Ulidanganywa wewe, hawana idadi, hao ni kwa ajili ya wanaume, siyo kwa mapapai mnaowaonea wivu wanaume marijali.Hujamuelewa mkuu huyo dada anamzungumzia bikra 72 kuzimu
SadHabari kwa ufupiView attachment 2776149
Basi kumbe tutegemee mashujaa wengi zaidi safari hii kutoka Hamas na WapalestinaShujaa si yule aliyepo hai. Muulize mwendazake, kama siyo rais wa malaika huko alipo sasa.
Kama ni hivyo kwanini wanalialia na kulalamika. Wanyamaze tu.Na uzuri ni kuwa na wao kila wanapopata fursa unayaona yanayotokea. Wanakufa kishujaa.
Wameshasema wapo tayari kwa lolote.
Mbona hapa hamsimamii haki? Mifano iko mingi, Loliondo Ngorongoro etcSiku zote Waislam tunatakiwa tusimame upande wa haki.
Hao ni ndugu wanatimiza unabiiHuo mgogoro hautakwisha ni ama Israel wafe wote ama Pelestine wafe wote, hakuna altenative ya hilo. Waachwe wasiingiliwe hiyo ni vita yao ya ndani.
Unataja majina tu, hujasema haki ipi unayoiuzungumzia. Tujadili moja moja ya hayo majina uliyotaja.Mbona hapa hamsimamii haki? Mifano iko mingi, Loliondo Ngorongoro etc
Uliwasikia wakikulilia? Au unaota tu?Kama ni hivyo kwanini wanalialia na kulalamika. Wanyamaze tu.
Allah na Muhammad kweli wapuuzi sana wamekula kona.
Hao mbona ni kila siku. Hilo wala siyo jipya.Basi kumbe tutegemee mashujaa wengi zaidi safari hii kutoka Hamas na Wapalestina
Naona sasa umeamua kujifariji baada ya mnyuko mkali, "wayahudi wameomba msaada kwa USA" kwani haujui wapalestina hiko kibuli cha uchokozi walipewa msaada kutoka kwa iran? Waambie wawaombe tena msaada ili waendeleze tena ligi.Wakati Hamas wanaendeleza kuwanyuka wayahudi, wayahudi wameomba msaada kwa USA na manowari za kivita na za kubebeba ndege kama saba, zipo njiani kuelekea huko, mpaka saa hizi zitakuwa zimeshafika.
UN hawana msaada wowote, wapo kwa jina tu laini bure t. Kuwalalamikia ni kuweka rikodi tu lakini hakuna cha maana walichokifanya miaka yote.
Huo mbona kwa hamas kawaida, wapo jela mika 75 sasa hiuvi. Hilo kwao ni kawaida sana halijaanza leo.Naona sasa umeamua kujifariji baada ya mnyuko mkali, "wayahudi wameomba msaada kwa USA" kwani haujui wapalestina hiko kibuli cha uchokozi walipewa msaada kutoka kwa iran? Waambie wawaombe tena msaada ili waendeleze tena ligi.
View attachment 2776174
Jamaa ni watemi sana kama hiyo displacement imefanyika kwa kasi hivi in less than 100 years!!
Israel imejitanua sana, huku Palestine wakiendelea kupoteza kile kidogo walichobakiza.Habari kwa ufupiView attachment 2776149
Fuatilia malalamiko ya wamasai, matatizo ya Loliondo na Ngorongoro hujawahi yasikia ila ya Wapalestina unayajuaUnataja majina tu, hujasema haki ipi unayoiuzungumzia. Tujadili moja moja ya hayo majina uliyotaja.
Naamini hauttorudi kwa kuwa hauna cha kusema.