaze tu.

Allah na Muhammad kweli wapuuzi sana wamekula kona.
 
Huo mgogoro hautakwisha ni ama Israel wafe wote ama Pelestine wafe wote, hakuna altenative ya hilo. Waachwe wasiingiliwe hiyo ni vita yao ya ndani.
Hao ni ndugu wanatimiza unabii
 
Sisi tuna mapori tele hayana kazi waje tuwape waache kuuwana kama wanataka Tabora au Bagamoyo wachague.
 
Barua ya nini wanaandika, waendelee kupigana kama walivopanga atakaeshinda achukue maeneo aandike historia upya
 
Yoshua 1:
(Joshua)

1. Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,

2. Musa mtumishi wangu amekufa; haya basi, ondoka, vuka mto huu wa Yordani; wewe na watu hawa wote, mkaende hata nchi niwapayo wana wa Israeli.

3. Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, kama nilivyomwapia Musa.

4. Tangu jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.


Mipaka bado haijatimia jamani tulieni kwanza
 
Mbona hapa hamsimamii haki? Mifano iko mingi, Loliondo Ngorongoro etc
Unataja majina tu, hujasema haki ipi unayoiuzungumzia. Tujadili moja moja ya hayo majina uliyotaja.

Naamini hauttorudi kwa kuwa hauna cha kusema.
 
Basi kumbe tutegemee mashujaa wengi zaidi safari hii kutoka Hamas na Wapalestina
Hao mbona ni kila siku. Hilo wala siyo jipya.

Mashujaa juzi na jana wameuwa wayahudi 700, unalijuwa hilo? Tena wengine walikuwa kwenye tamasha la mziki.

Hapo kwenye tamasha wakaondoka na vichwa 260.
 
Wakati Hamas wanaendeleza kuwanyuka wayahudi, wayahudi wameomba msaada kwa USA na manowari za kivita na za kubebeba ndege kama saba, zipo njiani kuelekea huko, mpaka saa hizi zitakuwa zimeshafika.

UN hawana msaada wowote, wapo kwa jina tu laini bure t. Kuwalalamikia ni kuweka rikodi tu lakini hakuna cha maana walichokifanya miaka yote.
Naona sasa umeamua kujifariji baada ya mnyuko mkali, "wayahudi wameomba msaada kwa USA" kwani haujui wapalestina hiko kibuli cha uchokozi walipewa msaada kutoka kwa iran? Waambie wawaombe tena msaada ili waendeleze tena ligi.
 
Naona sasa umeamua kujifariji baada ya mnyuko mkali, "wayahudi wameomba msaada kwa USA" kwani haujui wapalestina hiko kibuli cha uchokozi walipewa msaada kutoka kwa iran? Waambie wawaombe tena msaada ili waendeleze tena ligi.
Huo mbona kwa hamas kawaida, wapo jela mika 75 sasa hiuvi. Hilo kwao ni kawaida sana halijaanza leo.

Kilichomkuba na anaendelea kutokwa povu ni myahudi. Hams kimyaaa, sasa hivi wamejichimbia. Wamezuka hizbollah wanaagizia vitu kutokea Lebanon.

Myahudi kishaomba msaada wa mabwana zake huko, pata shika nguo kuchanika.

Hamas washasema, hawana tatizo kabisa hata iwe kichwa kimoja cha myahudi kwa wapalestina mia moja.
 
Kiukweli wacha wapigane tu mpaka apatikane mshindi, licha ya maumivu kwa raia wasio na hatia
Hawa hamasi wamelianzisha wenyewe na walimalize wenyewe kama hwakuwa wamejiandaa kwa vita waliyosema itakuwa ya muda mrefu shauri yao, wamewachkoza wenyewe walimalize tu
Wanachokifanya ndugu zao ni kulipiza kisasi cha hasira
Hawa hamasi walikosea ku deal na raia wangeanza na wanajeshi wenzao wakaachana na raia
SASA wao wanapiga mpaka raia na kuwauwa
Wzlitegemea wenzao watafanya nini!
Wacha wapigane tumezaliwa tumekuta wanapigana sisi ni kina nani tuwazuie?
Wapigane tu hao ni ndugu na waswahili walisema ndugu eakipigana shima jembe ukalime
 
Wakati kundi la kigaidi la hamas likichwezeshwa masebene huko gaza
Ambapo Israel wanawapelekea moto wa B52 na kuhakikisha wanawawaisha chapu kuwahi zile bikira 72

Marekani nao hawako nyuma

Waziri wa ulinzi wa Marekani Lloyd Austin alisema meli ya kubeba ndege ya USS Gerald R. Ford, meli ya kubebea makombora na zana za kuharibu makombora vimepelekwa katika eneo hilo. Ndege za kivita za Marekani pia zinapelekwa Gaza

Iran sasa wajipendekeze waone.
 
Unataja majina tu, hujasema haki ipi unayoiuzungumzia. Tujadili moja moja ya hayo majina uliyotaja.

Naamini hauttorudi kwa kuwa hauna cha kusema.
Fuatilia malalamiko ya wamasai, matatizo ya Loliondo na Ngorongoro hujawahi yasikia ila ya Wapalestina unayajua
 
Back
Top Bottom